Mzize anavyowafukuza Aziz, Pacome | Mwanaspoti

Yanga inajiandaa kusafiri kuifuata Al Hilal ya Sudan kwa mchezo wa raundi ya tano ya kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika ili kuisaka tiketi ya kupenya kwenda robo fainali ya michuano hiyo kwa msimu wa pili mfululizo. Msimu uliopita timu hiyo ilicheza hatua hiyo baada ya kupenya kutoka Kundi A sambamba na Al Ahly ya…

Read More

Moto wateketeza makazi ya mastaa Hollywood Marekani

Marekani. Moto wa porini umelipuka eneo la Hollywood Hills na kusababisha taharuki kubwa na watu wengi kuhamishwa kutoka Hollywood Boulevard, huku kukiwa na onyo kwamba wakazi wengine 100,000 wanapaswa kuwa tayari kuondoka makwao. Kwa mujibu wa tovuti ya daily mail, moto huu wa kasi, unaojulikana kama “Sunset Fire,” ulianza kuenea kwa kasi kupitia Hills, na…

Read More

CAF yaongeza mkwanja CHAN | Mwanaspoti

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeweka wazi ongezeko kubwa la zawadi kwa washindi wa Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) ya mwaka 2024 yatakayofanyika Kenya, Tanzania, na Uganda. Zawadi ya mshindi wa michuano hii imeongezwa kwa asilimia 75, ambapo sasa mshindi atapata dola 3.5milioni ambazo ni zaidi ya 8.7 bilioni. Aidha, jumla ya zawadi kwa…

Read More

Polisi yaonya wananchi kumpiga anayedaiwa kuwa ni ‘Teleza’

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa amewaonya wananchi waliotaka kumshambulia mwananchi mmoja wakimtuhumu kuwa ni mbakaji maarufu ‘Teleza’. Kamanda Mutafungwa ameyasema hayo leo Alhamisi Januari 9, 2025 katika taarifa kwa umma iliyochapishwa katika kurasa za mitandao ya kijamii ya Jeshi la Polisi. “Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza linapenda kuwatoa hofu wananchi wa…

Read More