ACT Wazalendo na usemi aungurumapo papa baharini na wengine wapo

Dar es Salaam. Aungurumaye baharini papa, lakini na wengine wapo. Hivyo ndivyo unavyoweza kukielezea Chama cha ACT Wazalendo, ambacho mwaka 2024 kilitimiza miaka 10 tangu kuanzishwa kwake, kikitumia muda huo kufurukuta na kupambana na miamba ya vyama vya upinzani vilivyotangulia. Katika mahojiano maalumu na Mwananchi wiki hii, Makamu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Bara, Issihaka Mchinjita…

Read More

Singida Black Stars yafuata mido Burkina Faso

SINGIDA Black Stars imetua kambi ya timu ya Taifa ya Burkina Faso ikipambana kuipata saini ya Clement Pitroipa mwenye uwezo wa kucheza kiungo mshambuliaji na ukabaji. Pitroipa alikuwa nyota wa mchezo wakati Burkina Faso ikiichapa Kilimanjaro Stars katika michuano ya Kombe la Mapinduzi iliyomalizika juzi Jumatatu Kisiwani Pemba akifunga bao moja na kutengeneza lingine wakishinda…

Read More

Samia amthibitisha Lwamo Tume ya Madini

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wenyeviti wa bodi viongozi mbalimbali akiwemo Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Ramadhan Lwamo. Uteuzi wa Lwamo umekuja ikiwa ni takribani miezi saba baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo akichukua nafasi ya Yahaya Samamba aliyeteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini. Mbali na…

Read More

Kocha Stand aukubali mziki wa Geita Gold, ajipanga upya

BAADA ya kumaliza mzunguko wa kwanza Ligi ya Championship kinyonge kwa kuchapwa mabao 3-1 na Geita Gold, Kocha Msaidizi wa Stand United, Feisal Hau amekubali kiwango cha wapinzani wake huku akiwatupia lawama mabeki kwa kukosa umakini. Timu hiyo ilikubali kichapo hicho mwishoni mwa wiki iliyopita katika Uwanja wa Nyankumbu, mjini Geita na kuhitimisha mechi 15…

Read More

Yanga yapewa mwamuzi wa sare

NYOTA wa Yanga wanatakiwa kuongeza umakini wakati wakipambania ushindi, Jumamosi katika mchezo wao wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya MC Alger kutokana na rekodi ya ajabu ya mwamuzi, Patrice Milazare kutoka Mauritius ambaye anatarajiwa kuamua mchezo huo. Katika michezo mitatu aliyoamua msimu huu, rekodi ya Milazare ni ya…

Read More

KONA FYATU MFYATUZI: Hamisheni mafisi, mafisadi, si akina Yero

Kejaa enteipa inno? Jibuni kasidai endama, ai, maata enyemali. Keje ninye eninno. Kwanza, nimshukuru mheshimiwa Rais kwa kutuliza joto la Nrongonrongo. Huwa nashangaa mafyatu wanavyofikiri kinyumenyume. Leo, nitafyatua kasheshe ya kuwaonea akina Yero sobai wanaohamishwa kwenye ardhi ya mababu zao utadhani waanimo toka Serengeti kwenda Burigi-Chato zama zile za Geitalite aka Gbadolite na sasa Kizimikadolite…

Read More

Tanzania ilivyojipanga mashindano ya Chan

Kamati ya ndani ya Tanzania ya maandalizi ya fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (Chan) 2025 imesema kuwa Tanzania iko tayari kuandaa fainali hizo mwezi ujao. Fainali hizo zitafanyika kuanzia Februari Mosi hadi Februari 28 mwaka huu katika nchi za Kenya, Uganda na Tanzania zikishirikisha mataifa 19. Mwenyekiti wa kamati ya…

Read More