Matumizi ya Simu kwa Watoto Wadogo Yachangia Usonji-Prof. Manji

Mtafiti  na Daktari Bingwa wa Watoto, Profesa Karimu Manji akizungumza jambo katika Kongamano la Kitafiti linalozungumzia ugonjwa wa usonji lililofanyika  katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) leo April 9, 2025, Dar es Salaam. Makamu Mkuu wa MUHAS, Profesa Appolinary Kamuhabwa akizungumza jambo katika Kongamano la Kitafiti linalozungumzia ugonjwa wa usonji lililofanyika …

Read More

POLAND YAONESHA NIA KUSHIRIKI UJENZI WA SGR

 Na Benny Mwaipaja, Warsaw-Poland Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameishukuru Serikali ya Poland kupitia Shirika lake la Bima (KUKE), kwa kuonesha nia ya kudhamini upatikanaji wa fedha kwa ajili ya Ujenzi wa kipande cha 3 na cha 4 cha Mradi wa Reli ya Kisasa wa SGR kuanzia Makutupora hadi Tabora na…

Read More

SERIKALI YATEUA TIMU MAALUM YA WATAALAM KWA AJILI YA KUISHAURI WIZARA YA MADINI NAMNA BORA YA KUWAINUA WACHIMBAJI WADOGO

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma SERIKALI imeteuwa timu maalum ya wataalamu kwa ajili ya kuishauri wizara ya Madini namna bora ya kuwainua wachimbaji wadogo wa madini ili kuzidi kuimarisha sekta ya madini ikiwemo kuwawezesha wachimbaji hao,kunufaika na rasilimali kwenye madini. Hayo yalibainishwa jana jijini Dodoma na Waziri wa Madini Antony Mavunde katika mkutano na wadau…

Read More

MUHAS KUTOA ELIMU NA WATAALAMU WA KUKABILI USONJI

Mkurugenzi wa Magonjwa yasiyoambukiza, Afya na Akili wa Wizara ya Afya, Dk Omary Ubugoyu akizungumza jambo katika Kongamano la Kitafiti linalozungumzia ugonjwa wa usonji lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) leo April 9, 2025, Dar es Salaam .………….. Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimesema  kimejipanga kuendelea…

Read More

Athari za ushuru wa Marekani kwa wakulima wadogo Afrika

Siku hizi, mazungumzo kuhusu ushindani wa kiuchumi kati ya Marekani na nchi mbalimbali, hasa yale yanayohusu ushuru wa kinyume (reciprocal tariffs), yamekuwa yakizua wasiwasi kwa sekta mbalimbali za kiuchumi. Mojawapo ya sekta zinazokumbwa na changamoto kubwa ni ile ya kilimo, hasa kwa wakulima wadogo ambao ndio msingi wa chakula na uchumi wa nchi nyingi za…

Read More