TMA yatangaza uwepo wa Kimbunga Dikeledi

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa Kimbunga Dikeledi katika Bahari ya Hindi mwambao wa pwani ya Msumbiji. Katika taarifa yake, iliyotoa leo Jumanne Januari 14, 2025 mamlaka hiyo inaeleza kuwa, mifumo ya hali ya hewa inaonesha kimbunga hicho kwa sasa kipo mwambao wa pwani ya Msumbiji…

Read More

Mkuu wa Wilaya Mbozi afariki dunia

Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Ester Mahawe amefariki dunia. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa), Mohamed Mchengerwa kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha mkuu huyo wa wilaya kilichotokea leo Januari 14, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) mkoani Kilimanjaro…

Read More

Stein, Polisi wana balaa kikapu Dar

MSHIKEMSHIKE umeendelea kuonyeshwa na timu mbalimbali katika Ligi Daraja la Kwanza Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam, ambapo kuna vita kali ya kuwania kupanda Ligi Kuu ya Kikapu mkoani humo (BDL), huku Stein Warriors na Polisi zikiendelea kuonyesha umwamba. Tukianza na Warriors, nguvu kubwa iliyotumiwa na PTW katika mchezo dhidi yake ilichangia timu hiyo kupoteza…

Read More

Lema: Uchaguzi ukiwa huru na haki, Mbowe hawezi kushinda

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema kama uchaguzi wa mwenyekiti ndani ya chama hicho utafanyika kwa uhuru, uwazi na haki basi Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hawezi kushinda. Lema ambaye ametangaza msimamo wake wa kumuunga mkono makamu mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu kwenye…

Read More

Lema asimama na Lissu, ampa neno Mbowe

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amemshauri mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kusikiliza ushauri wa familia yake wa kumtaka kutogombea tena nafasi hiyo.Lema amesema Mbowe mara kadhaa amekuwa na nia ya kupumzika na kuwaachia nguvu mpya vijana kuendeleza mapambano, lakini watu wanaoitwa…

Read More

Lema amtaka Mbowe kumwachia Lissu uenyekiti Chadema

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amemshauri mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kusikiliza ushauri wa familia yake wa kumtaka kutogombea tena nafasi hiyo.Lema amesema Mbowe mara kadhaa amekuwa na nia ya kupumzika na kuwaachia nguvu mpya vijana kuendeleza mapambano, lakini watu wanaoitwa…

Read More

Tanzania ilivyojiandaa mashindano ya Chan

KAMATI ya ndani ya Tanzania ya maandalizi ya fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (Chan) imesema kuwa Tanzania iko tayari kuandaa fainali hizo mwezi ujao. Michuano hiyo itafanyika kuanzia Februari Mosi hadi 28 mwaka huu katika nchi za Kenya, Uganda na Tanzania zikishirikisha mataifa 19. Mwenyekiti wa kamati ya ndani…

Read More

11 wafariki dunia ajalini Handeni, 13 wajeruhiwa

Handeni. Watu 11 wamefariki dunia na wengine 13 kujeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo Kijiji cha Chang’ombe Kata ya Segera wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga. Ajali hiyo imetokea baada ya basi aina ya Tata kupinduka na baadaye wananchi kujitokeza kusaidia ndipo lori linalodaiwa kufeli breki likawagonga. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda…

Read More