NEWZ ALERT : LORI LAUA 11 WALIOKWENDA KUSHUHUDIA AJALI SEGERA.

Na Oscar Assenga, Handeni. WATU 11 wamefariki dunia wa Kijiji cha Chang’ombe kilichopo Kata ya Segera wilayani Handeni Mkoani Tanga baada ya kugongwa na lori lililokuwa limebeba saruji baada ya kupoteza uelekeo wakati walipojitokeza barabarani walipokuwa wakishanga ajali ya gari dogo aina ya tata .Watu hao walijitokeza barabarani ili kuweza kutoa msaada kufuatia ajali ya…

Read More

Marufuku ya majoho ilivyogonga mwamba shuleni

Tumemaliza msimu wa sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya, lakini wazazi bado hawajasahau makovu ya gharama za mahafali ya wahitimu, huku suala la majoho kwa wahitimu likizidi kuchukua sura mpya katika mitandao ya kijamii. Badala ya kutumia majoho kwenye mahafali, taasisi nyingine mbali na vyuo vikuu zilienda mbali zaidi kuhamasisha watoto kushona suti, ambazo zilikuwa…

Read More

Maboresho mapya Sera ya Elimu kutatua changamoto za elimu?

Dar es Salaam. Ijumaa Januari 11, 2025 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, alitangaza kuidhinishwa kwa Sera ya Elimu na Mafunzo ya 2014 toleo la 2023, inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi mwishoni mwa Januari 2025. Sera hiyo ambayo utekelezaji wake ulianza mwaka 2024, itazinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan. “Mageuzi yaliyopo katika sera ni…

Read More

Mgombea uenyekiti Bavicha ajitoa, amuunga mkono Mahinyila

Dar es Salaam. Wakati wagombea wa uenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) wakinadi sera zao, mmoja wao, Shija Shibeshi ametangazwa kujitoa na kumuunga mkono Deogratius Mahinyila. Hatua ya Shibeshi kutangaza kujiondoa, inapigia msumari uamuzi wake alioutangaza tangu Januari 11, 2025 katika mdahalo uliowakutanisha wagombea wote wa nafasi hiyo,  ambapo alisema atajiengua lakini mpaka…

Read More

Wasaidizi wa kibinadamu wanaendelea kutoa wito kwa Israeli kuwezesha utoaji wa misaada huko Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

Mamlaka ya Israel inaendelea kukataa juhudi zinazoongozwa na Umoja wa Mataifa za kuwafikia Wapalestina kwa msaada muhimu, shirika hilo lilisema, likibainisha kuwa ni harakati saba tu kati ya 22 zilizopangwa za kibinadamu za Umoja wa Mataifa Jumapili ziliwezeshwa. Kati ya idadi hii, sita walinyimwa moja kwa moja, tano walizuiliwa, na nne zilifutwa kwa sababu ya…

Read More

Wanawake waibuka kidedea Bazecha | Mwananchi

Dar es Salaam. Wajumbe wa Baraza la Wazee (Bazecha) wamemchagua Suzan Lyimo kuwa mwenyekiti mpya wa baraza hilo kwa miaka mitano ijayo baada ya kujinyakulia kura 96 huku nafasi ya katibu mkuu akishinda Hellen Kayanza. Lyimo ametangazwa mshindi baada ya kuwabwaga wapinzani wake wanne akiwamo Hashim Issa aliyepata kura 14 aliyekuwa akitetea nafasi hiyo aliyohudumu…

Read More

MENEJA NSSF KINONDONI AWATAKA WAJASIRIAMALI KUENDELEA KUJIUNGA NA KUJIWEKEA AKIBA ILI WAWEZE KUNUFAIKA NA MAFAO

Meneja wa NSSF Mkoa wa Kinondoni, Bw. Large Materu ametoa wito kwa wajasiriamali kuendelea kujiunga na kujiwekea akiba katika Mfuko ili waweze kunufaika na mafao yanayotolewa yakiwemo ya uzee, uzazi na matibabu. Alitoa wito huo wakati akiongoza utoaji wa elimu ya hifadhi ya jamii kwa viongozi wa masoko na baadaye wafanyakazi wa NSSF waliweka kambi…

Read More

TARURA RUVUMA YAIDHINISHIWA SHILINGI BILIONI 38.3 KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA

Na Muhidin Amri,Songea WAKALA wa barabara za vijijini na mijini Tanzania(TARURA)Mkoa wa Ruvuma,kwa mwaka wa fedha 2024/2025 umehidhinishiwa Sh.bilioni 38.394 kwa ajili ya kufanya matengenezo na ujenzi wa barabara zenye urefu wa kilometa 1,145,madaraja madogo 50 na makalavati 57. Kati ya hizo Sh.bilioni 7.8 bajeti ya barabara kuu,Sh.bilioni 9.8 zinatokana na tozo ya mafuta,Sh.bilioni 4.5…

Read More