Kesi ya waliojifanya waajiri Moro yapigwa kalenda

Morogoro. Kesi inayowakabili watu 14 wanaotuhumiwa kwa kujifanya maofisa wanaotoa ajira, wakiwakusanya vijana 48 kutoka sehemu mbalimbali nchini na kujipatia fedha kinyume na sheria, imeahirishwa hadi Aprili 24, 2025 itakapotajwa tena. Kesi hiyo inasikilizwa katika Mahakama ya Mwanzo mjini Morogoro (Nunge) ambapo katika hati ya mashtaka, watuhumiwa hao wanashtakiwa kwa kujifanya maofisa wenye mamlaka ya…

Read More

Kipagwile, Peter waibua matumaini Dodoma Jiji

BAADA ya kukusanya pointi saba kwenye mechi tatu zilizopita, Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime amesema hana cha kupoteza kipindi hiki ambacho ligi inakwenda kusimama kwa takribani wiki moja huku akiwamwagia sifa washambuliaji wake kwa kuingia kwenye mfumo. Katika mechi hizo tatu, Dodoma Jiji ilianza na sare ya mabao 2-2 dhidi ya JKT Tanzania…

Read More

KESI YA LISSU UPDATES: Asomewa kesi ya pili

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Lissu amefikishwa mahakamani hapo leo Aprili 10, 2025 saa 10: 15 alasiri na kuwekwa kwenye mahabusu iliyopo mahakamani hapo. Mwanasiasa huyo alikamatwa jana Aprili 9, 2025 wilayani Mbinga mkoani Ruvuma muda mfupi baada ya kumaliza…

Read More

'ACT kabla ya kuwa mbaya' – wataalam wanaonya kama shida za kilimo katika Global South ongezeko – maswala ya ulimwengu

Dk. Himanshu Pathak (katikati) ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Mazao ya Kimataifa ya Tropics ya nusu, Taasisi ya Utafiti ya Ulimwenguni iliyozingatia Kilimo cha Dryland (ICRISAT). Mikopo: icrisat na Joyce Chimbi (Nairobi) Alhamisi, Aprili 10, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 10 (IPS) – Kama mifumo ya kilimo katika ulimwengu…

Read More

NCC YAFUNZA MBINU KUPUNGUZA GHARAMA ZA UJENZI

   …………………….. Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) limeendelea kuimarisha uwezo wa wataalamu wa sekta ya ujenzi nchini kwa kutoa mafunzo yatakayowawezesha kutekeleza miradi kwa ufanisi, kupunguza gharama zisizotarajiwa, na kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa viwango vilivyokusudiwa. Kupitia mafunzo hayo, NCC imelenga kuwajengea uwezo waajiri, wakandarasi na washauri elekezi kusimamia mabadiliko ya kazi, madai na migogoro…

Read More

Jeshi Polisi Ruvuma lasitisha mikutano ya Chadema 

Songea. Jeshi la Polisi Mkoa wa Ruvuma, limesitisha mikutano yote iliyopangwa kufanywa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ukiwamo wa kuhitimisha ziara ya siku sita ya viongozi wakuu wa chama hicho, uliopangwa kufanyika leo. Leo Alhamisi Aprili 10, 2025 Chadema ilipanga kufanya mkutano wa hadhara katika uwanja wa Matalawe, ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha…

Read More

ACT-Wazalendo yahofia kupuuzwa mageuzi sheria za uchaguzi, wagusia suala la Lissu

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimeonyesha wasiwasi kuhusu kutoweka kwa matumaini ya kupatikana kwa mabadiliko na utekelezaji wa sheria za uchaguzi, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa baadaye Oktoba 2025. Kutoweka kwa matumaini hayo, kunatokana na kile kilichoelezwa na chama hicho kuwa, hotuba ya bajeti ya ofisi ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aliyoitoa bungeni jana Jumatano,…

Read More