Yanga yaiua Al Hilal, matumaini yabakia Kwa Mkapa

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga imefufua matumaini ya kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya usiku huu kushinda bao 1-0, dhidi ya Al Hilal, katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Cheikha Ould Boidiya huko Nouakchott, Mauritania. Katika mchezo huo wa hatua ya makundi mzunguko wa tano, Yanga ilipata bao…

Read More

Mnyama huyoooo! Robo fainali | Mwanaspoti

SIMBA Ubaya Ubwela. Wekundu hao wa Msimbazi usiku wa jana kiliandika historia nyingine kwa kufuzu robo fainali ya michuano ya CAF ikiwa ni mara ya sita katika misimu saba iliyoshiriki michuano hiyo tangu 2018-2019 baada ya kulazimisha sare ya 1-1 ugenini dhidi ya Bravos do Maquis ya Angola. Matokeo ya jana yameifanya Simba kufikisha pointi…

Read More

VIDEO: Maria Sarungi apatikana, aahidi kuzungumza kesho

Dar es Salaam. Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye alidaiwa kutekwa leo nchini Kenya, amepatikana huku akiahidi kuzungumza zaidi kesho baada ya kutulia. Taarifa ya kutekwa kwa Maria ilitolewa leo Jumapili Januari 12, 2025 na taasisi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu ikisema:  “Maria Sarungi Tsehai, mhariri huru wa vyombo vya habari nchini Tanzania na mtetezi…

Read More

Uchaguzi mabaraza: Ni vita ya Mbowe, Lissu

Dar es Salaam. Baada ya minyukano ya nguvu za hoja kwa takriban wiki mbili,  uchaguzi wa viongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ngazi ya mabaraza, umeiva. Mabaraza hayo ni vijana (Bavicha) na wazee (Bazecha), ambayo yote uchaguzi wake unafanyika kesho Jumatatu, Januari 13, 2024. Mkutano wa Bavicha utafanyikia ukumbi wa Ubungo Plaza…

Read More

Serikali yaanza kuwapokea vijana 420 wa BBT awamu ya pili

Dodoma. Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeanza kuwapokea vijana wa awamu ya pili wa mradi wa Jenga Kesho Iliyo Bora (BBT) ambapo wanatarajia kupokea vijana 420 kutoka mikoa mbalimbali nchini. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili Januari 12, 2024 Mkurugenzi Msaidizi Mipango na Bajeti wa Wizara wa Kilimo, Mohamed Chikawe amesema awamu hii wanatarajia…

Read More

BALOZI NCHIMBI NA MONGELLA WAMTEMBELEA MZEE MANGULA

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akiambatana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Ndugu John Mongella, amemtembelea kwa ajili ya kumsabahi na kumjulia hali Mzee Philip Japhet Mangula, Makamu Mwenyekiti wa CCM Mstaafu (Bara), nyumbani kwake Msalato, Dodoma, leo Jumapili tarehe 12 Januari 2025. Baada ya mazungumzo hayo…

Read More

Gwaride, maonyesho ya kivita yanogesha sherehe miaka 61 ya Mapinduzi Zanzibar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, jana aliongoza wananchi na viongozi mbalimbali katika kuadhimisha miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika sherehe zilizofanyika Gombani, Chake Chake, Pemba. Makomando wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ni miongoni mwa waliokuwa kivutio kikubwa katika kilele cha maadhimisho hayo ya Mapinduzi ya Zanzibar. Miongoni mwa viongozi waliohudhuria…

Read More

DC Simanjiro atoa siku 14 wanafunzi wote wawe wameripoti shuleni

Simanjiro. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Fakii Lulandala ametoa agizo kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za sekondari wawe wameanza masomo ifikapo Januari 27, 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumapili Januari 12, 2025 ofisini kwake, Lulandala amesisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wazazi au walezi…

Read More