Lissu afikishwa mahakamani Kisutu | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Lissu amefikishwa mahakamani hapo leo Aprili 10, 2025 saa 10: 15 alasiri na kuwekwa kwenye mahabusu iliyopo mahakamani hapo. Mwanasiasa huyo alikamatwa jana Aprili 9, 2025 wilayani Mbinga mkoani Ruvuma muda mfupi baada ya kumaliza…

Read More

Ufahamu ugonjwa wa Parkinson na athari zake

Dar es Salaam. Wakati ulimwengu ukitarajiwa kuadhimisha Siku ya Parkinson duniani, kesho, ugonjwa huo umetajwa kuathiri neva za fahamu na kuathiri ufanisi wa mwili kwa mgonjwa ikiwemo kushiriki tendo la ndoa. Siku ya Parkinson Ulimwenguni huadhimishwa Aprili 11 kila mwaka ili kuhamasisha kuhusu ugonjwa wa Parkinson, ambao ni ugonjwa endelevu wa neva za fahamu na…

Read More

Jaji Mtungi aichambua No reforms, no election

Dodoma. Msajili wa vyama vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi ameichambua operesheni ya No reforms, no election (bila mabadiliko hakuna uchaguzi) akisema bado haijavunja sheria ya vyama vya siasa huku akasisitiza uchaguzi 2025 upo palepale. Jaji Mutungi ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Aprili 10, 2025 alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma baada ya…

Read More

Hizi hapa sababu mbili kukamatwa kwa Lissu Songea

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amefikishwa Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam, akidaiwa kutenda makosa ya uhaini na kusambaza taarifa za uongo. Lissu anadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma jana Jumatano Aprili 9, 2025 muda mchache baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wa hadhara uliofanyika…

Read More

Othman: Tumechoka kuuwana kwa kisingizio cha uchaguzi

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kime wataka baadhi ya viongozi kuacha tabia ya kuwagombanisha Wazanzibar na kusababisha kuuana kwa kisingizio cha Uchaguzi. Kimewataka viongozi hao kuacha mara moja kutekeleza nia zao ovu kupitia mwamvuli huo. Hayo yamesemwa leo Alhamis Aprili 10, 2025 na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Othman Masoud Othman alipofanya mazungumzo na viongozi wa…

Read More