Sababu za biashara za wajasiriamali wanawake kutoimarika zatajwa

Dodoma. Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake la Mkoa wa Dodoma limesema miongoni mwa vikwazo vinavyofanya biashara za wajasiriamali wanawake kushindwa kukua ni tabia za kufanya matumizi yasiyopangwa katika bajeti. Mwenyekiti wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Mkoa wa Dodoma, Mary Barnabas ameyasema hayo leo Aprili 12, 2025 wakati akizungumza katika mafunzo ya kifedha na kibiashara yaliyoandaliwa na…

Read More

Wanandoa waburutwa ofisi ya kata kwa ukatili wa mtoto

Dodoma. Wanandoa wamefikishwa katika ofisi ya Kata ya Tambukareli, jijini Dodoma, wakikabiliwa na tuhuma za kumjeruhi mtoto wa miaka minne, tukio ambalo limesababisha mtoto huyo kushonwa nyuzi tisa kichwani. Akizungumza leo Aprili 12, 2025, Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Tambukareli, Zamaradi Kaunje amesema alipata taarifa ya tukio hilo kupitia wafanyakazi wa taasisi za mikopo walikwenda…

Read More

Yaliyomo kanuni za maadili ya uchaguzi 2025

Dodoma. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeainisha mambo yanayotakiwa na yasiyoruhusiwa kufanywa wakati wa uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika Oktoba, mwaka huu. Mambo hayo yako katika Kanuni za Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabunge na madiwani zilizosainiwa na vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu, Serikali na INEC leo…

Read More

22 wanusurika kifo daladala ikitumbukia mtaroni Dar

Dar es Salaam. Zaidi ya watu 22, wamenusika kifo baada ya kutokea ajali ya daladala inayofanya safari zake kati ya Mbagala-Ubungo Simu 2000. Ajali hiyo imetokea leo Jumamosi Aprili 12, maeneo ya Tabara Relini Mwananchi, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam ikihusisha gari aina ya Eicher. Gari hiyo ilikuwa ikitokea Ubungo kuelekea Mbagala, iliacha…

Read More

Mwili wa mwanamke wakutwa nje ya nyumba ukiwa mtupu

Unguja. Mwili wa mwanamke ambaye bado hajafahamika jina, umekutwa leo Aprili 12, 2025, saa 12 asubuhi nje ya jengo la Michenzani, Block namba nane, katika Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, ACP Abubakar Khamis Ally amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa uchunguzi wa awali umeonyesha…

Read More

Shule mpya ya wavulana kuchukua wanafunzi zaidi ya 300

Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa shule mpya ya wavulana  ya kidato cha tano na sita itakapokamilika, itakuwa na uwezo wa kudahili wanafunzi kati ya 300 hadi 350 kwa mwaka. Shule hiyo itajengwa katika eneo la Kikombo, jijini Dodoma na itahusisha ujenzi wa mabweni, maktaba ya kisasa, bwalo kubwa la chakula, viwanja vya michezo…

Read More

Babu adaiwa kumuua mjukuu wake Shinyanga

Shinyanga.  Mtoto wa siku mbili mkazi wa Kijiji cha Shatimba Kata ya Nyamalogo Wilaya ya Shinyanga anadaiwa kuuawa na babu yake Maganga Mungo, baada ya kumchukua na kumbamiza chini kutokana na ugomvi wa kifamilia. Akizungumza na Mwananchi kwa njia ya simu leo Aprili 12, 2025 Mwenyekiti wa Kijiji cha Shatimba Kalonga Shilu amesema tukio hilo…

Read More

LHRC , JOWUTA kuwajengea uwezo wanahabari sheria za kazi

Mkurugenzi wa Uchechemuzi na Maboresho LHRC,Wakili Fulgence,akizungumza na Mwenyekiti wa Taifa wa JOWUTA Mussa Juma pamoja na Katibu Mkuu wa JOWUTA Seleman Msuya  ……………… Kituo cha sheria na haki za binaadamu(LHRC) kimeahidi kufanyakazi na Chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari(JOWUTA)  katika kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu sheria za kazi na sheria zinazohusu sekta ya habari….

Read More

Chombo cha kuendeleza utafiti wa usawa wa kijinsia katika mifumo ya chakula cha kilimo-maswala ya ulimwengu

Nicoline de Haan wakati wa kikao sambamba juu ya jinsia wakati wa Wiki ya Sayansi ya Cgiar. Mikopo: Naureen Hossain/IPS na Naureen Hossain (Nairobi) Jumamosi, Aprili 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 12 (IPS) – Ili kuendeleza ushiriki wa wanawake, vijana, na jamii ndogo katika sekta ya kilimo, hatua lazima zichukuliwe kutambua…

Read More