Vita ya Mbowe, Lissu ina darasa pana kuliko siasa

Nimemwona Wakili Alute Mghwai, kaka wa Tundu Lissu, akisema anamtambua Freeman Mbowe kama mwanafamilia wao. Alute amezungumza kwa hisia kuhusu uhusika wa Mbowe katika uokoaji wa maisha ya Lissu, mdogo wake. Kila kitu chanzo chake ni Septemba 7, 2017. Watu wabaya kupita kiasi, walimshambulia Lissu kwa risasi zinazokadiriwa kufika 38. Walikusudia zile risasi zichukue uhai…

Read More

KONA YA FYATU MFYATUZI: Mliomba, mnaomba, mtaomba mjue si jibu

Nashukuru. Nilimaliza mwaka uzuri. Nawatakieni mwaka mpya wenye heri wote wapenzi wangu na mafyatu wote. Niende kwenye ishu. Kuna mchezo hatari unaanza kufyatua mafyatu hadi baadhi yao wanawafyatua mafyatu waliokataa kufyatuka hadi wakafyatuliwa kirahisirahisi. Kuna kaugonjwa ka kuombaomba na kukopa njuluku toka kwa Wachina, wamanga, na watasha. Wapo wanaoomba baraka wanapokwenda kukopa! Huduma za kijamii,…

Read More

Mauaji ya Waalawi nchini Syria, kunyongwa nchini Iran, watetezi wa haki za binadamu katika Jamhuri ya Afrika ya Kati – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza mjini Geneva, OHCHR msemaji Liz Throssell alisema kuwa Ofisi inafahamu kuhusu ripoti na video zinazodaiwa kuonyesha mauaji ya wanaume wa Alawite huko Homs na miji mingine ya Syria tangu kupinduliwa kwa utawala wa Assad, ambao ulikuwa na uhusiano wa miongo mingi na Alawism – tawi la Uislamu wa Shia: “Tunafahamu taarifa hizo na ni…

Read More

Wasiobadili umiliki vyombo vya moto wapewa siku 13

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewataka watu wote waliouziwa vyombo vya moto kufika katika mamlaka hiyo kabla ya Januari 20 mwaka huu ili kubadili umiliki huo. TRA imesema kuanzia Januari 20 mwaka huu, itaanza kutumia mfumo wa kodi za ndani unaotambulika kwa jina la IRAS ambao hautaruhusu aliyeuziwa chombo cha moto kubadili…

Read More

Wasichana wapewa mbinu kupambana na ukatili wa kijinsia

Dar es Salaam. Katika jitihada ya kukomesha vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwamo rushwa ya ngono kwa wanawake wajasiriamali, taasisi inayoshughulika na uwezeshaji wa wasichana ya Her Initiative imekuja na jukwaa mseto la kidigitali la Ongea Hub ili wasichana wajasiriamali waripoti matukio ya ukatili wa kijinsia. Pia, kupitia jukwaa hilo wasichana wajasiriamali wanaunganishwa na mamlaka…

Read More

Samwasa kusambaza maji kwa wakazi wa Kavambughu, Mahuu

Same. Wakazi 5,600 wa vitongoji vya Kavambughu na Mahuu wilayani Same, Kilimanjaro wameanza kupata huduma ya majisafi na salama baada ya Mamlaka ya Maji Same (Samwasa) kutekeleza mradi wa kuendeleza mtandao wa maji kwenye maeneo ya vitongoji. Mradi huo mkubwa wa maji unaohudumia wilaya za Same na Korogwe, Tanga awali ulimfanya Makamu wa Rais, Dk…

Read More

Madaktari wa wanyama 120 waondolewa sifa

Dar es Salaam. Baraza la Veterinari Tanzania (TVA) limewafutia usajili madaktari wa wanyama 120 kwa kushindwa kutimizwa matakwa ya sheria ya baraza hilo. Uamuzi wa kuwaondolea sifa wataalamu hao umefikiwa na baraza hilo katika kikao chake kilichoketi Desemba 23, 2024. Taarifa iliyotolewa Desemba 30, 2024 na Baraza la Vetenari, inaeleza kuwa, kwa mamlaka iliyopatiwa kwa…

Read More