MUHAS KUTOA ELIMU NA WATAALAMU WA KUKABILI USONJI
Mkurugenzi wa Magonjwa yasiyoambukiza, Afya na Akili wa Wizara ya Afya, Dk Omary Ubugoyu akizungumza jambo katika Kongamano la Kitafiti linalozungumzia ugonjwa wa usonji lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) leo April 9, 2025, Dar es Salaam .………….. Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimesema kimejipanga kuendelea…