
Majeruhi ajali ya Msoga waruhusiwa
Bagamoyo. Majeruhi wote 21 waliokuwa wamelazwa kwenye Hospitali ya Msoga Halmashauri ya Chalinze Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani kufuatia ajali iliyohusisha Coaster na lori wameruhusiwa baada ya afya zao kutengamaa. Ajali hiyo iliyotokea Januari 10, 2025 Kijiji cha Mazizi Mkoani Pwani inadaiwa kusababishwa na uzembe wa dereva wa Coaster aliyekuwa anaendesha gari huku akitumia…