Simba yatinga nusu fainali Kombe la FA
SIKU chache tu, tangu ilipoweka historia kwa kutinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, Simba imekuwa klabu ya kwanza msimu huu kufuzu nusu fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) kwa kuifumua Mbeya City kwa mabao 3-1 kwenye Uwanja wa KMC, Dar es Salaam. Mabao matatu ya kipindi cha kwanza kupitia kwa Fabrice…