
Kocha Zanzibar Heroes alia na ushambuliaji
KITENDO cha kufungwa bao 1-0 dhidi ya Burkina Faso, kimeonekana kumkera Kocha wa Zanzibar Heroes, Ali Bakar Ngazija. Zanzibar Heroes imepokea kipigo hicho juzi katika mchezo wao wa pili wa michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 inayofanyika Uwanja wa Gombani, Pemba. Katika mchezo huo, bao la Burkina Faso lilifungwa na mshambuliaji Abubar Toure dakika ya…