Wanaodai kubadilishiwa mtoto wasusia mwili, wataka DNA irudiwe nje ya nchi
Arusha. Ikiwa zimepita siku sita tangu majibu ya vinasaba (DNA) kutolewa na kuonyesha kuwa mkazi wa Mtaa wa Ndarvoi, Neema Kilugala (26), aliyedai kubadilishiwa mtoto siyo kweli na kuwa mtoto aliyepewa (ambaye kwa sasa ni marehemu) ndiye wa kwake, familia hiyo imesusia mwili wa mtoto huyo ikitaka uchunguzi zaidi. Pamoja na kususia familia hiyo inaomba…