
Madereva mabasi ya Lindi, Mtwara wagoma kisa faini
Lindi. Madereva wa mabasi yanayofanya safari kutoka Stendi Kuu ya Lindi kuelekea Masasi mkoani Mtwara na Nachingwea, Liwale na Ruangwa, wamegoma kuendelea na safari kwa madai ya kufungiwa leseni na kuzidishiwa faini kutoka kwa askari wa kitengo cha usalama barabarani mkoani Lindi. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Januari 8, 2025, Bakari Saidi ambaye ni dereva…