Kuelekea uchumi wa kidijitali Tanzania kujiimarisha usalama mtandaoni
Arusha. Tanzania imeendelea kujiimarisha na kuongeza nguvu kwenye usalama mitandao ili kukuza uchumi wa kidijitali pamoja na kuvutia wawekezaji. kupitia Shirika la Mawasiliano Duniani (ITU), imekuwa miongoni mwa nchi 47 bora zilizowekwa kwenye kundi la kwanza zenye mitandao bora salama. Hayo yamesemwa jana Alhamisi Aprili 10, 2025 na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Tehama (ICTC) Dk…