LIVE: Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar

Unguja. Rais Hussein Mwinyi amesema Zanzibar inapoadhimishwa miaka 61 ya Mapinduzi, inajivunia mafanikio makubwa yaliyopatikana, ikiwamo kudumisha amani, umoja na mshikamano na kukuza uchumi. Mbali ya hayo, amesema kumefanyika ujenzi wa miundombinu, uwekezaji na biashara, kuboresha huduma za jamii na kuimarisha demokrasia na utawala bora. Hatua kwa hatua maendeleo Zanzibar Dk Mwinyi alisema hayo jana,…

Read More

Droni za Ukraine zajeruhi saba Russia, 85 zadunguliwa

Moscow. Mfumo wa ulinzi wa anga wa Russia umefanikiwa kudungua ndege zisizo na rubani maarufu kama ā€˜droni’ 85 za Ukraine kati ya Ijumaa na Jumamosi ya leo. Tovuti ya Russia Today imeripoti leo Jumamosi Januari 11, 2025, kuwa kati yake droni 31 zimedunguliwa zikijaribu kukatiza Bahari Nyeusi kwa ajili ya kwenda kutekeleza mashambulizi katika maeneo…

Read More

Dk Kaushik atunukiwa tuzo na Rais wa India

Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu Hospitali ya Shree Hindu Mandal ya Dar es Salaam, Dk Kaushik Ramaiya, ametunukiwa Tuzo ya Pravas Bharatiya Samman (PBSA) na Rais wa India, Droupadi Murmu, ikiwa ni sehemu ya kuthamini mchango wake katika sekta ya afya nchini Tanzania. Tuzo ya Pravas Brahatiya Sammanya ya mwaka 2025 ilitolewa Januari Mosi,…

Read More

Mwanafunzi wa IFM kortini kwa tuhuma za wizi hosteli

Dar es Salaam. Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, Chuo cha Usimamizi wa Fedha( IFM) Sadik Mbelwa(20) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu shtaka la wizi wa simuĀ  na kompyuta, vyote vikiwa na Ā thamani ya Sh1 milioni. Mwanafunzi huyo anadaiwa kuiba vitu hivyo katika hosteli za Greenlight zinazomilikiwa na Ā Chuo cha Teknolojia Dar es Salam…

Read More

Riadha Kilimanjaro yapata mabosi wapya

CHAMA cha Riadha Mkoa wa Kilimanjaro kimepata mabosi wapya baada ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa chama hicho uliofanyika leo katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, huku Mwenyekiti wa zamani Adram Mikumi akiangushwa na Nelson Mrashani. Katika uchaguzi huo Mrashani alipata kura 17 na kumshinda Mikumi aliyepata sita, ilhali nafasi ya Makamu Mwenyekiti…

Read More

Wataalamu: Kipindupindu kidhibitiwe kama Uviko-19

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya mikoa nchini ikiripotiwa kukumbwa na kipindupindu, wataalamu wa afya wameshauri juhudi zilizotumika kudhibiti Uviko-19 zitumike kukomesha ugonjwa huo. Wakati wa mapambano ya Uviko-19, jamii ilihamasishwa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni, kuepuka kugusana, matumizi ya maji safi na salama na kuzingatia usafi wa mazingira. Mbali ya hayo, wataalamu…

Read More