Mzize afunika Ligi ya Mabingwa Afrika

MSHAMBULIAJI wa Yanga Sc Clement Mzize, amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki wa michuano ya Klabu bingwa Afrika na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 20 amekuwa akivutia klabu nyingi kubwa kutoka nje na ndani ya Afrika kwa muda mrefu na ameendelea kujijengea sifa kwa bora anaozidi kuuonyesha katika miezi…

Read More

Ahadi tano za Trump akiingia White House

Zikiwa zimebakia siku 12 za kuapishwa kwa Rais mteule wa Marekani, Donald Trump, tayari mambo muhimu aliyoyaahidi kwa Wamarekani yanamsubiri ofisini kwake na anatarajiwa kuanza na moja baada ya jingine. Trump, ambaye ni Rais wa 45 na 47 wa Marekani, anatarajiwa kuapishwa Januari 20, 2025, akichukua nafasi ya Joe Biden, ambaye anamaliza muda wake akiwa…

Read More

TAAMULI HURU: Si lazima kila ukweli usemwe hadharani

Japo makala zangu zinajikita zaidi kwenye mada za kikatiba, kisheria na haki, lakini mara mojamoja pia ninaingia kwenye mada za kisiasa, kiuchumi na kijamii, mada yangu ya leo, ni ya kuwafundisha Watanzania uzalendo, ingekuwa ni zamani ningewafundisha waandishi wa habari, lakini ujio wa mitandao ya kijamii, sasa kila mtu ni mwandishi. Uzalendo ninaoufundisha hapa ni…

Read More

Aliyemtukana Mungu aachiwa baada ya kifungo cha miaka minne

Dar es Salaam. Mwanaume asiyeamini kuwa Mungu yupo kutoka nchini Nigeria, Mubarak Bala (40) ameachiwa huru baada ya kutumikia kifungo cha miaka minne gerezani kwa tuhuma za kumtukana Mungu kupitia Facebook mwaka 2020. Mubarak alikamatwa Aprili 28, 2020, kwa tuhuma za kukufuru dini na uchochezi kutokana na machapisho yake kwenye mitandao ya kijamii. Aprili 2022,…

Read More