
Njia ya ndege yasitisha ujenzi mnara wa mawasiliano Uru, wananchi waja juu
Moshi. Wananchi wa Kata ya Uru Shimbwe, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia kusitishwa kwa ujenzi wa mnara wa mawasiliano uliokuwa unajengwa, hali inayowafanya kuendelea kuishi katika mazingira magumu ya kukosa mawasiliano ya simu katika kipindi hiki cha sayansi na teknolojia. Changamoto ya mawasiliano katika kata hiyo inadaiwa kudumu kwa zaidi ya miaka 10, hali…