
SHAGEMBE: Mchimba madini aliyemzima kiboko ya Kiduku
FRANK Shagembe siyo jina kubwa ukitaja majina makubwa katika mchezo wa ngumi za kulipwa nchini lakini kwa sasa heshima yake imekuwa ikisumbua vichwa vya mabondia wakubwa. Shagembe kijana wa miaka 24 ambaye ametoka kwenye maisha magumu akiwa mzururaji wa uchimbaji wa madini ya dhababu kule Chunya mkoani Mbeya ndiye aliyeweza kumzima Asemahle Wellem ‘Predator’ kijana…