Simba yatinga nusu fainali Kombe la FA

SIKU chache tu, tangu ilipoweka historia kwa kutinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, Simba imekuwa klabu ya kwanza msimu huu kufuzu nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) kwa kuifumua Mbeya City kwa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa KMC, Dar es Salaam. Mabao matatu ya kipindi cha kwanza kupitia kwa Fabrice…

Read More

DK Mpango: Kutofungamana na mataifa mengine kumetuweka salama

Dodoma. Serikali imesema mpango wa kutofungamana na upande wowote, umeendelea kuifanya Tanzania kutokuwa na uadui na mataifa mengine. Kauli hiyo imetolewa leo Jumapili Aprili 13, 2025 na Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango alipohutubia kwenye kumbukumbu ya miaka 103 ya hayati Mwalimu Julius Nyerere ambaye aliyefariki dunia mwaka 1999. Maadhimisho hayo yameratibiwa na Tasisi ya…

Read More

SANAA NI UCHUMI-MAJALIWA

……………. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imejidhatiti kuendelea kukuza na kuimarisha sanaa nchini ikiwa ni moja ya sekta rasmi ya kiuchumi. Ametoa kauli hiyo leo Jumapili (Aprili 13, 2025) katika Kongamano la Chama cha Wafawidhi wa Matukio Tanzania, linalofanyika Olasiti Garden, Mkoani Arusha. Ambapo amesema fani ya ushereheshaji ni uchumi. Amesema kuwa kwa kutambua…

Read More

WADAU WA UNUNUZI WAASWA KUZINGATIA MAADILI KAZINI

Katibu Mtendaji wa PPAA, Bw. James Sando akiongea na wazabuni na wadau wa ununuzi wa Umma kutoka taasisi za Serikali (hawapo pichani) kwa Kanda ya Kaskazini mwishoni mwa wiki jijini Arusha ***** Na Mwandishi Wetu, Arusha. Wadau wa Ununuzi waaswa kuzingatia maadili na elimu katika Ununuzi wa Umma ili kuiwezesha Serikali kupata thamani halisi ya…

Read More

Serikali yaipa kongole NMB kazi ya upandaji miti nchini

Kibaha. Katika kuhakikisha kampeni ya upandaji miti inaendelea nchini, Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imezishauri taasisi mbalimbali kuhamasisha kazi hiyo muhimu kwa mazingira kama inavyofanya Benki ya NMB. Hatua hiyo inakuja wakati NMB ikitenga Sh225 milioni kwa ajili ya kuzizawadia shule bora katika kampeni ya upandaji miti…

Read More

Bosi CRDB Bank Foundation ang’ara tuzo Nigeria

Lagos. Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Mwambapa, ametajwa kuwa Kiongozi anayeongoza kwa uwezeshaji Barani Afrika katika hafla ya tuzo za kutambua wanawake mashuhuri Afrika (African Iconic Women Recognition Awards). Katika tukio hilo ambalo la kihistoria kwa Tanzania ambapo mbali ya Tully pia Rais Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa tuzo ya Heshima ya Kipekee kwa…

Read More

Pointi tano zampa nguvu Mgunda

POINTI tano ilizovuna Namungo kupitia mechi tatu zilizopita za Ligi Kuu Bara, zimempa kiburi kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda aliyesema licha ya kikosi hicho kuyumba mwanzoni, bado anaamini mechi nne zilizosalia kufungia msimu zitawabeba ikiwamo mchezo dhidi ya Yanga. Mgunda ameyasema hayo baada ya kukusanya pointi tano kupitia mechi hizo tatu za hivi…

Read More

Magonjwa yasiyoambukiza bado mfupa mgumu

Unguja. Waziri wa Afya Zanzibar, Ahmed Nassor Mazrui amesema utafiti uliofanywa na wizara hiyo kwa kushirikiana na taasisi nyingine, kuhusu viashiria hatarishi na ufuatiliaji wa hali ya magonjwa yasiyoambukiza nchini, umebainisha kuwa bado kuna kazi kubwa ya kufanya ili kufikia malengo ya maendeleo endelevu ifikapo mwaka 2030. Licha ya hali hiyo, amesema bado kuna changamoto…

Read More