WAKAZI WA DABALO KUNUFAIKA NA UJENZI WA MAKAZI BORA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Shirika lisilo la kiserikali la Habitat Humanity of Tanzania linatarajiwa kuwanufaisha wakazi wa kijiji cha Dabalo,kilichopo Halimashauri ya Wilaya ya Chamwino, Mkoani Dodoma Kwa mradi wa ujenzi wa Makazi bora, nafuu na endelevu unaotekelezwa na katika Mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma Hatua hiyo imekuja baada ya shirika hilo…

Read More

ACT-Wazalendo yasema hakuna kukata tamaa

Dar es Salaam. Licha ya changamoto zinazojitokeza, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema mapambano yataendelea na hakuna kukata tamaa. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Aprili 12, 2025 mkoani Songwe na kiongozi wa chama hicho, Dorothy Semu katika kongamano la nne la operesheni linda demokrasia lilofanyika mkoani humo. Semu amesema: “Tunawajua maadui wa demokrasia, mtaji wao mkubwa ni hofu…

Read More

Unataka kurekebisha ulimwengu, Ubuntu (ubinadamu kwa wengine) inaweza kusaidia – maswala ya ulimwengu

Zita Sebesvari, Naibu Mkurugenzi wa Taasisi ya Mazingira ya Chuo Kikuu cha Umoja wa Mataifa na Usalama wa Binadamu. Mikopo: Busani Bafana/IPS na Busani Bafana (Nairobi) Jumamosi, Aprili 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 12 (IPS) – Ulimwengu unahitaji kurekebisha haraka na ubinadamu unaweza kuwa tu. Kama ukosefu wa usawa na polycrises…

Read More

CCM Zanzibar yatoa onyo kwa watia nia kabla ya muda

Unguja. Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, kimesema hakitamvumilia mwanachama yeyote ambaye ataanza kujipitisha majimboni na kuanza kupiga kampeni kabla ya wakati. Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar,  Dk Mohammed Said Dimwa ametoa kauli hiyo Aprili 12, 2025 wakati akizungumza na kamati za siasa za wadi, Wilaya ya Kusini ikiwa ni ziara ya kukagua uhai wa…

Read More