HUU NI MSAADA KWA WALE WANAOTONGOZA NA KUKATALIWA !!

 logo Huu ni msaada kwa wanaokataliwa kila wakitongoza By ngilishonews.com Waswahili husema kutongoza ni aina nyingine ya sanaa ambayo inahitaji ujuzi pia, kwa kawaida wanawake wanahitaji na kupenda maneno matamu yenye ushawishi kutoka kwa wanaume. Hata hivyo, sio wanaume wote wanaweza kufanya kitendo hicho cha ujasiri, wengi huishia kukaa kimya na hitaji lao moyoni, wengi…

Read More

Niite Fyatu Mfyatuzi Nchonga Kambarange Nyerere

Canada. Haraka haraka niliwasiliana na Madaraka, mwana mwenyewe wa Nchonga aliyewahi kunikaribisha Mwisenge nikahiji kwenye kaburi la baba wa kaya na kuniahidi kirungu. Ilikuwa ni baada ya kung’aka baada ya tapeli mmoja wa kisiasa aitwaye Washiti kupewa. Kwa busara na unyenyekevu, alinijibu “mwalimu alikuwa baba wa wote.” Kiakili ya kifyatu na kibusara, alinikata kilimilimi nikakubali…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Gari ikigongwa na treni imekosea

Kuna hekaya zingine za utotoni tulizigundua ukubwani kuwa zilikuwa za kufikirika. Lakini zingine hadi leo zimetuachia maswali bila majibu. Kwa mfano hii inayodai kuwa treni ikigonga gari, gari ndiyo itakayoadhibiwa. Inaweza kuwa kweli kwa sababu reni haiwezi kutumia njia ingine zaidi ya reli, na reli haiwezi kutumika na chombo kingine cha usafirishaji. Iwapo njia hiyo…

Read More

Afariki dunia baada ya kugongwa gari, chanzo mwendokasi

Shinyanga. Jeshi la polisi mkoani Shinyanga linachunguza tukio la kugongwa na gari mkazi wa Mtaa wa Sido, Kata ya Ibinzamata Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Magembe Mabula Shija (56) na kufariki papo hapo kisha dereva wa gari hilo kukimbia.Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumanne Aprili 08, 2025 Kamanda wa Jeshi la Polisi Shinyanga, Janeth…

Read More

Wabunge hawa Tanga tumbo joto, sababu hizi hapa

“Kazini kwa wabunge wa majimbo 10 mkoani Tanga kuna kazi”, ndiyo lugha nyepesi inayoweza kutumika kutafsiri mtifuano na kivumbi cha kuusaka ubunge kinachoendelea katika mkoa huo. Kivumbi hicho, kinatajwa kukaribia kuweka rehani ubunge wa baadhi ya wabunge maarufu na waliowahi kushika wizara nyeti ndani ya Serikali, kutokana na kuibuka washindani wenye nguvu ya fedha na…

Read More

WADAU WA USAFIRI KUKUTANA KUJADILI UFUMBUZI WA CHANGAMOTO ZA MADEREVA

***** Taasisi ya Huduma yangu Faoundation imeaanda Bodoboda Bajaj Summit kongamano lengo la kukutanisha wadau wa usafiri kutoa serikali na sekta ya binafsi kujadili kwa pamoja namna ya kutatua changamoto zinazo wakabili madereva waenda bodaboda na bajaji nchini.   Akizungumza na waandishi habari ,Mkurugenzi Taasisi ya Huruma Yangu Foundation, Esta Richard amesema kongamano hilo litafanyika Aprili…

Read More