Loth atua Coastal Union | Mwanaspoti

KIUNGO wa zamani wa Mbeya City, Yanga na Namungo, Raphael Daudi Loth amekamilisha uhamisho wake kwa mkopo wa miezi sita kuitumikia Coastal Union. Awali, Daud alikuwa akicheza kwa mkopo Namungo FC akijiunga nayo mwanzoni mwa msimu huu baada ya kukaa kwa takriban miezi sita, alirejea Singida Black Stars iliyoamua kumpeleka Coastal Union. Kiungo huyo awali…

Read More

Dodoma Jiji yasajili beki kutoka Coastal Union

HABARI zinabainisha kwamba Dodoma Jiji imekamilisha usajili wa beki Mukrim Issa aliyekuwa akiitumikia Coastal Union tangu mwanzo wa msimu huu. Beki huyo alikuwa akiichezea Coastal Union kwa mkopo akitokea Singida Black Stars na sasa amepelekwa tena Dodoma Jiji kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Singida Black Stars kimeliambia…

Read More

Posho yaibua sintofahamu uchaguzi Bavicha

Dar es Salaam. Mkutano wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha) ulisimama kwa dakika kadhaa leo, Jumatatu Januari 13, 2025, baada ya wajumbe kuhoji hatma ya posho zao za kujikimu, tofauti na ahadi walizokuwa wamepewa awali. Tukio hilo limetokea katika ukumbi wa Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam, muda mfupi baada ya viongozi wa kitaifa…

Read More

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumchinja shingoni

Babati. Shabani Rajabu (60), mkazi wa Kijiji cha Maweni, Kata ya Magara, Wilaya ya Babati, mkoani Manyara, anadaiwa kumuua mkewe, Zulfa Rajabu (40), kwa kumchinja shingoni na kumkata mkono. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Ahmed Makarani, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema polisi wanamshikilia mtuhumiwa huyo na wanaendelea…

Read More

Mafundi Rangi, ujenzi Kilimanjaro, waungana kuzisaka fursa za kiuchumi

Moshi. Mafundi rangi na ujenzi mkoani Kilimanjaro wameamua kujitafuta ili kukabiliana na changamoto za kitaaluma, kimazingira, na kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia weledi unaohusiana na shughuli zao. Mafundi hao, ambao sasa wanaunda umoja wao kupitia chama cha Mafundi Rangi na Ujenzi Mkoa wa Kilimanjaro (Chamaruki), wamekusudia kutumia fursa mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi na kuboresha shughuli…

Read More

Asili Yaenda Mahakamani – Masuala ya Ulimwenguni

Mifumo ya mahakama inakuwa wahusika wakuu katika hatua za hali ya hewa. Credit: UNDP Maoni na Kanni Wignaraja (umoja wa mataifa) Jumatatu, Januari 13, 2025 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Jan 13 (IPS) – Hali inachukua msimamo huku vyumba vya mahakama duniani kote vikiwa viwanja vya kupigania haki za Dunia. Kuongezeka kwa kesi za…

Read More