Ushauri wa Profesa Lipumba kwa Bunge

Dar es Salaam. Wakati kikao cha Bunge la Bajeti kinatarajiwa kuanza kesho Jumanne, Aprili 8, 2025, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, ameshauri kuwa ili kuwatendea haki Watanzania, hotuba zake zijikite kuchambua sababu za kutofanikisha malengo ya Mpango wa Tatu wa Taifa wa Maendeleo. Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa miaka mitano ni wa mwisho…

Read More

Wamachinga warudi katikati ya mji Iringa

Iringa. Serikali imeeleza kutoridhishwa na baadhi ya wamachinga kurejea katikati ya mji wa Iringa kinyume na maelekezo ya awali kwamba, waende kwenye maeneo rasmi yaliyotengwa kwa ajili yao. Kauli hiyo imetolewa jana Jumamosi Aprili 6, 2025 na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe  alipozungumza katika kikao kilichowakutanisha viongozi wa mkoa, wilaya, Manispaa ya…

Read More

BARRICK YASHAURI WANAFUNZI KUWA NA BIDII NA UBUNIFU KATIKA KONGAMANO LA AIESEC CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

Afisa Rasilimali Watu Mwandamizi kutoka Mgodi wa Barrick North Mara, Elibramack Joel, akiongea na wanafunziAfisa Rasilimali Watu Mwandamizi kutoka Mgodi wa Barrick North Mara, Elibramack Joel, akiongea na wanafunziVijana wasomi nchini waliopo vyuoni wametakiwa kuongeza bidii, maarifa katika masomo yao na kuwa wabunifu ili kuweza kupenya kwenye soko la ajira kwenye taasisi mbalimbali ikiwemo migodini…

Read More

PMT YASHIRIKI USAFI UFUKWE ZA DENGU

  Na Eben-Ezery Mende  SHIRIKISHO la michezo ya Pentathlon Tanzania (PMT) limeshiriki utaratibu wa kufanya usafii katika Fukwe za Dengu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na wanamichezo na washiriki waliokutana kwenye fukwe hizo kwa ajili ya kushiriki kufanya usafi Mkurugenzi wa Ufundi wa mbio za vikwazo,Joshua Kayombo (Joka) amesema utaratibu huo umezinduliwa leo Aprili 05/2025…

Read More

Chukua Mkwanja Wako Mapema Leo

HATIMAYE baada ya jana kushuhudia mechi kibao zikipigwa na matokeo mengine yakiwa yakustaajibisha, leo hii ni zamu tena ya wababe wengine kibao uwanjai. Beti yako unampa nani akupe pesa? Tukianza na ligi kuu ya Uingereza EPL mechi kibao zipo Brentford atamualika kwake Chelsea ambapo mechi ya kwanza The Blues waliondoka na ushindi. Nafasi ya kushinda…

Read More

Akili Mnemba zitakazoongeza ufanisi wa kazi zako

Dar es Salaam. Kadri teknolojia ya Akili Mnemba (AI) inavyozidi kushika kasi duniani, matumizi ya zana zake kazini na katika maisha ya kila siku yamekuwa suluhisho kubwa kwa kuongeza ufanisi, ubunifu na kuokoa muda. Ikiwa wewe ni mtumiaji wa zana hizo au unapanga kuanza safari hiyo mwaka 2025, basi zifuatazo ni baadhi ya programu bora…

Read More