DKT.BITEKO AIPONGEZA EWURA KUANDAA TAARIFA ZA MAENDELEO YA SEKTA YA NISHATI NCHINI
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko,akizungumza wakati akizindua Taarifa za Maendeleo ya Sekta ya Nishati kwa Mwaka 2023/24,hafla iliyofanyika leo Aprili 9,2025 jijini Dodoma. -Asema taarifa hizo ni kioo cha kupima na kutathmini uwazi na ufanisi wa sekta hiyo -Awataka wananchi kuzisoma taarifa hizo ili wapate majawabu ya hali…