Madereva mabasi ya Lindi, Mtwara wagoma kisa faini 

Lindi. Madereva wa mabasi yanayofanya safari kutoka Stendi Kuu ya Lindi kuelekea Masasi mkoani Mtwara na Nachingwea, Liwale na Ruangwa, wamegoma kuendelea na safari kwa madai ya kufungiwa leseni na kuzidishiwa faini kutoka kwa askari wa kitengo cha usalama barabarani mkoani Lindi. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Alhamisi Januari 8, 2025, Bakari Saidi ambaye ni dereva…

Read More

Reli ya Kaskazini kuboreshwa | Mwananchi

Arusha. Serikali imesema ipo mbioni kufanya maboresho makubwa ya reli ya Kanda ya Kaskazini kwa lengo la kupunguza msongamano wa malori ya mizigo yanayopita katika Jiji la Arusha kutokea Bandari ya Tanga. Aidha imesema kumekuwa na msongamano mkubwa wa malori hayo yanayoelekea nchi jirani na kusababisha kero kubwa kwa watumiaji wa barabara. Hayo yamesemwa leo…

Read More

Wanaume 193 waugua kipindupindu Mbeya

Mbeya. Katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya, watu 261 wamebainika kuugua ugonjwa wa kipindupindu, kati yao wanaume ni 193, wakiwemo watoto 12 wenye umri chini ya miaka mitano. Taarifa hizi zimetolewa na Mganga Mkuu wa Jiji la Mbeya, Dk Yesaya Mwasubila, wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kikiwamo…

Read More

Fountain Gate hakuna kulala, warejea kambini

LICHA ya Ligi Bara Kuu kusimama kwa miezi miwili, kikosi cha Fountain Gate kimeamua kurudi mapema kambini kikipanga kuanza Jumamosi kujiweka fiti tayari kwa duru la pili la ligi ya msimu huu. Fountain ambayo ipo nafasi ya sita kwenye msimamo inatarajia kuingia kambini Januari 11, huku mastaa wa timu hiyo wakitarajia kuanza kuripoti kuanzia kesho,…

Read More

Fainali ya wageni yanukia Mapinduzi 2025

USHINDI ilioupata Kenya dhidi ya Kilimanjaro Stars na ule wa Burkina Faso mbele ya wenyeji Zanzibar Heroes, umeziweka timu hizo zilizoalikwa kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 katika nafasi mzuri ya kucheza fainali itakayopigwa Jumatatu ijayo, visiwani hapa. Timu hizo mbili kila moja sasa ina pointi nne baada ya kucheza mechi mbili, huku Harambee…

Read More

DC Mpogolo ateta na wakuu wa shule ahimiza ufaulu zaidi 2025

  MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka wakuu wa shule za sekondari wilayani humo, kufanya kazi kwa ushirikiano, weredi, busara, hekima na  kusimamia  maadili ya wanafunzi shuleni ili kuinua taaluma na ufaulu mzuri. Aidha amesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka huu, jukumu kubwa la  walimu ni kuhakikisha ufaulu unaongezeka kwani wazazi wanahitaji matokeo…

Read More

Kipa Mnigeria ajichomoa Tabora United

SIKU chache tangu Mwanaspoti liliripoti kuwa Tabora United ilikuwa hatua ya mwisho kumshusha kipa wa timu ya taifa ya Gabon, mabosi wamekubaliano kutemana na kipa Mnigeria Victor Sochima, huku nyota huyo akisema amefurahi kutimiza malengo ya kucheza soka Tanzania. Akizungumza na Mwanaspoti, Sochima alisema alibakisha mkataba wa miezi sita na timu hiyo, japokuwa baada ya…

Read More