ZEEA na mipango ya kutengeneza mabilionea Zanzibar

Tukisherehekea miaka 61 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA), ukiwa na miaka miwili tangu kuanzishwa kwake, umefanya mambo makubwa ya kupigiwa mfano kuwatoa wajasiriamali sehemu moja kwenda nyingine. ZEEA ni taasisi ya Serikali ambayo ilianzishwa kwa mujibu wa sheria mwaka 2022, ikiwa na lengo la kuwawezesha wananchi kiuchumi kupitia…

Read More

ONGEA NA ANTI BETTY: Mke wangu ananificha mimba yetu

Swali: Kuna vitu Antie nashindwa hata kuamini, inawezekanaje mkeo akufiche kuhusu kuwa na mimba ambayo bila shaka wewe ni mhusika! Nashangaa mke wangu ananificha mimba yetu, inawezekanaje. Huu ni mwezi wa tatu ninaona mabadiliko ya kitabia kwa mke wangu, kiasi nikahisi ana mimba, nikatenga muda tumetulia nikamuuliza mwenzangu kwema? Akanijibu kwa ukali kidogo kwema, kwani…

Read More

Simulizi ya Mzee Kombo aliyeongoza vuguvugu

Unguja. Mapinduzi ya Zanzibar yalifanikishwa na watu wachache waliokuwa mstari wa mbele katika kupigania haki za Wazanzibari. Mmoja wa watu hao ni Kombo Mzee Kombo (89), aliyeongoza vuguvugu la Mapinduzi mwaka 1964. Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea Januari 12, 1964, lengo ni kuondoa utawala wa kidhalimu, uliokuwa na ubaguzi wa rangi, ukabila, ubaguzi wa elimu, afya…

Read More

VIDEO: Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar

Unguja. Rais Hussein Mwinyi amesema Zanzibar inapoadhimishwa miaka 61 ya Mapinduzi, inajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana, ikiwamo kudumisha amani, umoja na mshikamano na kukuza uchumi. Mbali ya hayo, amesema kumefanyika ujenzi wa miundombinu, uwekezaji na biashara, kuboresha huduma za jamii na kuimarisha demokrasia na utawala bora. Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar Dk Mwinyi alisema hayo jana,…

Read More

‘Kwa nini ilikuwa lazima Mapinduzi yafanyike?’

Januari 12, 1964, visiwa vya Zanzibar vilijikuta katika hali ya mabadiliko yaliyotokana na mgongano wa itikadi, historia na matarajio ya wengi. Chini ya utawala wa Sultani, uliokuwa ukiegemea chama cha Zanzibar Nationalist Party (ZNP), wananchi wengi wenye asili ya Afrika walijikuta wakikumbana na ukandamizaji wa kisiasa na kijamii. Haki za msingi ziliporwa, huku walio wengi…

Read More

RUWASA MANYARA WAITAKA JAMII KUTUNZA VYANZO VYA MAJI

Na Mwandishi wetu, Babati MAMLAKA ya maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) mkoa wa Manyara, imeitaka jamii ya eneo hilo kutunza vyanzo vya maji ili viweze kuendelea kuhudumia kizazi cha sasa na kizazi kijacho. Meneja wa RUWASA mkoa wa Manyara, mhandisi James Kionaumela ameyasema hayo wakati akizungumzia mikakati ya upatikanaji maji kwa jamii ya…

Read More