Mbegu atimkia Mashujaa FC | Mwanaspoti

BEKI wa kushoto wa Singida Black Stars, Yahya Mbegu ametolewa kwa mkopo kwenda kuitumikia timu ya maafande wa Mashujaa FC ya mkoani Kigoma hadi mwisho wa msimu huu, baada ya nyota huyo kushindwa kupenya kikosi cha kwanza mara kwa mara. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Habari na Mawasiliano wa Singida Black Stars, Hussein Massanza alikiri Mbegu…

Read More

Mpole anukia Singida Black Stars

MSHAMBULIAJI wa Pamba Jiji, George Mpole yuko hatua za mwisho ili kujiunga na Singida Black Stars kwa mkopo wa miezi sita, baada ya uongozi wa TP Lindanda kutoridhishwa na kiwango alichonacho tangu alipojiunga na kikosi hicho cha jijini Mwanza. Taarifa kutoka ndani ya Pamba Jiji zilizonaswa na Mwanaspoti ni kwamba, Mpole ni miongoni mwa washambuliaji…

Read More

Rais Mwinyi aongoza sherehe za Mapinduzi

Pemba. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewasili katika Uwanja wa Gombani Chakechake mjini hapa,  kuongoza sherehe za miaka 61 ya Mapinduzi zinazofanyika leo Jumapili, Januari 12, 2025. Pamoja na wananchi, baadhi ya viongozi waliohudhuria  sherehe hizo za Mapinduzi yaliyofanyika Januari 12, 1964 ni Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na makamu wake, Dk Philip…

Read More

Jenerali Kanierugaba ajitoa mtandao wa X

Kampala. Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Uganda (UPDF) na mtoto wa Rais wa nchi hiyo,  Yoweri Museveni, Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametangaza kuachana na mtandao wa X, ambapo amekuwa akichapisha jumbe zenye utata. Jenerali Kainerugaba mwenye umri wa miaka 50 amekuwa akijihusisha zaidi katika ulingo wa kisiasa, na kukiuka itifaki za kijeshi, na hivyo kuzua…

Read More

TMA, Mwalwisi kimeumana | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kocha mkuu wa TMA, Maka Mwalwisi amesema sababu kubwa za kuamua kuachana na kikosi hicho cha jijini Arusha ni kutokana na baadhi ya viongozi wake kumuingilia katika majukumu yake uwanjani, ikiwamo kumpangia wachezaji wa kuwatumia. Akizungumza na Mwanaspoti kocha huyo aliyezifundisha timu za Singida Black Stars zamani Ihefu na Mbeya City, alisema kwa sasa…

Read More

Mashuhuda wasimulia, moto ukiua 16 Los Angeles

Los Angeles. Mamlaka jijini Los Angeles nchini Marekani zimethibitisha watu 16 kufariki dunia kutokana na janga la moto wa nyika ambao unaendelea kuteketekeza maeneo mbalimbali ya jiji hilo huku idadi ya vifo ikitarajiwa kuongezeka. Kwa mujibu wa BBC, maofisa jijini humo wamesema leo Jumapili Januari 12, 2025, kuwa wanahofia huenda shughuli ya kutambua walioungua kutokana…

Read More

Muya abebeshwazigo la lawama Geita

MWENYEKITI wa Geita Gold, Leonard Bugomola amesema moja ya malengo waliyompa kocha mpya wa timu hiyo, Mohamed Muya ni kuhakikisha kikosi hicho kinacheza Ligi Kuu Bara msimu ujao, licha ya kutopata muda mrefu wa kukifundisha tangu mwanzo. Muya amejiunga na Geita baada ya kutimuliwa Fountain Gate kufuatia kuchapwa mabao 5-0 na Yanga Desemba 29, mwaka…

Read More