ONGEA NA ANTI BETTI: Natafuta mwanaume wa kunipa mimba tu, mtoto nitalea mwenyewe

Anti naomba unishauri bila kunificha. Ninatafuta mwanaume wa kuzaa naye tu, mtoto nitalea mwenyewe. Ninafanya hivyo kwa sababu wanaume wanasumbua sana,ukizaa naye kisha ukamtegemea anakuletea makelele mengi wakati ambao mtoto ameshamjua baba yake unashindwa kutengana au kukaa mbali naye na kulazimika kuwa mtumwa wa kusikiliza karaha zake. Hilo silitaki ndiyo maana nataka nipate mwanaume akinipa…

Read More

Siri wasiyoijua wanaotesa wake | Mwananchi

Kuna siri ambayo wanaume wanaodharau na kutesa wake wao hawajui. Siri hii ni kuwa wanawake wanachangia kwa kiasi kikubwa katika ufanisi wa waume wao. Wanaume wengi waliofaulu na kuwa na mali na familia thabiti, huwa wanahusisha ufanisi wao na mchango wa wake zao. Mwanamume asiyeheshimu mkewe ni sawa na bure. Hawa ni wale wanaume waliotekwa…

Read More

Wanaume sasa vinara wa umbea!

Huko nyuma ukisikia msamiati umbea harakaharaka akili ilikuwa inakupeleka kwa wanawake. Kutokana na asili yao si aghalabu kukuta kiumbe wa jinsi hii akiwa na uwezo mkubwa wa kuhifadhi mambo kifuani. Ikitokea sasa kushindwa kwake kuhifadhi akayapeleka sehemu kusikostahili msuto unamhusu, hivyo umbea ulikuwa ukifanyika kwa siri na tahadhari kubwa kukwepa fedheha. Katika ulimwengu huu wa…

Read More

Heri ndoa za zamani zilizodumu kuliko…

Siku hizi, ndoa zinafungwa na kuvunjika sana. Tofauti na zama zile, zamani, mababu na mabibi walirahisishia mambo na kujengea misingi imara ya ndoa tofauti na sasa. Hawakubeba mashada ya maua wala kwenda fungate. Hawakukodisha kumbi wala magari ya bei mbaya. Tofauti, walibeba uaminifu na uvumilivu vitu ambavyo ni ghali wakati huu. Hawakuvishana pete za fedha…

Read More

Mtoto asiyependwa nyumbani hawezi kupenda

Umewahi kufikiri namna tunavyoendelea kutengeneza kizazi cha watu wanaochoshwa na upendo? Kuna ukweli mchungu kuwa tumeanza kuwa na kizazi cha watu wasiojali uhusiano wala hisia za watu.   Hiki ni kizazi, aghalabu, kilichozaliwa na kizazi cha wazazi wasomi, wenye pesa kuliko kizazi kilichopita. Ukweli mchungu ni kwamba tunaishi kwenye nyakati ambazo wazazi hatuna muda wa…

Read More

Barrick, Serikali kutatua changamoto ya ajira kwa vijana

Tarime. Mgodi wa dhahabu wa Barrick North Mara uliopo Nyamongo Wilaya ya Tarime mkoani Mara unatarajia kurejesha leseni nne za uchimbaji serikalini ili zitolewe kwa vijana kwa ajili ya kuanzisha shughuli za uchimbaji katika maeneo ambayo awali yalikuwa yakimilikiwa na mgodi huo. Hatua hiyo mbali na kulenga kuimarisha uchumi wa vijana pia unatarajiwa kuwa suluhisho…

Read More

Hii ndio shida ya mikopo kwenye biashara za kifamilia

Mikopo ni nyenzo muhimu katika kuendeleza biashara za kifamilia, hasa linapokuja suala la upanuzi wa biashara, ununuzi wa vifaa au kuimarisha mtaji. Hata hivyo, ikiwa mikopo haitasimamiwa vizuri, inaweza kuwa mzigo mkubwa kwa familia na hata kusababisha kuanguka kwa biashara. Tutazame  madhara yanayoweza kuzikumba familia: Mosi, kuongeza mzigo wa kifedha: Mikopo huja na majukumu ya…

Read More

MKURUGENZI TANESCO AFARIKI DUNIA

***** Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-Hanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Aprili 13, 2025 katika ajali iliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo amefafanua kuwa limetokea kati ya saa 6 hadi 7 usiku wa kuamkia leo. “Ni…

Read More

Kosa kubwa mzazi kulinganisha mtoto wako na wengine

Ukiniuliza mimi nitakwambia natamani mtoto wangu awe mwanasayansi wa kwanza wa Kitanzania kugundua sayari nyingine ambayo binadamu tunaweza kuhamia na kuishi kama. Au aanzishe kampuni ambayo itatengeneza roketi na kuratibu usafirishaji wa binadamu kutoka hapa kwenda huko. Na kupitia yote hayo, ashinde ‘Nobel prize’ na tuzo nyingine kubwa kubwa za sayansi, uvumbuzi na biashara. Kupitia…

Read More

Hekima, busara nguzo muhimu kwa makuzi ya mtoto

Katika ulimwengu wa leo ambao umejaa vishawishi, mashinikizo na changamoto nyingi, hakuna zawadi bora ambayo mzazi anaweza kumpatia mtoto wake  zaidi ya kumjengea msingi wa hekima na busara. Tunaambiwa kuwa hili ni jukumu lisiloisha na linahitaji subira, mawasiliano ya mara kwa mara na mfano wa kuigwa baina ya mzazi na mwanawe. Na tunaambiwa kwa kuwafundisha…

Read More