RAIS SAMIA MGENI RASMI TUZO YA MLIPAKODI BORA JANUARY 23.2025

  Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kufanya maadhimisho ya siku ya shukrani na kutoa tuzo kwa Walipakodi bora kwa mwaka 2023/2024 tukio litakalofanyika Jijini Dar es Salaam January 23.2025. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Arusha Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano Bw. Richard Kayombo amesema mgeni rasmi katika maadhimisho hayo anatarajiwa kuwa…

Read More

RAIS DKT. SAMIA AFUNGUA SKULI YA SEKONDARI MISUFINI, BUMBWINI ZANZIBAR WAKATI WA SHAMRASHAMRA ZA KUELEKEA MIAKA 61 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa Skuli ya Sekondari Misufini iliyopo Bumbwini Zanzibar tarehe 08 Januari, 2025.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua vyumba vya Maabara mara baada ya kufungua Skuli ya Sekondari Misufini iliyopo Bumbwini Zanzibar…

Read More

Samia: Maono ya Serikali kuzalisha wataalamu badala ya wasomi

Unguja. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema maono ya Serikali ni kusomesha watoto kuwa wataalamu wanaoweza kuajirika ndani ya miradi inayowekezwa nchini. Amesema elimu inayotolewa inatakiwa kuzalisha wataalamu na si wasomi pekee, kwani mtu anaweza kuwa msomi lakini asiwe mtaalamu, hivyo kushindwa kujisaidia yeye mwenyewe na kushindwa kulisaidia taifa lake. Rais Samia Suluhu Hassan…

Read More

Mwendokasi Mbagala bado kitendawili | Mwananchi

Dar es Salaam. Hatua ya kuitwa wazabuni wa kusambaza gesi asilia katika mabasi 755 yatakayotoa huduma katika awamu ya pili ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), inatia moyo, lakini bado haitegui kitendawili cha lini awamu hiyo itaanza rasmi. Jawabu la lini awamu hiyo itaanza kazi linabaki kuwa kitendawili kisichoteguka, kutokana na ahadi lukuki zilizowahi…

Read More