
MEYA KUMBILAMOTO AZINDUA NYUMBA ZA KISASA MILANO
WAWEKEZAJI Nchini Wahakikishiwa Usalama na Amani ili wa Mali zao ili waweze Kufanya Uwekezaji wenye tija kwa Maslahi mapana ya Taifa . Akizungumza na Wanahabari Leo Januari 10,2025 Wakati wa Uzinduzi wa mradi Wa Nyumba za Kisasa (Milano Appartment) uliopo Masaki JijiniDaresSalaam,Meya wa Jiji la Dar es Salaam Omary Kumbilamoto amesema anamshukuru sana Rais wa…