Hiki hapa kinachozibeba Simba, Yanga Caf

SIMBA juzi ilitinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kutoka sare ya bao 1-1 ugenini dhidi ya Bravos ya Angola huku Yanga ikijiweka katika nafasi nzuri ya kutinga hatua hiyo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya Al Hilal huko Mauritania. Kwa sasa,…

Read More

Zanzibar Heroes mabingwa Mapinduzi Cup 2025

TIMU ya Taifa ya Zanzibar Heroes, imefanikiwa kubeba ubingwa wa Kombe la Mapinduzi 2025 baada ya kuifunga Burkina Faso mabao 2-1. Katika mchezo wa fainali uliochezwa leo Januari 13, 2025 kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba, Zanzibar Heroes ilikuwa ya kwanza kufunga bao dakika ya 41 kupitia mshambuliaji Ibrahim Hamad Hilika. Hilika alifunga bao hilo kiufundi…

Read More

Mshikamano na Ukraine, wahasiriwa wa tetemeko la ardhi wa Haiti walikumbuka, ufadhili wa huduma ya afya ya Sudan – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza kutoka Zaporizhzhya kwenye mstari wa mbele mashariki mwa Ukraine, Tom Fletcher aliripoti kwamba mashambulizi ya anga yanaendelea “kuua na kusababisha uharibifu mkubwa wa raia”. Nikiwa katika jiji hilo – ambalo pia liko karibu na kiwanda kikubwa zaidi cha nishati ya nyuklia barani Ulaya cha jina moja ambalo limesalia mikononi mwa Urusi – Mratibu wa…

Read More

Siri imefichuka, mabao Simba yana kitu

KIKOSI cha Simba kimefuzu hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya juzi kutoka sare ya kufungana bao 1-1 na Bravos do Maquis ya Angola, huku kikiweka rekodi ya kipekee ambayo haijawahi kutokea tangu msimu wa 2018-2019. Mchezo huo wa makundi uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa wa Novemba 11 jijini Luanda nchini…

Read More

Hesabu za Ubaya Ubwela robo fainali CAFCC

IMEKUWA ni kama jambo la kawaida kwa mashabiki wa Simba kuiona timu yao ikifuzu robo fainali kwenye michuano inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya juzi kufanya hivyo kwa mara sita katika misimu saba kuanzia 2018-19. Simba juzi ilikuwa Angola ikicheza mchezo wake wa tano wa makundi Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya…

Read More

Ramovic abuni mbinu za kuimaliza MC Alger Kwa Mkapa

YANGA imekamilisha kazi ya kwanza ugenini kwa kuichapa Al Hila bao 1-0 juzi Jumapili, kazi ya pili iliyobaki ni kuichapa MC Alger Jumamosi ya wiki hii pale Benjamin Mkapa, kisha kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kocha wa Yanga, Sead Ramovic ameuona ugumu uliopo mbele yake kuikabili MC Alger, hivyo ametaja mambo ambayo…

Read More

Madai ya rushwa uchaguzi Bavicha, wenyewe wafafanua

Dar es Salaam. Sintofahamu imezuka katika uchaguzi wa viongozi wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) ngazi ya Taifa, baada ya wajumbe kumtilia shaka mmoja wa wagombea aliyekuwa akitoa nauli. Uchaguzi wa Bavicha unaendelea katika ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam usiku huu Jumanne Januari 14, 2025. Mashaka zaidi yametokana na mgombea huyo kudaiwa…

Read More

Marufuku ya Al Jazeera lazima iondolewe, wataalam wa haki wahimiza Mamlaka ya Palestina – Masuala ya Ulimwenguni

Haya yanajiri wiki moja baada ya mahakama ya Ramallah katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kuamuru kufungwa kwa tovuti kadhaa za Al Jazeera. Kamati ya mawaziri ya Mamlaka ya Palestina hapo awali ilihalalisha kufungwa kwa ofisi ya kampuni ya vyombo vya habari katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ikiishutumu kwa kutangaza habari za “uchochezi”, “habari…

Read More