ONGEA NA ANTI BETTI: Natafuta mwanaume wa kunipa mimba tu, mtoto nitalea mwenyewe
Anti naomba unishauri bila kunificha. Ninatafuta mwanaume wa kuzaa naye tu, mtoto nitalea mwenyewe. Ninafanya hivyo kwa sababu wanaume wanasumbua sana,ukizaa naye kisha ukamtegemea anakuletea makelele mengi wakati ambao mtoto ameshamjua baba yake unashindwa kutengana au kukaa mbali naye na kulazimika kuwa mtumwa wa kusikiliza karaha zake. Hilo silitaki ndiyo maana nataka nipate mwanaume akinipa…