Kenya: Kimbilio salama kwa wageni au hatari?

Nairobi.  Kenya, imekuwa kimbilio kwa usalama wa wakimbizi na watu wanaohitaji hifadhi kutoka nchi zao, hasa wale wanaokimbia udhalimu wa kisiasa. Hata hivyo, hali imeanza kubadilika kwa kasi na kuibua maswali mengi kuhusu usalama wa wageni nchini Kenya. Katika miaka minne iliyopita, imekuwa ikishuhudiwa utekaji na mauaji ya raia wa kigeni nchini Kenya, jambo linaloathiri…

Read More

Samia akutana na mabalozi, azungumzia mafanikio 2024

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema mwaka 2025 Tanzania itaendelea kuimarisha ushirikiano na uhusiano wa kimataifa, ikiwa ni pamoja na kutengeneza mazingira yatakayohamasisha biashara na uwekezaji. Amesema hayo leo Januari 14, 2025 Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kusherehekea Mwaka Mpya iliyowakutanisha mabalozi wa mataifa mbalimbali waliopo nchini. Akitoa tathmini…

Read More

Beki Dodoma Jiji aingia chimbo kujifua

BEKI wa Dodoma Jiji FC, Anderson Solomon ameweka wazi anajipanga vyema kuhakisha anapambania namba katika kikosi hicho pindi Ligi Kuu Bara itakapoendelea Machi Mosi mwaka huu. Nyota huyo ambaye amekuwa na kikosi hicho tangu msimu uliopita, mambo yamekuwa magumu kwake baada ya kukutana na upinzani mzito kutoka kwa Dickson Mhilu katika nafasi anayocheza ya beki…

Read More

Lema ataja kiini cha tatizo Chadema, Mnyika azungumza

Dar es Salaam. Ni dhahiri Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinapitia kwenye nyakati ngumu zinazotishia mustakabali wa chama hicho kikuu cha upinzani nchini. Kwa zaidi ya miaka 20 Chadema kimejipambanua kama chama cha siasa chenye kuipa changamoto Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachoongoza dola kwa sasa. Hata hivyo, kwa sasa Chadema kiko kwenye nyakati ngumu…

Read More

DC MPOGOLO APONGEZA DIPLOMASIA YA RAIS DR SAMIA SULUHU HASSAN

   Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mkoani Dar es salaam, Edward Mpogolo amempongeza Rais Dokta Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuaminiwa na Marais wa nchi nyingine katika nyanja ya Diplomasia. DC Mpogolo, ametoa pongezi hizo leo kupitia kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na Shirika la Utangazaji Tanzania-TBC, wakati anazungumzia kuhusu ugeni wa Marais 54 kutoka…

Read More