Vijumbe wa upatu na mzigo wa madeni kwa sio waaminifu

Dar es Salaam. Inaelezwa viongozi wengi wanaoongoza vikundi vya upatu wanakutana na changamoto kubwa ya madeni baada ya washiriki kushindwa kulipa fedha kwa wakati, kuchelewesha, au hata kutoweka bila taarifa. Hali hii imeathiri hasa upatu unaochezeshwa mtandaoni, ambapo baadhi ya wanufaika huzima simu, kuhama makazi, na hata kutoweka, jambo linalowaweka viongozi wa upatu kwenye matatizo….

Read More

Hii hapa ratiba nzima sherehe ya Mapinduzi Zanzibar

Unguja. Leo ikiwa ni kilele cha maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar, wananchi wameanza kuingia katika Uwanja wa Gombani, Wilaya ya Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba zinapofanyika sherehe hizo. Katika sherehe hizo ambazo wageni waalikwa na viongozi mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kuanza kuingia uwanjani hapo kuanzia saa 6:35 mchana,…

Read More

Nondo za Askofu Bagonza uchaguzi CCM, Chadema

Dar es Salaam. Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) vikielekea kufanya mikutano mikuu ya uchaguzi, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amebainisha mambo 10 yenye tafakuri tunduizi na hatima ya vyama hivyo. Januari 18-19, 2025, jijini Dodoma, CCM itafanya mkutano…

Read More

WAZIRI DKT. CHANA ASHIRIKI BARAZA LA UWT LUDEWA

Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Njombe Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana, Januari 11 2025 ameshiriki katika Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Wilaya ya Ludewa ambapo katika baraza hilo amechangia fedha kiasi cha shilingi mililioni 6 kwaajili ya kuwezesha shughuli mbalimbali za UWT Ludewa ikiwemo ujenzi wa…

Read More

KONA YA MAUKI: Jinsi ya kushughulikia migogoro

Katika maisha yetu ya kila siku, iwe kazini, ofisini au nyumbani, migogoro ni asili na sehemu ya maisha yetu. Ukweli ni kwamba maisha yangekosa uhalisi pasipo kuwa na migogoro hii. Hii husababishwa na ukweli kwamba hakuna anayefikiri, au kuwaza au kuwa na mtazamo sawa na mwenzake, kwa sababu vyanzo vya mitazamo hii hutofautiana, kwa hali…

Read More

Uhuru na usiri ni siri za mafanikio ya ndoa

Ndoa ni muungano mtakatifu unaopaswa kuwa huru na usiotegemea au kuingiliwa na watu wengine. Wakati wa kuapishwa, waliokula kiapo ni wawili tu na si miambili. Hivyo, jukumu la kutunza kiapo chenu ni lenu wenyewe. Si jukumu la watoto wenu, wazazi, marafiki, mashoga, au wengine, hata kama mnawapenda, kuwathamini, au kuwaamini vipi. Ndoa ni kama sehemu…

Read More

Simulizi ya Mzee Kombo aliyeongoza vuguvugu la Mapinduzi

Unguja. Mapinduzi ya Zanzibar yalifanikishwa na watu wachache waliokuwa mstari wa mbele katika kupigania haki za Wazanzibari. Mmoja wa watu hao ni Kombo Mzee Kombo (89), aliyeongoza vuguvugu la Mapinduzi mwaka 1964. Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea Januari 12, 1964, lengo ni kuondoa utawala wa kidhalimu, uliokuwa na ubaguzi wa rangi, ukabila, ubaguzi wa elimu, afya…

Read More

Hivi ndivyo Vikoba vya wanawake vinavyozibeba familia kiuchumi

Januari, mwezi unaojulikana kama “Januari ngumu,” ni kipindi ambacho familia nyingi hupitia changamoto za kifedha baada ya matumizi makubwa wakati wa msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka. Hata hivyo, kwa baadhi ya watu, changamoto hizi zimekuwa historia, shukrani kwa vikundi vya kuweka na kukopa, maarufu kama vikoba, ambavyo vimekuwa msaada muhimu wakati wa matatizo…

Read More