
TAWA YAWASILISHA TAARIFA YA UTENDAJI WAKE KWA KAMATI YA BUNGE (PIC).
š Kamati yaridhishwa na Kasi ya ukuaji wa Taasisi hiyo. Na Beatus Maganja, Dodoma MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis R. Semfuko akiambatana na Menejimenti ya TAWA leo Januari 10, 2025 amewasilisha taarifa ya utendaji kazi wa TAWA kwa Kamati ya Kudumu ya…