MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHI ZA SWEDEN NA MSUMBIJI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Sweden Mheshimiwa Balozi. Mobhare Matinyi pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mheshimiwa Balozi Hamad Khamis Hamad. Mazungumzo hayo yamefanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 09 Aprili 2025. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…