KUCHEZA POOL TABLE MASAA YA KAZI NI KOSA KISHERIA.

Vijana wa Kijiji cha Ndolezi Kata ya Mlangali Tarafa ya Iyula Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe wametakiwa kuacha tabia ya kucheza mchezo wa pool table nyakati za asubuhi wakati muda huo wanapaswa kufanya shughuli rasmi za kujiingizia kipato kwa maendelo yao na taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa Januari 14, 2025 na Polisi Kata ya…

Read More

LORI LAUA 11 WALIOKWENDA KUSHUHUDIA AJALI SEGERA.

Na Oscar Assenga, Handeni. WATU 11 wamefariki dunia wa Kijiji cha Chang’ombe kilichopo Kata ya Segera wilayani Handeni Mkoani Tanga baada ya kugongwa na lori lililokuwa limebeba saruji baada ya kupoteza uelekeo wakati walipojitokeza barabarani walipokuwa wakishanga ajali ya gari dogo aina ya tata . Watu hao walijitokeza barabarani ili kuweza kutoa msaada kufuatia ajali…

Read More

Simba ya Fadlu yamkosha Azim Dewji

SIMBA imerudi nchini ikiwa na tiketi yake mkononi ya kucheza robo fainali ya sita kwenye mashindano ya Caf na kwenye msafara wa timu hiyo alikuwemo mfadhili wao wa zamani, Azim Dewji, ambaye ameshuka na maneno mazito juu ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Fadlu Davids. Dewji katika mechi mbili za hivi karibuni ambazo Simba imeenda…

Read More

Fei Toto ataja kilichowabeba Mapinduzi Cup

NAHODHA wa kikosi cha Zanzibar Heroes, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amefichua kujituma kwao mwanzo hadi mwisho ndiyo siri kubwa ya kuwa mabingwa wa Kombe la Mapinduzi 2025. Zanzibar Heroes ilibeba ubingwa wa michuano hiyo baada ya jana Jumatatu kuichapa Burkina Faso mabao 2-1 katika mchezo wa fainali uliofanyika Uwanja wa Gombani Kisiwani Pemba. Katika mchezo…

Read More

Prisons yabadili gia kwa Sabato

TAARIFA zinabainisha Tanzania Prisons imeachana na mpango wa kuendelea na mshambuliaji Kelvin Sabato, badala yake inapambana kusaka mrithi wake huku jina la Yusuph Athuman likitajwa. Awali Prisons ilimpa Sabato mkataba wa miezi sita kipindi hiki cha usajili wa dirisha unaofungwa leo Jumatano, lakini baadaye ikaamua kuchana naye huku sababu kubwa ikitajwa ni nidhamu. Imeelezwa kati…

Read More

Bibi adaiwa kujiua kwa kunywa sumu Rombo

Moshi. Mkazi wa Kijiji cha Kibaoni, wilayani Rombo Mkoa wa Kilimanjaro, Theodora Nisetas anayekadiriwa kuwa na miaka 65, anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu huku chanzo kikiwa bado hakijajulikana. Alipotafutwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa kuzungumzia tukio hilo, aliomba apewe muda kulifuatilia kama limeripotiwa polisi wilayani humo. Inadaiwa kuwa, jaribio la Theodora kutaka…

Read More

TMA YATOA TAHADHARI YA UWEPO WA KIMBUNGA ‘DIKELEDI’

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “DIKELEDI” katika Bahari ya Hindi mwambao wa pwani ya Msumbiji.  Katika taarifa yake iliyotolewa leo Januari 14, 2025 imesema mifumo ya hali ya hewa inaonesha kuwa kimbunga hicho kwa sasa kipo katika mwambao wa pwani ya Msumbiji na kinatarajiwa kurejea katika Rasi…

Read More