Bosi Jatu afikisha siku 746 gerezani bila upelelezi kukamilika

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33), anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, ameendelea kusota rumande kwa siku 746 kutokana na upelelezi wa kesi hiyo kutokamilika. Gasaya anakabiliwa na mashtaka mawili; kujipatia Sh5.1bilioni 5.1 kwa udanganyifu na kutakatisha kiasi hicho cha fedha, kesi inayosikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi…

Read More

Mamalishe Soko la Kinyasini walia kukosa huduma ya choo, Serikali yatoa neno

Unguja. Mamalishe wa Soko la Kinyasini, lililopo Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, wamelalamikia kukosa huduma ya choo, jambo linalowalazimu kufungiana kanga kujiziba wanapokwenda kujisitiri. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi leo Jumatatu, Januari 13, 2025, Semeni Salumu, mmoja wa mamalishe hao, amesema hali hiyo inawasikitisha kwa kuwa soko hilo linatakiwa kuwa na…

Read More

Che Malone awaomba radhi mashabiki Simba

BEKI wa kati wa Simba, Che Malone leo amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo kutokana kosa alilolifanya jana kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos ya Angola. Malone ameomba msamaha huo kupitia ukurasa wake wa Instagram akiahidi kurekebisha makosa yake na kurudi akiwa imara. Beki huyo raia wa Cameroon amekuwa mchezaji muhimu…

Read More

Mtambuka aamsha morali Songea United

KLABU ya Songea United ya mkoani Ruvuma imekamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji wa TMA ya jijini Arusha, Abiud Mtambuka kwa mkataba wa miezi sita, huku kocha wa kikosi hicho, Meja Mstaafu, Abdul Mingange akijivunia usajili wake. Akizungumza na Mwanaspoti, Mingange alisema usajili wa mchezaji huyo utaongeza chachu ya ushindani ndani ya kikosi hicho katika kutimiza…

Read More

Cheche amrithi Kijuso Cosmopolitan | Mwanaspoti

MABINGWA wa zamani wa soka nchini, Cosmopolitan imefikia uamuzi wa kumpa mkataba wa miezi sita aliyekuwa kocha wa Azam FC, Idd Nassor ‘Cheche’, ikiwa ni wiki moja tu tangu wamtimue Mohamed Kijuso kutokana na mwenendo mbaya ambao timu hiyo imekuwa nao msimu huu. Cosmo iliwahi kutwaa ubingwa wa Ligi ya Bara mwaka 1967 na inapambana…

Read More

Che Malone awaomba radhi Simba

BEKI wa kati wa Simba, Che Malone leo amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo kutokana kosa alilolifanya jana kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos ya Angola. Malone ameomba msamaha huo kupitia ukurasa wake wa Instagram akiahidi kurekebisha makosa yake na kurudi akiwa imara. Beki huyo raia wa Cameroon amekuwa mchezaji muhimu…

Read More

Kesi ya mauaji ya mtoto Grayson hadi Januari 27

Dodoma. Kesi ya mauaji ya Grayson Kanyenye (6) inayowakabili Kelvin Joshua (27), dereva bodaboda na Tumaini Msangi (28), bondia, imeahirishwa hadi Januari 27, 2025 kutokana na upelelezi kutokamilika. Washtakiwa hao walifikishwa leo Jumatatu, Januari 13, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, mbele ya Hakimu Mkazi, Charles Eligy, kesi hiyo ilipotajwa. Hata hivyo, wakili wa…

Read More

Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa, wananchi waombwa kulinda kundi Jipya la watumiaji wa Barabara.

Na. Mwandishi Jeshi la Polisi Arusha. Jeshi la Polisi kikosi cha usalama Barabarani kimesema kuwa baada ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi wa magari ya shule(School Bus) kwa kipindi cha likizo ambacho kilitangazwa ili kuondoa usumbufu kwa wanafunzi wanaotumia vyombo hivyo kimeanza kuwakamata wale wote walio kaidi agizo hilo huku kikosi hicho kikiwaomba wananchi kuweka uangalizi…

Read More