BABU AUWA KICHANGA KWA KUKIPIGIZA CHINI ,ACHUKIZWA MAMA KUZAA NA BABA MDOGO
By Ngilisho Tv-SHINYANGA BABU anayefahamika kwa jina la Maganga Mungo mkazi wa Kijiji cha Shatimba wilayani Shinyanga, anadaiwa kumua mjukuu wake wa siku mbili kwa kumpigiza chini, kwa kile kilichodaiwa kuwa binti yake amezaa na baba yake mdogo, kitendo ambacho hakukubaliana nacho. Mwenyekiti wa Kijiji cha Shatimba, Kalonga Shilu, amesema tukio hilo limetokea Aprili 11,…