Straika Mtanzania arejea Bongo | Mwanaspoti

STRAIKA wa zamani wa Fleetwoods United FC, Mgaya Ally iliyokuwa inashiriki Ligi Darala la Pili UAE yuko Bongo akiwindwa na Coastal Union ya Tanga. Nyota huyo alimaliza mkataba wa miaka miwili hivi karibuni na kabla ya kucheza Falme za Kiarabu aliwahi kutumikia Coastal Union ya vijana U-20 msimu wa 2020/21. Hapo awali Mgaya alihusishwa na…

Read More

JKT Queens yabeba wawili wapya

JKT Queens kama ilivyo kawaida yake ya kusajili wachezaji chipukuzi ambao wanafanya vizuri, tayari imenasa saini za wachezaji wapya wawili makinda wenye vipaji. Wachezaji hao ni beki wa kati, Aneth Masala kutoka Allan Queens ya Dodoma na kiungo mshambuliaji, Elizabeth John kutoka Alliance Girls. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na uongozi wa Allan Queens, Masala…

Read More

Mtanzania ateuliwa bosi Umoja wa Afrika

Dar es Salaam. Tanzania imeendelea kung’ara katika nyanja za kimataifa baada ya Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk John Rwegasha kuteuliwa kushika wadhifa wa Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Tiba, Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU). Dk Rwegasha ambaye anatarajiwa kuanza kazi Februari 2025 katika nafasi hiyo mpya amesema…

Read More

Mnunka akubali yaishe Simba Queens

BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi mitano, hatimaye straika wa Simba Queens, Aisha Mnunka amekubali yaishe na kuingia kambini na wenzake. Agosti Mosi, mwaka jana Mwanaspoti iliripoti nyota huyo wa timu ya taifa (Twiga Stars) ametoroka kambini ikiwa ni siku chache tangu atoke kwenye majukumu ya taifa. Hata hivyo, baada ya Simba…

Read More

Yanga yaendelea kukusanya mashine WPL

BAADA ya kushusha majembe matatu kwenye dirisha dogo la usajili, Yanga Princess imesema bado wengine wanakuja. Hadi sasa Yanga imetambulisha wachezaji watatu kutoka Get Program, Diana Mnally, Zubeda Mgunda na Protasia Mbunda ambao hapo awali Mwanaspoti tuliwahi kuandika kuhusu tetesi za wachezaji hao kuhusishwa na wananchi wa kike. Msimu huu Yanga Princess chini ya Edna…

Read More

Sidibe siku zinahesabika Azam | Mwanaspoti

WAKATI kikosi cha Azam FC kikiendelea kujifua ili kujiweka fiti kwa ngwe ya lalasalama ya Ligi Kuu Bara itakayorejea Machi Mosi, inaelezwa kwamba beki wa kushoto wa kimataifa wa timu hiyo kutoka Senegal, Cheikh Sidibe anahesabiwa siku kabla ya kumtemwa kabla dirisha la usajili halijafungwa. Mwanaspoti limedokezwa kwamba beki huyo anayeitwa mara kadhaa timu ya…

Read More

Tanzania Prisons yampa miwili beki Mzenji

MAAFANDE wa Tanzania Prisons wamekamilisha taratibu za kumsajili beki wa kati Athuman Sufian Mwemfua (23) kwa mkataba wa miaka miwili kutoka Junguni United ya Ligi Kuu Zanzibar. Athuman kwa sasa anaripotiwa kuwa Mbeya tayari kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho ambacho kimeruhusu mabao 17 katika michezo 16 ya Ligi Kuu Bara, na kina…

Read More

Afrika na mkakati wa kujiondoa gizani

Dar es Salaam. Licha ya juhudi zinazofanywa na mataifa mbalimbali Afrika kuhakikisha upatikanaji wa umeme kwa wananchi wake, zaidi ya nusu ya Waafrika bado hawajafikiwa na huduma hiyo. Kwa mujibu wa Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB), katika watu wanaokadiriwa kufikia bilioni moja wanaoishi Afrika, takriban milioni 685 hawajafikiwa na huduma ya umeme. Hali hiyo ya…

Read More

SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA DHARURA NJE YA HOSPITALI KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU BINAFSI

NA WAF SERIKALI kupitia Wizara ya Afya itaendelea kutekeleza mkakati wake wa kuimarisha huduma za dharura nje ya hospitali kwa kushirikiana na wadau binafsi. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu alipotembelea moja ya wadau wa Sekta binafsi wanaotoa huduma za Dharura kampuni ya Emergency Medical Services inayofahamika kama E-Plus Tanzania,…

Read More