Rais Samia: Bara la Afrika linahitaji mshikamano
Angola. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema bara la Afrika linahitaji mshikamano wa pamoja ili liweze kuwa imara na kuheshimika. Samia aliyasema hayo jana Jumanne, Aprili 9, 2025 wakati akilihutubia Bunge la Angola akiweka historia ya kuwa Rais wa kwanza mwanamke kulihutubia Bunge hilo. “Giza linaloonekana katika bara letu ni kielelezo kuwa tunahitaji kuwa…