Tanzania Prisons itaishusha KenGold Sokoine leo?
KATIKA uwanja wa Sokoine, Mbeya Kengold FC ambao wanaburuza mkia wakiwa na pointi 16 watakuwa na mtihani mgumu dhidi ya Tanzania Prisons, walioko nafasi moja juu yao wakiwa na pointi 21. Kitakwimu kama KenGold itakubali kupoteza mchezo huo huenda ikawa imeshuka daraja kwani hesabu za vidole zitakazosalia si rafiki kwao. Kumbukumbu za misimu mitatu nyuma…