Polisi yawasaka walioiba kwenye Toyota Alphard jijini Arusha – Video – Global Publishers
ARUSHA-Jeshi la Polisi mkoani Arusha linafanya uchunguzi na kuwatafuta watu wote waliohusika katika tukio la wizi ndani ya gari aina ya Toyota Alphard lenye namba za usajili T. 340 EJR, kama inavyoonekana katika picha zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Januari 14, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi…