DC Mpogolo ateta na wakuu wa shule ahimiza ufaulu zaidi 2025

  MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka wakuu wa shule za sekondari wilayani humo, kufanya kazi kwa ushirikiano, weredi, busara, hekima na  kusimamia  maadili ya wanafunzi shuleni ili kuinua taaluma na ufaulu mzuri. Aidha amesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka huu, jukumu kubwa la  walimu ni kuhakikisha ufaulu unaongezeka kwani wazazi wanahitaji matokeo…

Read More

Kipa Mnigeria ajichomoa Tabora United

SIKU chache tangu Mwanaspoti liliripoti kuwa Tabora United ilikuwa hatua ya mwisho kumshusha kipa wa timu ya taifa ya Gabon, mabosi wamekubaliano kutemana na kipa Mnigeria Victor Sochima, huku nyota huyo akisema amefurahi kutimiza malengo ya kucheza soka Tanzania. Akizungumza na Mwanaspoti, Sochima alisema alibakisha mkataba wa miezi sita na timu hiyo, japokuwa baada ya…

Read More

Kiduku akimbilia Tanzania Prisons | Mwanaspoti

MAAFANDE wa Tanzania Prisons wameongeza nguvu katika safu ya ushambuliaji kwa kumnasa mshambuliaji Kelvin Sabato ‘Kiduku’ aliyewahi kuwika na Mtibwa Sugar, Singida Big Stars na Namungo. Usajili huu unakuwa wa kwanza kwa kocha mpya wa Prisons, Amani Josiah ambaye ana jukumu zito la kuhakikisha timu hiyo inafanya vizuri katika duru la pili la Ligi Kuu,…

Read More

SPURS KULIPA KISASI KWA LIVERPOOL?

MOJA ya mchezo mkali ambao itachezwa usiku wa leo ni pamoja na mchezo wa nusu fainali wa kombe la Carabao ambapo klabu ya Tottenham Hotspurs dhidi ya Liverpool, Mchezo ambao unaweza kukupa mkwanja wa kutosha usiku wa leo. Mchezo huo wa nusu fainali unaonekana kama unaweza kua wa kisasi kwani Spurs walipokea kipigo kizito kwenye…

Read More

Muya aibukia Geita Gold | Mwanaspoti

BAADA ya kutemwa na Fountain Gate, kocha Mohamed Muya ameibukia Geita Gold kuchukua mikoba ya Amani Josiah aliyetuaTanzania Prisons baada ya mwenyewe kuomba kuondoka ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Championship. Muya alitupiwa virago na Fountain Gate muda mfupi baada ya kichapo cha mabao 5-0 kutoka kwa Yanga katika mechi ya Ligi Kuu iliyopigwa…

Read More

Cheza kasino ya mtandaoni Sloti ya FoxPot

*Sloti ya Foxpot UNAWEZA ukawaza ni wapi hela zinakotoka kwa jinsi ambavyo zinatiririka, usiwaze hiyo ni sloti ya kijanja ya Foxpot inakuja na mnyama Mbweha kama zawadi ya Wild lakini pia kasino hii ya mtandaoni ina mistari 12 ya ushindi na kushinda ni rahisi sana. Usipoteze muda wako kuwaza sehemu ya kuingiza hela, swali lako…

Read More

RAIS SAMIA MGENI RASMI TUZO YA MLIPAKODI BORA JANUARY 23.2025

  Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inatarajia kufanya maadhimisho ya siku ya shukrani na kutoa tuzo kwa Walipakodi bora kwa mwaka 2023/2024 tukio litakalofanyika Jijini Dar es Salaam January 23.2025. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Arusha Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano Bw. Richard Kayombo amesema mgeni rasmi katika maadhimisho hayo anatarajiwa kuwa…

Read More