Chato kunufaika na mazao ya misitu miaka 10 ijayo

Mufindi. Wananchi wa Wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita, wametakiwa kujiandaa kufurahia matokeo ya mazao ya misitu kupitia shamba la miti la Silayo lililopo wilayani humo, huku Serikali ikilenga kuimarisha uchumi wa eneo hilo. Akizungumza leo Jumatatu, Januari 13, 2025, baada ya ziara ya mafunzo katika Shamba la Miti la Sao Hill, Wilaya ya Mufindi,…

Read More

Waziri Ulega atoa maagizo ERB

Morogoro. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameitaka Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) nchini kuweka mfumo madhubuti wa ufuatiliaji wa shughuli mbalimbali za kiuhandisi, hasa katika miradi ya maendeleo, ili kuhakikisha ufanisi katika utekelezaji wa kazi zao. Akifungua baraza la wafanyakazi wa bodi hiyo, lililokutana mkoani Morogoro kujadili masuala mbalimbali, Ulega ameeleza kuwa wahandisi ni…

Read More

Shule zafunguliwa kwa muitikio mkubwa, wanaume wanyoshewa kidole

Dar/Mikoani. Wakati shule za msingi na sekondari nchini zikifunguliwa kwa muitikio mkubwa, baadhi ya wazazi na walezi wameeleza changamoto za kiuchumi zinazoathiri ununuzi wa vifaa vya shule, huku kina baba wakihimizwa kushirikiana kikamilifu na watoto wao hususan wanaoanza masomo kwa mara ya kwanza. Hali hii inatokana na idadi kubwa ya wanafunzi walioandikishwa kwenye shule mbalimbali…

Read More

Maria Sarungi asimulia namna alivyotekwa Kenya

Nairobi.  Mwanaharakati na mhariri wa kujitegemea, Maria Sarungi amedai  kuwa, watu wanne walimteka jana eneo la Kilimani jijini Nairobi, Kenya. Taarifa za madai ya kutekwa kwa Maria zilianza kusambaa jana jioni kwenye mitandao ya kijamii, baada ya Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu, Amnesty International, kuchapisha taarifa kuhusu tukio hilo kwenye ukurasa wake…

Read More

Matumaini & Kukata Tamaa – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Anis Chowdhury (Sydney) Jumatatu, Januari 13, 2025 Inter Press Service SYDNEY, Jan 13 (IPS) – Tunamshukuru Mungu, tumenusurika mwaka mwingine wa mauaji ya halaiki, vita, uharibifu na mgogoro wa hali ya hewa. Mwaka unaopita wa 2024 umekuwa mchanganyiko wa matumaini na kukata tamaa. Ilianza kwa matumaini huku Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ)…

Read More

Vitambulisho 31,000 vya Nida vilivyofutika kutengenezwa upya

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amesema alishatoa maagizo kwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), kutengeneza upya vitambulisho takribani 31,000 vilivyofutika taarifa zake. Waziri huyo amesema amepokea malalamiko mengi kutoka kwa wananchi kuhusiana na ubora hafifu wa vitambulisho hivyo na kuagiza vitengenezwe upya. Waziri Bashungwa ametoa kauli hiyo…

Read More

Msako magari ya shule ambayo hayakukaguliwa waanza Arusha

Arusha. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama barabarani Mkoa wa Arusha, kimeanza msako wa kuwakamata madereva wote waliokaidi kupeleka magari yanayobeba wanafunzi. Imeelezwa kuwa madereva hao watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. Ukaguzi huo ulianza Desemba mwaka jana wakati shule zimefungwa lengo ni kutaka kuondokana na ajali zinazosababishwa na ubovu wa vyombo hivyo vya moto….

Read More

Waziri Ulega amuagiza Msonde kuweka taa za barabarani Dakawa

Morogoro. Waziri wa Ujenzi, Abdalah Ulega, amemuagiza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Dk Charles Msonde, kuhakikisha eneo la Dakawa, lililopo wilayani Mvomero, linawekwa taa za barabarani na kujengwa maeneo ya maegesho ya magari ili kuwezesha wananchi kufanya shughuli zao wakati wote. Ulega ametoa agizo hilo leo Jumatatu, Januari 13, 2025 wakati wa ziara…

Read More