Waziri Gwajima aishukuru Benki ya Biashara DCB kwa kuwawezesha wanawake kiuchumi

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, ameishukuru Benki ya Biashara ya DCB katika jitihada inazoonesha katika kuwawezesha wanawake wa kitanzania kiuchumi.Pongezi hizo alizitoa katika hafla ya uzinduzi wa Kamati ya Kitaifa ya kuratibu masuala ya uwezeshaji wa majukwaa ya uwezeshaji wa wanawake kiuchumi. Katika hafla hiyo iliyofanyika…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kwaheri KenGold mmevuna mlichokipanda

TATHMINI ya kimpira hapa kijiweni imeishusha rasmi daraja KenGold kutoka Ligi Kuu kwenda Ligi ya Championship japo imebakiwa na mechi nne mkononi ambazo ikishinda itapata pointi 12 na ikijumlisha na ilizonazo 16, jumla itakuwa na 28. Ukiangalia msimamo wa Ligi Kuu, kuna timu kama nne hivi ambazo zinahitaji pointi mbili tu katika michezo ambazo zimebakiza…

Read More

NCC yavalia njuga ufanisi, uboreshaji miradi ya ujenzi

Arusha. Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) limeendelea kuimarisha uwezo wa wataalamu wa sekta ya ujenzi nchini kwa kutoa mafunzo yatakayowawezesha kutekeleza miradi kwa ufanisi, kupunguza gharama zisizotarajiwa na kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa viwango vilivyokusudiwa. Kupitia mafunzo hayo, NCC imelenga kuwajengea uwezo waajiri, makandarasi na washauri elekezi kusimamia mabadiliko ya kazi, madai, na migogoro kwa…

Read More

Mabomu ya machozi yarindima tena Songea, Heche naye adakwa

Songea. Mkutano uliopangwa kufanyika leo saa tano asubuhi kati ya waandishi wa habari na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, umevurugika baada ya Polisi kuwatawanya wanachama na wafuasi wa chama hicho waliokusanyika katika ofisi za chama zilizopo eneo la soko la Mfaranyaki, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma. Hata hivyo, hii ni mara…

Read More

WANANCHI WASHAURIWA KUFUATILIA MIJADALA YA BAJETI BUNGENI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV MWEZESHAJI wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS), Deogratius Temba amesema kunahaja kubwa wananchi kufuatilia na kusikiliza mijadala ya bajeti bungeni sambamba na kuhakikisha inaenda kuzungumza mahitaji halisi ya wananchi kama walivyojadili katika ngazi za mitaa pamoja na kata. Ameyasema hayo jana April 09,2025 wakati wa Semina hiyo ambayo hufanyika…

Read More

MAJALIWA ASHIRIKI KIKAO CHA BUNGE

     ***** Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameshiriki Kikao cha Tatu cha Mkutano wa kumi na Tisa wa Bunge Leo Alhamisi Aprili 10, 2025.  Wabunge mbalimbali wameendelea kuchangia hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge kwa Mwaka 2025-2026, baada ya kuwasilishwa na Waziri Mkuu Bungeni jana Machi 9, 2025.  

Read More