Njia ya ndege yasitisha ujenzi mnara wa mawasiliano Uru, wananchi waja juu

Moshi. Wananchi wa Kata ya Uru Shimbwe, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kusitishwa kwa  ujenzi wa mnara wa mawasiliano uliokuwa unajengwa, hali inayowafanya kuendelea kuishi katika mazingira magumu ya kukosa mawasiliano ya simu katika kipindi hiki cha sayansi na teknolojia. Changamoto ya mawasiliano katika kata hiyo  inadaiwa kudumu kwa zaidi ya miaka 10, hali…

Read More

Fedha za Mfuko wa Jimbo zafungua barabara za mitaa Ifakara

Kilombero. Wakazi wa Kata ya Mlabani Halmashauri ya Mji wa Ifakara, wilayani Kilombero, wameipongeza Serikali kwa kutenga fedha na hatimaye kuchonga barabara mpya zitakazounganisha mitaa yao. Baadhi ya wananchi hao, akiwamo Elias Selemani akizungumza wakati kazi ya uchongaji barabara hizo ikiendelea amesema ujenzi wa barabara hizo utaboresha mawasiliano na kurahisisha usafiri hasa katika kipindi hiki…

Read More

Kilimanjaro Stars yaweka rekodi mbovu Mapinduzi Cup

WAKATI michuano ya Kombe la Mapinduzi mwaka huu 2025 ikishirikisha timu za taifa kwa mara ya kwanza, kikosi cha Kilimanjaro Stars kimejikuta kikiweka rekodi mbovu. Hatua hiyo imekuja baada ya leo Januari 7, 2025 kupoteza mchezo wa pili mfululizo dhidi ya Kenya kwa mabao 2-0. Mbali na kupoteza mchezo huo, pia ndiyo timu pekee ambayo…

Read More

Sura tofauti za mnyukano wa Gambo, Makonda

Dar es Salaam. Ingawa majibizano baina ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda, na Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo, yanatafsiriwa kuwa hulka za viongozi hao, wanazuoni wanayahusisha na vikumbo kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Kwa mujibu wa wanazuoni waliobobea katika sayansi ya siasa, kilichojificha nyuma ya majibizano au ugomvi, kama inavyodaiwa na wengi,…

Read More

Anwani za makazi milioni 12.8 zafikiwa nchini

Arusha. Serikali imefanikiwa kutambua na kuhakiki taarifa za anwani za makazi milioni 12.8 na kuzisajili kwenye mfumo wa kidigitali wa anwani za makazi (NaPA). Taarifa hizi zinalenga kujenga msingi madhubuti wa utoaji wa huduma za mawasiliano, huduma za Serikali kwa wananchi na utekelezaji wa shughuli za kijamii, kiuchumi na kiutawala. Akizungumza  leo Jumanne Januari 7,…

Read More

Mahakama yaamuru mshtakiwa atoe wapangaji aliowapangisha

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuamuru mshtakiwa Madina Bille, aliyekuwa anakabiliwa na shtaka la kuingia kwa jinai katika nyumba ya Zulekha Abdulwahid, kwenda kuwatoa wapangaji aliowapangisha ndani ya nyumba hiyo mara moja. Pia, Mahakama hiyo imemuachia huru mshtakiwa huyo kwa masharti ya kutokufanya kosa lolote la jinai ndani ya miezi 12, kuanzia…

Read More

Hofu ya kipindupindu yatanda, shule zikifunguliwa

Mbeya/Mpanda. Wakati baadhi ya wananchi wa mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wakionyesha hofu, wakisita kupeleka watoto shule kutokana na mlipuko wa kipindupindu, viongozi na wataalamu wamewatoa wasiwasi. Shule za msingi na sekondari zinatarajiwa kufunguliwa Januari 13, 2025. Taarifa ya Desemba, 2024 ya Wizara ya Afya ilisema mikoa 23 nchini ilikumbwa na kipindupindu tangu mwaka…

Read More

Sababu wanafunzi kufeli masomo ya biashara, amali zatajwa

Dar es Salaam. Wadau wa elimu wameitaka Serikali kuongeza ajira za walimu wa masomo ya amali  ili kufikia lengo la kubadilisha mtalaa. Ongezeko la walimu litasaidia wanafunzi kupata ujuzi stahiki utakaowasaidia kujiajiri watakapomaliza masomo na kupunguza idadi ya wanaofeli masomo hayo katika mitihani ya Taifa ya upimaji. Wametoa maoni hayo wakati ambao matokeo ya mtihani…

Read More