Singida Black Stars itaipindua Azam FC?
SINGIDA Black Stars, leo huenda ikasogea hadi nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara na kuishusha Azam FC, ikiwa itashinda dhidi ya Coastal Union, huku wapinzani wake wakipoteza au kutoka sare mbele ya Yanga. Iko hivi. Singida Black Stars inayoshuka kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga na Coastal Union kuanzia saa 10:00 jioni endapo…