MAPINDUZI YA ZANZIBAR: KUMBUKUMBU TUKUFU.

  Miaka sitini na moja, leo tunakumbuka, Mapinduzi matakatifu, yenye historia adhimu, Unguja na Pemba, visiwa vya thamani, Walinyanyuka wananchi, kwa sauti ya ukombozi.   Januari kumi na mbili, alfajiri ya matumaini, Wananchi kwa umoja, wakiwa na dhamira, Marungu na mapanga, wakavunja minyororo, Utawala wa Kisultani ukasahaulika milele.   Hayati Abeid Amani Karume, jina lako…

Read More

Bavicha, Bazecha mguu sawa kuwapata viongozi wa kitaifa

Dar es Salaam. Ukweli kuhusu kina nani watakaopewa nafasi za kuyaongoza mabaraza ya wazee na vijana ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa nafasi za kitaifa, unatarajiwa kujulikana leo Jumatatu, Januari 13, 2025. Hilo linatokana na kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wa Baraza la Vijana (Bavicha) na Wazee (Bazecha) kumpata Mwenyekiti wa Taifa na…

Read More

Winifrida Charles arejea Fountain Gate baada ya kupona

BAADA ya kukaa nje kwa muda mrefu akiuguza majeraha ya goti, hatimaye kiungo mshambuliaji wa Fountain Gate Princess, Winifrida Charles, amerejea akicheza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Boni Consilli Girls ya Uganda. Kiungo huyo alipata majeraha ya goti yaliyomuweka nje ya uwanja kwa takribani msimu mmoja na nusu. Winifrida alionyesha kiwango bora kwenye mashindano…

Read More

Kamungo ala shavu Marekani | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji raia wa Tanzania, Bernard Kamungo amepata shavu la kuongeza mkataba wa miaka mitatu hadi 2028 katika klabu yake ya FC Dallas ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS). Nyota huyo mzaliwa wa Congo aliyekulia katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu, Tanzania maisha yake ya soka amekulia Marekani akitumikia klabu ya North Texas (2021/22) ya Ligi…

Read More

Zubery Katwila avuta mashine tatu Bigman

KOCHA wa Bigman FC, Zubery Katwila ameanza kukisuka kikosi hicho baada ya kuzinasa saini za aliyekuwa beki wa kulia wa African Sports, Halfan Mbaruku, kiungo, Abubakar Hamis na mshambuliaji, Rafael Siame waliojiunga wakiwa wachezaji huru.  Akizungumza na Mwanaspoti, Katwila alisema bado hajapata taarifa rasmi za nyota wapya waliosajiliwa na viongozi wa timu hiyo, ingawa mojawapo…

Read More

Msengi aibukia JKT Tanzania | Mwanaspoti

MAAFANDE wa JKT Tanzania wanaendelea kusajili kimyakimya baada ya kuelezwa tayari wamemalizana na kiungo Ally Msengi waliyempa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Tanzania Prisons. Taarifa za ndani kutoka JKT TZ, zinasema wamemalizana na kiungo huyo wanayeamini atakuwa msaada kutokana na uwezo alioonyesha akiwa na Prisons msimu uliopita ambako alikuwa tegemeo katika kikosi cha kwanza. “Msengi…

Read More

Akandwanaho anatua Tabora United | Mwanaspoti

UNAMKUMBUKA  Joseph Akandwanaho aliyekodishwa na Mlandege katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2024 na kuitibulia Simba kwa kufunga bao pekee lililowakosesha Wekundu taji la tano la michuano hiyo? Sasa jamaa anajiandaa kutua Tabora United iliyomkosa katika dirisha kubwa la usajili. Kiungo mshambuliaji huyo aliyeichezea Mlandege katika fainali hizo za mwaka jana na kuiwezesha timu hiyo…

Read More

Ujumbe wa Mbowe kuelekea uchaguzi wa Bavicha, Bazecha

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amewapongeza wagombea wote wanaoshiriki uchaguzi wa ndani wa chama hicho, huku akiwakumbusha mambo matatu ikiwemo kuilinda taasisi yao. Mbowe amechapisha ujumbe huo katika kurasa zake za mitandao ya kijamii leo Jumatatu, Januari 13, 2025 kuelekea uchaguzi wa mabaraza ya vijana (Bavicha) na wazee (Bazecha), ambayo uchaguzi wake…

Read More

Hatma kesi ya Dk Slaa kujulikana leo

Dar es Salaam. Vigogo hawa leo Jumatatu Januari 13, 2025 wanatarajia kupishana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Miongoni mwa vigogo hao ni wanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76), ambaye anakabiliwa shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika Mtandao wa X zamani Twitter. Dk Slaa alifikishwa mahakamani hapo, Ijumaa ya Januari 10, 2025 na kusomewa…

Read More