
Chato kunufaika na mazao ya misitu miaka 10 ijayo
Mufindi. Wananchi wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita, wametakiwa kujiandaa kufurahia matokeo ya mazao ya misitu kupitia shamba la miti la Silayo lililopo wilayani humo, huku Serikali ikilenga kuimarisha uchumi wa eneo hilo. Akizungumza leo Jumatatu, Januari 13, 2025, baada ya ziara ya mafunzo katika Shamba la Miti la Sao Hill, Wilaya ya Mufindi,…