Rais Samia asisitiza amani kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 2025
Unguja. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali haitakubali atokee mtu yeyote kuvuruga amani na kusababisha mpasuko miongoni mwa wananchi hususani katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Amesema Taifa linapaswa kujifunza umuhimu wa amani kwa kuangalia nchi ambazo zimeikosa kwa kipindi kirefu, namna wananchi wake wanavyoathirika, jambo linalorudisha nyuma maendeleo ya nchi. Rais…