DC Mbozi afariki dunia, akumbukwa kwa uchapakazi

Mbeya/Manyara. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Ester Mahawe amefariki dunia, viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM), wakimkumbuka kwa uchapakazi. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Mohamed Mchengerwa kwa niaba ya Rais, Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha mkuu huyo wa wilaya kilichotokea leo Januari 14, 2025…

Read More

Mahinyila mwenyekiti mpya Bavicha | Mwananchi

Dar es Salaam. Kada wa Chadema, Deogratius Mahinyila ameshinda nafasi ya uenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) Taifa, dhidi ya mpinzani wake, Masoud Mambo.Katika uchaguzi huo, ulioanza jana na kutamatika leo, Januari 14, 2025, Mahinyila ameshinda kwa kupata kura 204 dhidi ya kura 112 alizopata Mambo.Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Uchaguzi huo, Elisha…

Read More

DAKTARI MTANZANIA ASHINDA TUZO YA KIMATAIFA KWA KUTAMBUA MCHANGO WAKE

Mwandishi Wetu Daktari Bingwa wa Magongwa yasioambukizwa, Pro. Kaushik Ramary, amepata Tuzo ya Kimataifa, kwa kutambua mchango wake katika kuwasaidia jamii inayosumbuliwa na magonjwa yasioambukizwa na magonjwa mengine inchini Tanzania. “Kwa kweli tunajivunia sana Tuzo hii aliyopata Pro. Kaushik, Hii inathibitishi kujitoa kwake katika kuwasaidia jamii inayosumbaliw na matatizo mbalimbali ya afya,” kwa mujibu ya…

Read More

CBE yajivunia mafanikio lukuki miaka 60 ya uhai wake

  Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri Mkuu, Dk Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) yanayotarajiwa kufanyika mwanzoni mwa wiki ijayo. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkuu wa chuo hicho, Profesa Edda Lwoga, alisema  kuwa CBE iliyoanzishwa mwaka 1965, kufuatia makubaliano…

Read More

MBUNGE ABOOD ATOA WITO WA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WENYEVITI WA SERIKALI ZA MITAA

Farida Mangube, Morogoro  Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Abdul Azizi Abood, ameiomba Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kuchukua hatua madhubuti katika kutatua changamoto zinazowakumba wenyeviti wa serikali za mitaa, akisema baadhi yao wamekuwa wakihusishwa na migogoro inayokwamisha maendeleo ya jamii. Abood alitoa wito huo wakati wa hitimisho la mafunzo maalum kwa viongozi wa serikali…

Read More

WAZIRI MKUU AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA JAPAN

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Januari 14, 2025 amefanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Mheshimiwa Fujii Hisayuki (kulia kwake) na ujumbe aliofuatana nao kwenye ukumbi wa Mikutano wa Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam. Katika mazungumzo yao, Waziri Mkuu amemweleza Mheshimiwa Fujii kuwa Tanzania imeendelea kuweka…

Read More

MAADILI YAWAONGOZE KATIKA MAJUKUMU YENU YA KILA SIKU.

Askari wanaofanya kazi kikosi cha usalama Barabarani Mkoa wa Songwe wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi pindi wanapotekeleza majukumu yao ya kusimamia sheria za usalama barabarani kwa lengo la wananchi kuendelea kuwa na imani na Jeshi la Polisi hususani katika kikosi hicho. Hayo yalisemwa Januari 14, 2025 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi…

Read More