MEYA KUMBILAMOTO AZINDUA NYUMBA ZA KISASA MILANO

WAWEKEZAJI Nchini Wahakikishiwa Usalama na Amani ili wa Mali zao ili waweze Kufanya Uwekezaji wenye tija kwa Maslahi mapana ya Taifa . Akizungumza na Wanahabari Leo Januari 10,2025 Wakati wa Uzinduzi wa mradi Wa Nyumba za Kisasa (Milano Appartment) uliopo Masaki JijiniDaresSalaam,Meya wa Jiji la Dar es Salaam Omary Kumbilamoto amesema anamshukuru sana Rais wa…

Read More

STAMICO YAPONGEZWA KWA KUWEZESHA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA-PEMBA

Na Nasra Ismail Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeshiriki Maonesho ya 11 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika Viwanja vya Chamalangwa-Pemba Visiwani Zanzibar yaliyoanza tarehe 7/1/2025-15-1-2025 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Waziri wa Utalii na Malikale wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Mudrik Soraga. Katika Maonesho hayo, Mgeni Rasmi alilitunuku Shirika la Madini la…

Read More

NMB YATOA PONGEZI KWA JESHI LA POLISI MKOA WA SONGWE

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Augustino Ignace Senga akipokea zawadi mbalimbali za ofisi ikiwa ni pamoja na kalenda ya mwaka 2025 kutoka kwa Meneja wa tawi la benki ya NMB wilaya ya Mbozi, Greyson John Komba akiwa ameambatana na Mdhibiti Ubora wa Tawi, Fausta Lusekelo , walipotembelea ofisi…

Read More

Jamii yahimizwa kuomba mikopo kukuza biashara

Unguja. Waziri wa Maji, Nishati na Madini Zanzibar, Shaib Hassan Kaduara amewataka wajasiriamali wa Soko la Kinyasini, Mkoa wa Kaskazini Unguja kujiunga na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kuomba mikopo ili kuendeleza biashara zao. Amesema hayo katika ufunguzi wa tawi la PBZ leo Ijumaa Januari 10, 2025, Kinyasini, Kaskazini Unguja. “Biashara yoyote inahitaji mtaji,…

Read More

Gavana BoT ataja umuhimu wa elimu ya fedha shuleni

Dar es Salaam. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amesema tayari wameshaandaa miongozo itakayotoa elimu ya fedha kwa Watanzania itakayofundishwa kuanzia shuleni. Amesema hatua hiyo inalenga kumpa Mtanzania elimu ya kumwongoza kwenye matumizi ya fedha ili kuepuka utumiaji usiofaa unaosababisha umasikini. Tutuba ametoa kauli hiyo kwenye hafla ya kuorodheshwa kwa Hisa Stahiki…

Read More

Pamba yaleta beki la TP Mazembe

PAMBA Jiji ipo katika hatua za mwisho kumalizana na beki wa zamani TP Mazembe, Chongo Kabaso raia wa Zambia kuja kuimarisha safu yake ya ulinzi. Pamba ambayo imepanda Ligi Kuu msimu huu, ni kama haijaanza vizuri kwani iko nafasi mbaya katika msimamo wa ligi kwani inashika nafasi ya 14. Katika mechi 16 ilizocheza Pamba imefunga…

Read More

Mmoja mbaroni, moto ukiteketeza nyumba 10,000

Marekani. Idara ya Polisi ya Los Angeles (LAPD) imesema inamshikilia mtu mmoja anayedaiwa kusababisha moto mkali uliochoma nyumba zaidi ya 10,000 na kuua watu 10 nchini humo. Moto huo ulioanza usiku wa kuamkia Januari 9, 2025 umeteketeza nyumba za kifahari za mbele ya bahari. Ofisa mkuu wa LAPD, Charles Dinsel ameuambia mtandao wa NewsNation jana…

Read More