
Fikirini, Masalanga wapishana Singida Black Stars
UONGOZI wa Tabora United uko hatua za mwisho kukamilisha usajili wa aliyekuwa kipa wa Singida Black Stars, Fikirini Bakari kwa mkopo baada ya nyota huyo kuachana na Fountain Gate alikocheza kwa mkataba wa miezi sita. Nyota huyo aliyekuwa akiichezea pia Fountain Gate kwa mkopo akitokea Singida, amepelekwa Tabora huku uongozi wa kikosi hicho wakimrejesha kipa…