Ukosefu wa umeme kikwazo vifaatiba kufanya kazi Chato

Chato. Vifaatiba vyenye thamani ya Sh210 milioni vilivyopelekwa na Serikali katika Kituo cha Afya Nyabilezi, Kata ya Bukome wilayani Chato havitumiki kwa zaidi ya miezi sita. Hali hiyo inatokana na ukosefu wa umeme unaotosheleza kuviwezesha kufanya kazi (umeme wa njia tatu). Kituo hicho kilijengwa kwa gharama ya Sh1.4 bilioni, fedha za Mpango wa Kunusuru Kaya…

Read More

Trafiki matatani kwa madai ya kudhalilisha Jeshi la Polisi

Dar es Salaam. Askari wa usalama barabarani walioonekana wakichukua rushwa kutoka kwa madereva wa daladala, wamekamatwa na Jeshi la Polisi. Video iliyosambaa mitandaoni leo Januari 15, imewaonyesha askari hao, mmoja wa kike na mwingine wa kiume wakipokea vitu vinavyodhaniwa kuwa fedha kutoka kwa madereva wa daladala zilizosimamishwa na kisha kuwaruhusu waondoke eneo la Vingunguti, Dar…

Read More

WAWEKEZAJI WAITWA KUWEKEZA MWANGA.. – MICHUZI BLOG

NA WILLIUM PAUL, MWANGA. MKUU wa wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, Mwanahamisi Munkunda amewataka wawekezaji kwenda kuwekeza katika wilaya hiyo kwani tatizo la maji ambalo lilikuwa kero kwao limeshapatiwa ufumbuzi wa kudumu. Alitoa kauli hiyo jana alipofanya kikao na Wadau wa maji na menejimenti ya Mamlaka ya Maji Same Mwanga (Samwasa) mara baada ya kutembelea…

Read More

DEREVA AKAMATWA MOROGORO BAADA YA GARI LA MAFUTA KUPINDUKA

Farida Mangube, Morogoro  Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata dereva Daniel Benaya Mwiluli, mwenye umri wa miaka 39, mkazi wa Makambako, mkoa wa Njombe, kwa tuhuma za uzembe uliosababisha ajali ya gari lililokuwa limebeba mafuta aina ya diesel. Dereva huyo alikamatwa Januari 15, 2025, katika eneo la Mzambarauni, kata ya Mafisa, wilaya ya Morogoro,…

Read More

WANANCHI WA LIWETA NA MASUKU MKOANI RUVUMA, WAISHUKURU TARURA KUKAMILISHA UJENZI WA DARAJA

Na Mwandishi Maalum,Ruvuma WANANCHI wa kijiji cha Liweta Halmashauri ya wilaya Songea mkoani Ruvuma,wameishukuru Wakala wa barabara za vijijini na mijini(TARURA)kwa kuwajengea daraja la kudumu katika mto Liweta linalounganisha kijiji hicho na Masuku na maeneo yao ya kilimo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti walisema,awali walikuwa wakipata shida kubwa kupitia katika eneo hilo hasa wakati wa masika…

Read More

TAAMULI HURU: 4R zitumike kuponya makovu ya Mapinduzi ya Zanzibar

Jumapili ya Januari 12, 2025 imedondokea siku ileile ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyotokea Jumapili ya Januari 12, 1964. Tanzania imeadhimisha miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Wakati Wazanzibari wengi wanashereheka kuyapongeza Mapinduzi hayo na wengine hadi kuyapa utukufu kwa kuyaita Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo neno utukufu kwa dini mbili kuu, Wakristu na Waislamu,…

Read More

Rais Yoon akamatwa, awaaga wafuasi wake

Seoul. Rais wa Korea Kusini, Yoon Suk-Yeol amekamatwa nyumbani kwake jijini Seoul nchini humo. Al Jazeera imeripoti leo kuwa Rais Yoon, ametiwa nguvuni leo Jumatano Januari 15, 2025, baada ya maelfu ya askari kutoka Idara ya Kupambana na Rushwa (CIO) na Polisi nchini humo kufurika nyumbani kwake. Misururu ya magari ya askari hao aina ya…

Read More