WAKAZI WA DABALO KUNUFAIKA NA UJENZI WA MAKAZI BORA
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Shirika lisilo la kiserikali la Habitat Humanity of Tanzania linatarajiwa kuwanufaisha wakazi wa kijiji cha Dabalo,kilichopo Halimashauri ya Wilaya ya Chamwino, Mkoani Dodoma Kwa mradi wa ujenzi wa Makazi bora, nafuu na endelevu unaotekelezwa na katika Mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma Hatua hiyo imekuja baada ya shirika hilo…