Wanaume 193 waugua kipindupindu Mbeya

Mbeya. Katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya, watu 261 wamebainika kuugua ugonjwa wa kipindupindu, kati yao wanaume ni 193, wakiwemo watoto 12 wenye umri chini ya miaka mitano. Taarifa hizi zimetolewa na Mganga Mkuu wa Jiji la Mbeya, Dk Yesaya Mwasubila, wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kikiwamo…

Read More

Fountain Gate hakuna kulala, warejea kambini

LICHA ya Ligi Bara Kuu kusimama kwa miezi miwili, kikosi cha Fountain Gate kimeamua kurudi mapema kambini kikipanga kuanza Jumamosi kujiweka fiti tayari kwa duru la pili la ligi ya msimu huu. Fountain ambayo ipo nafasi ya sita kwenye msimamo inatarajia kuingia kambini Januari 11, huku mastaa wa timu hiyo wakitarajia kuanza kuripoti kuanzia kesho,…

Read More

Fainali ya wageni yanukia Mapinduzi 2025

USHINDI ilioupata Kenya dhidi ya Kilimanjaro Stars na ule wa Burkina Faso mbele ya wenyeji Zanzibar Heroes, umeziweka timu hizo zilizoalikwa kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 katika nafasi mzuri ya kucheza fainali itakayopigwa Jumatatu ijayo, visiwani hapa. Timu hizo mbili kila moja sasa ina pointi nne baada ya kucheza mechi mbili, huku Harambee…

Read More

DC Mpogolo ateta na wakuu wa shule ahimiza ufaulu zaidi 2025

  MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka wakuu wa shule za sekondari wilayani humo, kufanya kazi kwa ushirikiano, weredi, busara, hekima na  kusimamia  maadili ya wanafunzi shuleni ili kuinua taaluma na ufaulu mzuri. Aidha amesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka huu, jukumu kubwa la  walimu ni kuhakikisha ufaulu unaongezeka kwani wazazi wanahitaji matokeo…

Read More

Kipa Mnigeria ajichomoa Tabora United

SIKU chache tangu Mwanaspoti liliripoti kuwa Tabora United ilikuwa hatua ya mwisho kumshusha kipa wa timu ya taifa ya Gabon, mabosi wamekubaliano kutemana na kipa Mnigeria Victor Sochima, huku nyota huyo akisema amefurahi kutimiza malengo ya kucheza soka Tanzania. Akizungumza na Mwanaspoti, Sochima alisema alibakisha mkataba wa miezi sita na timu hiyo, japokuwa baada ya…

Read More

Kiduku akimbilia Tanzania Prisons | Mwanaspoti

MAAFANDE wa Tanzania Prisons wameongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji kwa kumnasa mshambuliaji Kelvin Sabato ‘Kiduku’ aliyewahi kuwika na Mtibwa Sugar, Singida Big Stars na Namungo. Usajili huu unakuwa wa kwanza kwa kocha mpya wa Prisons, Amani Josiah ambaye ana jukumu zito la kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri katika duru la pili la Ligi Kuu,…

Read More

SPURS KULIPA KISASI KWA LIVERPOOL?

MOJA ya mchezo mkali ambao itachezwa usiku wa leo ni pamoja na mchezo wa nusu fainali wa kombe la Carabao ambapo klabu ya Tottenham Hotspurs dhidi ya Liverpool, Mchezo ambao unaweza kukupa mkwanja wa kutosha usiku wa leo. Mchezo huo wa nusu fainali unaonekana kama unaweza kua wa kisasi kwani Spurs walipokea kipigo kizito kwenye…

Read More