Mitazamo tofauti yanayoendelea Chadema | Mwananchi

Dar es Salaam. Wadau wa siasa nchini Tanzania wamekuwa na maoni tofauti juu ya kile kinachoendelea ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Kwa sasa Chadema kuna mvutano baada ya kuibuka kwa kundi la G55 la watia nia ubunge wa mwaka 2020 na 2025 likijumuisha baadhi ya vigogo wanaokubaliana kwamba No Reforms, lakini si…

Read More

Sh1.1 bilioni kutatua kero ya maji Maswa

Simiyu. Zaidi ya Sh1.1 bilioni zinatarajiwa kutatua changamoto ya maji kwa wananchi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, iliyokuwa ikiwakabili kwa muda mrefu. Fedha hizo zinazotumika kugharimia ujenzi wa mradi wa tanki la maji litakalokuwa na ujazo wa lita milioni mbili na kuwanufaisha jumla ya wananchi 102,682. Kwa mujibu wa Mamlaka ya Maji na Usafi…

Read More

PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA AWAMU YA PILI KAMPENI YA USALAMA BARABARANI KWA WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI

***** Puma Energy Tanzania kwa Kushirikiana na shirika la Amend Tanzania imezindua awamu ya pili ya kampeni yake ya Usalama Barabarani inayojulikana kama ‘Be Road Safe Africa’.  Mpango huo wenye kuleta mageuzi kwa usalama barabarani unalenga kuwawezesha watoto na kuboresha uelewa wa usalama barabarani katika jamii zao. Awamu ya pili itaendeleza jitihada zake katika shule za…

Read More

Wakulima wanahitaji suluhisho za sayansi mikononi mwao mapema kuliko baadaye – maswala ya ulimwengu

Mfalme wa mazao, Simeon Ehui, Mkurugenzi Mkuu wa IITA, ameshikilia Cassava Tuber, mazao muhimu yaliyotengenezwa na IITA. Mikopo: Busani Bafana/IPS na Busani Bafana (Nairobi) Jumatano, Aprili 9, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Aprili 09 (IPS) – Mabadiliko ya hali ya hewa yanapatikana sayansi na wakulima wanalipa bei. Ubunifu wa utafiti wa kilimo unahitaji…

Read More

Akutwa amekufa pembeni ya mto Sekei, Arusha

Arusha. Mwili wa mwanaume mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi yake umekutwa pembezoni mwa mto Sekei jijini Arusha, huku ukiwa umeanza kuharibika. Mwili huo umebainika usiku wa kuamkia leo Aprili 9, 2025 na watoto waliokuwa wanatafuta mbwa wao aliyekimbilia mtoni ambapo inadhaniwa alikuwa anafuata harufu ya mwili huo. Kubainika kwa mwili huo kunafanya jumla ya…

Read More

Zanzibar yawataka wananchi kuwa makini na matumizi ya maji

Unguja. Katika kukabiliana na uhaba wa maji kisiwani Zanzibar, wananchi wametakiwa kuwa makini katika matumizi ya maji ili kudhibiti upotevu wa rasilimali hiyo muhimu, kwani tone moja lina thamani kubwa katika maisha ya binadamu. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Lela Mohammed Mussa amesema hayo leo Jumatano Aprili 9, 2025 wakati akizindua mradi…

Read More

TLS: Kila hoja inayopigiwa kelele uchaguzi mkuu ina mantiki

Dar es Salaam. Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimeibeba ajenda ya uchaguzi mkuu mwaka huu ikieleza kila hoja inayopigiwa kelele na pande mbili zinazokinzana kuhusu uchaguzi huo ina mantiki. TLS imekwenda mbali zaidi na kueleza kuwakutanisha wadau wote wa uchaguzi ili kuwa na makubaliano ya pamoja, kabla ya kwenda kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba…

Read More

RC Chongolo kuondoa changamoto ya foleni ya malori Tunduma

Tunduma. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo, ameunda kamati maalumu kuchunguza sababu za ucheleweshaji wa malori ya mizigo kuvuka mpaka wa Tunduma, ambapo imebainika baadhi hukaa hadi siku nane yakisubiri vibali vya kuvuka. Kamati hiyo imeundwa baada ya Chongolo kufanya mazungumzo na wadau wa usafirishaji kwenye kituo cha kutoa huduma kwa pamoja (OSBP) kilichopo…

Read More