WAATUMISHI WA UMMA WATAKIWA KUWA WAADILIFU WANAPOTUMIA MFUMO WA NeST
**** Na mwandishi wetu- TABORA. Katibu Tawala Mkoa wa Tabora, Dkt. John Mboya amewataka watumishi wa umma kuzingatia Sheria ya Ununuzi wa Umma ya Mwaka 2023, wanapofanya michakato ya ununuzi kupitia Mfumo wa NeST ili kuongeza ufanisi na tija. Ameyasema hayo jana, Aprili 8, 2025 wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa taasisi za…