Fikirini, Masalanga wapishana Singida Black Stars

UONGOZI wa Tabora United uko hatua za mwisho kukamilisha usajili wa aliyekuwa kipa wa Singida Black Stars, Fikirini Bakari kwa mkopo baada ya nyota huyo kuachana na Fountain Gate alikocheza kwa mkataba wa miezi sita. Nyota huyo aliyekuwa akiichezea pia Fountain Gate kwa mkopo akitokea Singida, amepelekwa Tabora huku uongozi wa kikosi hicho wakimrejesha kipa…

Read More

Malone awagawa mabosi wa Simba

BEKI wa Simba, Che Malone Fondoh, amezua jambo klabuni Msimbazi ambako mabosi wa klabu hiyo wamegawanyika pande mbili kuhusu ishu yake. Staa huyo raia wa Cameroon alikuwa na msimu bora sana wa kwanza, lakini sasa msimu huu baada ya makosa ambayo ameyafanya katika baadhi ya mechi, mabosi wa klabu hiyo wamemkalia vikao. Mabosi wa Simba…

Read More

AS Vita yabeba kiungo wa Coastal

AS Vita ya DR Congo imeendelea na operesheni ya kukusanya mastaa kutoka Bara baada ya kumnasa winga wa zamani wa Coastal Union, Dennis Modzaka. Timu hiyo ipo chini ya kocha wa zamani wa Azam, Youssouf Dabo ikiendeshwa na matajiri wa Uturuki ikipiga hesabu za kusuka upya kikosi, huku kocha huyo akionyesha imani kubwa kwa wachezaji…

Read More

Taoussi aanza hesabu mpya | Mwanaspoti

KIKOSI cha Azam FC kimeanza mazoezi mapema wiki hii, ili kuijiandaa na lala salama ya Ligi Kuu Bara, huku kocha wa timu hiyo, Rachid Taoussi akisisitiza amewarejesha mapema mastaa wa timu hiyo ili kuhakikisha hesabu zake kwa duru la pili la ligi zinakaa sawa kuanzia Machi Mosi. Azam inayoshika nafasi ya tatu kwa sasa nyuma…

Read More

Matano aanza mbwembwe Fountain Gate

KOCHA mpya wa Fountain Gate, Mkenya Robert Matano amewaahidi mashabiki na viongozi kutegemea mambo makubwa ndani ya timu hiyo, huku jambo kubwa analotaka ni sapoti ili wafanye vizuri katika mashindano mbalimbali. Matano aliyekuwa anakifundisha kikosi cha Sofapaka nchini Kenya, alitangazwa kuifundisha timu hiyo juzi akichukua mikoba ya Mohamed Muya aliyetimuliwa Desemba 29, mwaka jana muda…

Read More

Serikali yaanza kumwaga fedha miradi ya barabara

Lindi. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali imeanza kutoa fedha kwa ajili ya kukamilisha miradi ya ujenzi wa barabara, hivyo hakutakuwa na kisingizio kwa makandarasi kutoikamilisha kwa wakati miradi hiyo. Waziri Ulega ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Januari 11, 2025 wakati akikagua ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami ya Nachingwea – Ruangwa –…

Read More

Wakulima wa parachichi Njombe sasa kucheka

Njombe. Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka amesema ujenzi wa kiwanda cha kuchakata parachichi mkoani mwake,  ni mkombozi mkubwa kwa wakulima kwani tofauti na ilivyokuwa awali mkulima alikuwa anauza kwa bei ndogo kutokana na hofu ya tunda kuharibika lakini sasa atakuwa na maamuzi ya bei. Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa kiwanda…

Read More

Misaada muhimu imezuiwa huko Gaza, kwani uhaba wa mafuta unatishia huduma za kuokoa maisha – Global Issues

Siku ya Alhamisi, ni harakati 10 tu kati ya 21 zilizopangwa za kibinadamu ziliwezeshwa na mamlaka ya Israeli. Saba walinyimwa moja kwa moja, watatu walizuiliwa na moja ilifutwa kwa sababu ya changamoto za usalama na vifaa, alisema Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric, katika mkutano wa Ijumaa na wanahabari mjini New York. OCHA pia…

Read More