Rais Samia asisitiza amani kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 2025

Unguja. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haitakubali atokee mtu yeyote kuvuruga amani na kusababisha mpasuko miongoni mwa wananchi hususani katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Amesema Taifa linapaswa kujifunza umuhimu wa amani kwa kuangalia nchi ambazo zimeikosa kwa kipindi kirefu, namna wananchi wake wanavyoathirika, jambo linalorudisha nyuma maendeleo ya nchi. Rais…

Read More

Vyama 18 vya siasa, Serikali na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi wasaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele akisaini maadili ya Uchaguzi kwa niaba ya Tume.  Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. Jim Yonazi akisaini maadili ya uchaguzi kwa niaba ya Serikali. ******* Na. Mwandishi Wetu Vyama 18 vya siasa vyenye usajili kamili, Serikali…

Read More

Kichuya azitaja mechi tano za moto bara

WINGA wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya amesema katika mechi tano zilizosalia kumaliza msimu huu anaziona ni za jasho na damu kutokana na kila timu kuwa na hesabu kali na ugumu hazichagui uwanja wa nyumbani wala ugenini. Kichuya kacheza mechi 17 kati ya mechi 25 iliyocheza timu hiyo ikiwa n dakika 1151 akifunga mabao mawili na…

Read More

Chama la Wana lapiga mkwara Championship

STAND United ‘Chama la Wana’ imesema dakika 90 iliyoiangalia Yanga imeona ugumu ulipo ikieleza kuwa licha ya kuiheshimu lakini haitaingia uwanjani kinyonge. Timu hiyo iliyowahi kutamba Ligi Kuu kabla ya kushuka misimu mitano nyuma inaikabili Yanga keshokutwa, Jumanne katika mchezo wa robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho. Chama la Wana kwa sasa lipo…

Read More