Simba yachonga njia | Mwanaspoti

KUNA habari zinazoweza kuendeleza furaha ya mashabiki wa Simba baada ya raha waliyonayo ya kuitoa Al Masry ya Misri na kutinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.  Habari hiyo njema inahusu mambo mawili ambayo ni klabu hiyo kuanza haraka mchakato wa kuandaa utaratibu wa kusafirisha idadi kubwa ya mashabiki kwenda Durban, Afrika Kusini ambako…

Read More

Simba, Mbeya City kukumbushia 2023

KIKOSI cha Simba kinashuka katika Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam kusaka tiketi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Mbeya City inayoshiriki Ligi ya Championship mechi inayopigwa kuanzia saa 10:00 jioni. Simba inaingia katika mchezo huo ikiwa na morali baada ya kutinga nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

Dube: Kuna jambo linakuja | Mwanaspoti

TANGU mshambuliaji Prince Dube aanze kucheza Ligi Kuu Bara 2020/21, amesema huu wa sasa ndio anaamini kwamba una tofauti katika maisha yake ya soka, huku akidai kuna kitu cha zaidi kinakuja. Dube amefafanua kauli yake kwamba ilikuwa kawaida kuumia kila msimu tofauti na sasa ambapo anafurahia kucheza mechi nyingi bila majeraha. Mshambuliaji huyo aliyetua Yanga…

Read More

Kizazi kinachukua msimamo – maswala ya ulimwengu

Mikopo: Umit Bektas/Reuters kupitia picha za Gallo Maoni na ines m pousadela (Montevideo, Uruguay) Ijumaa, Aprili 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Montevideo, Uruguay, Aprili 11 (IPS) – Katika moyo wa Istanbul, mabadiliko ya kushangaza yanaendelea. Kile kilichoanza kama maandamano ya wanafunzi kufuatia kukamatwa kwa kisiasa kwa Meya Ekrem İmamoğlu kumetokea ndani ya uhamasishaji…

Read More

TADED:HAKUNA CHAMA CHA KUZUIA UCHAGUZI MKUU USIFANYIKE

******** Na Mwandishi Wetu. Taasisi ya Demokrasia na Maendeleo Tanzania  (TADED) imesema kuwa hakuna chama au taasisi ya kufanya kuzuia uchaguazi Mkuu ambao hufanyika kila baada ya miaka mitano. Akizungumza jijini Dar es Salaam Mwenyekiti wa TADED Chalila Kibuda amesema kuwa  kwa mujubu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupiga kura ni haki…

Read More

ABSA BANK TANZANIA YAZINDUA ‘AKAUNTI YA MZAWA’ – SULUHISHO LA KIBUNIFU KWA WATANZANIA WAISHIO UGHAIBUNI

  Na Mwandihi Wetu  Absa Bank Tanzania  imezindua rasmi Akaunti ya Mzawa, huduma kamili ya kibenki kwa Watanzania waishio, wanaofanya kazi na kusoma nje ya nchi. Uzinduzi huo umefanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam kwa njia ya mseto (“phygital”) ambapo wadau muhimu walihudhuria ana kwa ana huku wengine wengi kutoka ughaibuni…

Read More

SERIKALI YATOA WITO KWA DIASPORA KUWEKEZA NYUMBANI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. David Cosato Chumi (Mb) kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo ametoa wito kwa Watanzania waishio nje ya nchi (diaspora) kuchangamkia fursa ya kuwekeza nyumbani, akisema kuwa mchango wao ni nguzo muhimu…

Read More