Singida Black Stars itaipindua Azam FC?

SINGIDA Black Stars, leo huenda ikasogea hadi nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara na kuishusha Azam FC, ikiwa itashinda dhidi ya Coastal Union, huku wapinzani wake wakipoteza au kutoka sare mbele ya Yanga. Iko hivi. Singida Black Stars inayoshuka kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga na Coastal Union kuanzia saa 10:00 jioni endapo…

Read More

Ya kuzingatia mauzo ya mifugo, nyama yakizidi kupaa

Dar es Salaam. Wakati mauzo ya mifugo katika masoko yaliyosajiliwa yakiongezeka kwa mwaka 2024, wadau wametaka wafugaji wapewe mbinu bora za ufugaji na mbegu ili kuongeza thamani ya mifugo yao. Ripoti ya uchumi wa Kanda ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaonyesha kuwapo kwa ongezeko kubwa la mifugo inayouzwa kuliko fedha zinazopatikana robo ya mwaka…

Read More

Sapraizi ya Aziz Ki | Mwanaspoti

KIPUTE cha leo pale Azam Complex kimeshikilia mambo mawili makubwa; mosi, ni je Yanga itashinda na kukomaa juu ya msimamo huku ikiipoteza kabisa Azam katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu Bara au Azam itashinda na kuipunguza kasi Yanga katika mbio za kuwania ubingwa huo. Lakini, kuna mambo mengine yanayoendelea upande wa mechi zingine za…

Read More

Azam, Yanga …. Mechi ya maamuzi, mabao

YANGA inajivunia kuwa na wigo mpana wa kufunga mabao inapokwenda kukabiliana na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Alhamisi hii kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar, lakini inakumbuka mara ya mwisho dimbani hapo iliondoka na maumivu makali sana. Ukiangalia msimamo wa ligi hiyo, mabingwa watetezi Yanga wapo kileleni kwa mambo mawili, timu…

Read More

Changamoto ya giza Dar na mustakabali wa jiji la kisasa

Mmoja wa marafiki zangu wa nje walionitembelea hivi karibuni aliniambia “Dar es Salaam is beautiful, but it’s quite dark at night. Is it safe?” (Dar es Salaam ni mji mzuri, lakini una giza. Je, ni salama kuishi hapa?”) Elijah (rafiki huyo Mjerumani) aliniambia tulipofika Coco Beach Masaki tukitokea Mwenge, hapo tulifuata mishikaki, juisi ya muwa…

Read More

Wasauzi wamrudisha Fadlu nyumbani CAF

BAO la dakika ya 79 lililofungwa na kiungo Sihle Nduli limetosha kuitupa nje Zamalek ya Misri kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini likiivusha Stellenbosch ikiwafuata Simba. Ushindi huo wa ugenini wa Stellenbosch unaifanya timu hiyo  kukutana na Simba, ikiwazuia wekundu hao kurudi Misri huku ikimrudisha kocha Fadlu Davids kukutana na Wasauzi wenzake. Simba…

Read More

Shule za Yerusalemu za Mashariki ziliambiwa karibu, Guterres alisikitishwa na Vifo vya Santo Domingo, Dk Kongo na Sasisho za Haiti – Maswala ya Ulimwenguni

Shule ziliambiwa lazima zifunge ndani ya siku 30. Bwana Lazzarini alisema kuwa wavulana na wasichana 800 wanaathiriwa moja kwa moja na maagizo haya ya kufungwa na wanaweza kukosa kumaliza mwaka wao wa shule. Alibaini kuwa Unrwa Shule zinalindwa na “marupurupu na kinga” ya Umoja wa Mataifa. “Amri hizi za kufungwa haramu zinakuja kwa sheria ya…

Read More

SERIKALI IJIAANDAE KUJENGA MIRADI YA UMEME KUFIKIA 2030

**** Naibu waziri wa Nishati Dotto mashaka Biteko amesema serikali inatakiwa kujipanga katika kujenga miradi ya umeme kuanzia sasa ilikuepuka madhara ya kukosa umeme kwa miaka ijayo. Dkt Biteko ameyazungumza haya leo 9 Aprili 2025 jijini Dodoma ,wakati wa uzindunzi wa Taarifa za maendeleo ya sekta ya Nishati kwa mwaka 2023_2024 . Aidha megawait 8059…

Read More