Kuelekea uchumi wa kidijitali Tanzania kujiimarisha usalama mtandaoni

Arusha. Tanzania imeendelea kujiimarisha na kuongeza nguvu kwenye usalama mitandao ili kukuza uchumi wa kidijitali pamoja na kuvutia wawekezaji. kupitia Shirika la Mawasiliano Duniani (ITU), imekuwa miongoni mwa nchi 47 bora zilizowekwa kwenye kundi la kwanza zenye mitandao bora salama. Hayo yamesemwa jana Alhamisi Aprili 10, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Tehama  (ICTC)  Dk…

Read More

Kamati ya kitaifa biashara ya kaboni yapewa majukumu

Dodoma. Kamati ya Kitaifa ya Ushauri kuhusu Biashara ya Kaboni nchini imepewa jukumu la kutathmini fursa na changamoto zinazoikabili biashara hiyo ndani ya kipindi cha miezi miwili. Kadhalika, kamati hiyo imepewa jukumu la kufanya tathmini na kutoa mapendekezo kuhusu njia bora na mwenendo wa biashara ya kaboni nchini, biashara ambayo imeonekana kufanyika kiholela huku Serikali…

Read More

Umri kikomo mikopo ya vijana waongezeka

Dodoma. Serikali imeweka msimamo kuwa mikopo ya asilimia 10 katika kundi la vijana itatolewa kwa watu wenye umri wa mwisho wa miaka 45 pekee. Hata hivyo, umri huo ni nyongeza ya miaka 10 kutoka kikomo cha awali cha miaka 35, lakini kundi la wanawake halikuwa na ukomo. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo, Ijumaa Aprili 11,…

Read More

Daraja la Godegode bado mfupa mgumu

Dodoma. Kwa mara nyingine Serikali imeshindwa kusema ni lini itaanza ujenzi wa Daraja la Godegode katika Wilaya ya Mpwapwa ambalo ni kilio cha muda mrefu. Daraja hilo ambalo linaunganisha majimbo ya Mpwapwa, Kibakwe na Kilosa na limekuwa ni tatizo la miaka mingi na wananchi wamekuwa wakikosa mawasiliano kipindi cha mvua. Mbunge wa Mpwapwa, George Malima…

Read More

PUMA ENERGY TANZANIA YACHANGIA MITUNGI YA GESI KATIKA SHUGHULI ZA MBIO ZA MWENGE WA UHURU WILAYANI CHALINZE

Puma Energy Tanzania inaendelea kushirikiana na serikali katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia ambapo imeshiriki katika hafla ya Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Chalinze zilizofanyika jana mkoani Pwani. Mkuu wa Kitengo wa Gesi ya PumaGas Bw. Jeffrey Nasser alikabidhi mitungi ya gesi kwa Mkuu wa Wilaya ya Chalinze Mhe. Shaibu…

Read More

Kuanguka kwa mapigano na udhibiti wa serikali huzuia Msaada wa Mtetemeko wa Myanmar – Maswala ya Ulimwenguni

Mtawa na wahasiriwa wengine wa tetemeko la Machi 28 wanatibiwa chini ya malazi nje ya Hospitali kuu ya Mandalay. Mikopo: IPS Na Guy Dinmore, waandishi wa IPS (Mandalay, Yangon, London) Ijumaa, Aprili 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari MALALAY, Yangon, London, Aprili 11 (IPS) – Wiki mbili baada ya tetemeko la ardhi lililoharibika kugonga…

Read More