Ajali ya helikopta yaua familia, rubani
New York. Familia ya watu watano kutoka Hispania imefariki dunia katika ajali ya helikopta ya utalii iliyotokea kwenye Mto Hudson, jijini New York, Alhamisi Aprili 10, 2025. Rubani wa helikopta hiyo pia amepoteza maisha. Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Associated Press, waliopoteza maisha ni Agustin Escobar, mtendaji mkuu wa Kampuni ya Siemens Mobility…