
Zaidi ya vijana elfu kumi kukutanishwa Morogoro kujadili masuala ya uchumi,Siasa,afya
Wakati Serikali iliendelea na maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa Madiwani,wabunge na Rais unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu 2025 vijana wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kushiriki masuala muhimu ya nchi ili kuleta maendeleo. Wito huo umetolewa na Godlisten Mramba ambaye ni mwimbaji nyimbo za injili wakati akizungumza na wahadishi wa habari Mjini Morogoro ambapo…