
Nyumba ya Paris Hilton Yateketea Kwa Moto – Global Publishers
Paris Hilton ni miongoni mwa mastaa ambao wamekumbwa na athari za moja kwa moja kufuatia moto mkubwa unaoendelea kuwaka Los Angeles nchini Marekani ambapo moja kati ya nyumba zake iliyopo Malibu kando ya bahari, imeteketea kwa moto. TMZ imeeleza kuwa nyumba hiyo imeteketea yote baada ya kupitiwa na moto huo unaochochewa na…