Rais Samia: Bara la Afrika linahitaji mshikamano

Angola. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema bara la Afrika linahitaji mshikamano wa pamoja ili liweze kuwa imara na kuheshimika. Samia aliyasema hayo jana Jumanne, Aprili 9, 2025 wakati akilihutubia Bunge la Angola akiweka historia ya kuwa Rais wa kwanza mwanamke kulihutubia Bunge hilo. “Giza linaloonekana katika bara letu ni kielelezo kuwa tunahitaji kuwa…

Read More

Wakati wa kufanya-au-mapumziko kwa Fedha za Maendeleo ya Ulimwenguni na jukumu la uhisani lazima lichukue-maswala ya ulimwengu

Michael Jarvis Maoni na Michael Jarvis (Washington DC) Jumatano, Aprili 9, 2025 Huduma ya waandishi wa habari WASHINGTON DC, Aprili 9 (IPS) – Juni hii, viongozi wa ulimwengu watakusanyika huko Seville kwa Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Kufadhili kwa Maendeleo (FFD4), nafasi kubwa ya kufikiria tena jinsi uchumi wa ulimwengu unavyotoa kwa watu na…

Read More

MAJENGO YA DHARURA KUONGEZEKA KUFIKA 116

****** Na WAF – Dodoma Serikali ya Tanzania imendelea kuboresha huduma za afya kwa kuongeza idadi ya hospitali zenye majengo ya kutolea huduma za dharura (EMD) kutoka 7 hadi kufikia 116 ndani ya miaka minne ikiwa ni ongezeko la hospitali 109. Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amesema hayo leo Aprili 8, 2025 wakati akifunga…

Read More

HUU NI MSAADA KWA WALE WANAOTONGOZA NA KUKATALIWA !!

 logo Huu ni msaada kwa wanaokataliwa kila wakitongoza By ngilishonews.com Waswahili husema kutongoza ni aina nyingine ya sanaa ambayo inahitaji ujuzi pia, kwa kawaida wanawake wanahitaji na kupenda maneno matamu yenye ushawishi kutoka kwa wanaume. Hata hivyo, sio wanaume wote wanaweza kufanya kitendo hicho cha ujasiri, wengi huishia kukaa kimya na hitaji lao moyoni, wengi…

Read More

Niite Fyatu Mfyatuzi Nchonga Kambarange Nyerere

Canada. Haraka haraka niliwasiliana na Madaraka, mwana mwenyewe wa Nchonga aliyewahi kunikaribisha Mwisenge nikahiji kwenye kaburi la baba wa kaya na kuniahidi kirungu. Ilikuwa ni baada ya kung’aka baada ya tapeli mmoja wa kisiasa aitwaye Washiti kupewa. Kwa busara na unyenyekevu, alinijibu “mwalimu alikuwa baba wa wote.” Kiakili ya kifyatu na kibusara, alinikata kilimilimi nikakubali…

Read More