Vilipuzi, baruti kuzalishwa Tanzania | Mwananchi
Kisarawe. Tanzania iko mbio kuacha kuagiza vipulizi na baruti kutoka nje ya nchi. Kila mwaka Tanzania inaagiza vilipuzi milioni 10 na tani 26,000 za baruti kutoka nje. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema nchi iko mbioni kuachana na uagizaji wa bidhaa hiyo kutoka nje ya nchi. Amesema Kiwanda cha Solar Nitrochemicals Limited kilichozinduliwa leo Jumapili,…