WANADIPLOMASIA WATEMBELEA NGORONGORO

******* Wanadiplomasia wanaoshiriki ziara ya kitalii wakiwa katika geti la kuingia Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro. Bonde la Ngorongoro ni bonde (Crater) kubwa zaidi lisilo na mivunjiko duniani likiwa na mandhari ya kipekee ya kuvutia na wanyama aina tofauti wakiwemo wanyama watano wakubwa duniani.   #DiplomaticSafariandTour #Ngorongoro.  

Read More

TMA hesabu kali pointi 12 Championship

KOCHA Mkuu wa TMA FC, Mohamed Ismail ‘Laizer’, amesema mkakati uliopo kwa sasa ni kupata pointi 12, katika michezo minne iliyobaki kumalizia msimu huu, licha ya kukiri changamoto kubwa itakuwa ni kupambana na wapinzani wao wakicheza ugenini. Katika michezo minne iliyobaki ya kumaliza msimu kwa kikosi hicho, itakuwa na miwili nyumbani ambayo ni dhidi ya…

Read More

Mbeya City yampa mzuka Madenge

KOCHA wa Biashara United, Omary Madenge amesema sare ya bao 1-1, iliyoipata kikosi hicho Aprili 9, dhidi ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Karume Mara, imewaongezea morali ya kupambana ili kuinusuru timu hiyo isishuke daraja. Madenge aliyekuwa Mkurugenzi wa Ufundi katika timu hiyo kabla ya kuifundisha baada ya kuondoka kwa Kocha Mussa Rashid aliyejiunga na…

Read More

Diaspora watakiwa kuwekeza nchini | Mwananchi

Dar es Salaam. Watanzania waishio nje ya nchi (Diaspora), wametakiwa kutosita kuwekeza na kutuma fedha nchini kwa kuwa, wadau wa huduma za kifedha kwa kushirikiana na Serikali wamewatengenezea njia rahisi ya kufanikisha hayo. Hayo yamebainishwa mwishoni mwa wiki hii na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, David Chumi ambaye ametoa…

Read More

Camara, Djigui wakomaliwa | Mwanaspoti

KIPA Patrick Munthary wa Mashujaa, ameweka wazi kuongeza ushindani wa kupambana kubaki ndani ya nafasi ya tatu kwa makipa wanaoongoza kwa kutoruhusu mabao kwenye Ligi Kuu (Clean Sheet). Munthary ana clean sheet 12 hadi sasa, ikiwa moja pungufu na alizonazo Diarra wa Yanga, mwenye 13 anayemfukuzia Moussa Camara wa Simba anayeongoza akiwa na 15. Akizungumza…

Read More

Rais Samia aomboleza kifo cha Nyamo-hanga, dereva wake

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameomboleza kifo cha Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-hanga pamoja na dereva wake, Muhajiri Haule kilichotokea usiku wa kuamkia leo wilayani Bunda mkoani Mara. Rais Samia kupitia mitandao yake ya kijamii leo Aprili 13, 2025 ameandika: “Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya vifo…

Read More

MKURUGENZI MTENDAJI TANESCO AFA KWA AJALI

 By Ngilisho Tv  Mkurugenzi wa shirika la usambazaji umeme nchini (Tanesco) Mhandisi Eng Boniphace Gisima Nyamohanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo kufuatia ajali iliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara. Akizungumza kwanjia ya Simu kamanda wa polisi Mkoa wa Mara Pius Lutumo amesema tukio hilo limetokea majira kati ya sanane ,Satisa baada ya Dereva kumkwempa mwendesha…

Read More

Simba yachonga njia Afrika, mashabiki kuhusika

KUNA habari zinazoweza kuendeleza furaha ya mashabiki wa Simba baada ya raha waliyonayo ya kuitoa Al Masry ya Misri na kutinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.  Habari hiyo njema inahusu mambo mawili ambayo ni klabu hiyo kuanza haraka mchakato wa kuandaa utaratibu wa kusafirisha idadi kubwa ya mashabiki kwenda Durban, Afrika Kusini ambako…

Read More