Tanzania Prisons itaishusha KenGold Sokoine leo?

KATIKA uwanja wa Sokoine, Mbeya  Kengold FC ambao wanaburuza mkia wakiwa na pointi 16 watakuwa na mtihani mgumu dhidi ya Tanzania Prisons, walioko nafasi moja juu yao wakiwa na pointi 21. Kitakwimu kama KenGold itakubali kupoteza mchezo huo huenda ikawa imeshuka daraja kwani hesabu za vidole zitakazosalia si rafiki kwao. Kumbukumbu za misimu mitatu nyuma…

Read More

Bei za petroli, dizeli zapaa Zanzibar

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura) imetangaza kuongezeka kwa bei za mafuta ambazo zitaanza kutumika leo Jumatano, Aprili 9, 2025. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo, Meneja wa Kitengo cha Uhusiano wa Zura, Mbaraka Hassan Haji, amesema kuwa ongezeko hilo la bei linachangiwa na mabadiliko ya fedha za…

Read More

FISI WAHARIBIFU WAZIDI KUDHIBITIWA, SIMIYU NA KONGWA.

Na Sixmund Begashe – Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea kuongeza jitihada zaidi za kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu hususani Fisi katika maeneo mbalimbali hapa nchini ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuishi kwa amani na usalama. Akizungumzia jitihada hizo Jijini Dodoma, Mkurugenzi Kitengo cha Uratibu wa Jeshi la Uhifadhi, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACC) Fidelis…

Read More

VIDEO: Wananchi wapewa mbinu kukabiliana na polisi wanaokamata watu ‘kihuni’

Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita limetoa wito kwa wananchi kutokubali kukamatwa na mtu yeyote anayejitambulisha kama askari polisi bila kuonyesha kitambulisho cha utumishi na kueleza kituo cha polisi alichotoka. Jeshi hilo limesema kitendo cha kutokuonyesha kitambulisho au kituo cha kazi ni kinyume cha sheria na kinaweza kutumika kama mbinu ya kuficha vitendo vya kihalifu….

Read More

RPC Jongo: Msikubali kukamatwa na askari asiye na kitambulisho

Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita limetoa wito kwa wananchi kutokubali kukamatwa na mtu yeyote anayejitambulisha kama askari polisi bila kuonyesha kitambulisho cha utumishi na kueleza kituo cha polisi alichotoka. Jeshi hilo limesema kitendo cha kutokuonyesha kitambulisho au kituo cha kazi ni kinyume cha sheria na kinaweza kutumika kama mbinu ya kuficha vitendo vya kihalifu….

Read More