Planet yaivua ubingwa Eagles Mwanza

PLANET imetwaa ubingwa wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza (MRBA), baada ya kuifunga Eagles katika michezo 3-1. Fainali ya mchezo huo iliyochezwa kwa timu kucheza michezo mitano yaani best of five play off ilimalizika katika Uwanja wa Mirongo jijini humo. Katika mchezo wa kwanza Planet ilishinda kwa pointi 71-53, ule wa pili 67-62, huku…

Read More

Machafuko yaendelea Ukingo wa Magharibi – DW – 07.01.2025

Jeshi la Israel limesema ndege yake ya kivita iliwalenga magaidi katika eneo la Tamun la Bonde la Jordan. Shambulizi hilo la Israel kwenye Ukingo wa Magharibi limetokea baada ya Waisrael watatu kuuawa na watu wengine wanane kujeruhiwa katika shambulizi lililotokea kaskazini mwa Ukingo huo. Vyombo vya habari viliripoti kuwa mshambuliaji wa Kipalestina alilifyatulia risasi basi…

Read More

Watu sita kortini wakidaiwa kutumia EFD kuhujumu uchumi

Dar es Salaam. Watu sita wakiwamo wafanyabiashara wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni iliyoko Kinondoni, wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi kwa kutumia mashine ya kielektroniki ya kutolea risiti (EFD). Washtakiwa hao ni Stanslaus Mushi, Edwin Mark na Nemence Mushi ambao ni wafanyabiashara, Rose Nanga (mhasibu), Hussein Mlezi, (fundi kompyuta) na Salim Kajiru…

Read More

Mnyika atoa onyo Chadema, 300 wajitosa uongozi

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema iwapo kuna kiongozi, mwanachama au mgombea anatuhumiwa kukiuka miongozo ya uchaguzi, taarifa ya malalamiko yawasilishwe rasmi kwa mamlaka ili kudhibiti changamoto hiyo. Mnyika amesema hayo leo Jumanne, Januari 7, 2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya Chadema,…

Read More

Kilimanjaro vs Kenya mechi ya kujiuliza

BAADA ya jana Jumatatu michuano ya Kombe la Mapinduzi 2025 kuendelea kwa mzunguko mwingine baada ya Januari 3 na 4 kupigwa mechi mbili, leo ni zamu ya Kilimanjaro Stars dhidi ya Kenya kujiuliza. Mchezo huo unatarajiwa kuanza kuchezwa saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Gombani uliopo Kisiwani Pemba ukizikutanisha timu ambazo kila moja inahitaji ushindi…

Read More

Nabi atuma ujumbe mzito Yanga, amtaja Ramovic

MASHABIKI wa Yanga wameanza kuchekelea wakisahau siku ngumu walizopitia kabla na baada ya kuondoka kwa kocha wao Miguel Gamondi kisha nafasi yake kuchukuliwa na Sead Ramovic ambaye naye alikuwa kama hawamuelewi vile akianza vibaya. Sasa baada ya mambo kukaa sawa, aliyekuwa kocha wa kikosi hicho, Nasredine Nabi ambaye bado anapigana vita ngumu akiwa na timu…

Read More

MADAKTARI 120 WA WANYAMA WAFUTIWA USAJILI

  Usajili wa madaktari wa wanyama 120 umefutwa na Baraza la Veterinari Tanzania na majina yao yameondolewa kwenye rejesta ya madaktari hao kutokana na kutotimiza matakwa ya kisheria. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa hivi karibuni, na Ofisi ya Msajili wa baraza hilo madaktari hao wamefutwa katika kikao kilichofanyika Tarehe 23 Mwezi Desemba 2024, kufuatia baraza…

Read More

Vita nzito kikapu la Daraja la Kwanza Dar

ILE Ligi ya Kikapu Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam imeendelea kushika kasi katika Uwanja wa Bandari, Kurasini, ambapo timu mbalimbali zinaendelea kuonyeshana ubabe zikiwania kupanda daraja. Katika michezo hiyo, Stein Warriors iliendelea kuonyesha makali baada ya kuifunga Mbezi Beach kwa pointi 61-45. Mchezo huo ulioshuhudiwa na watazamaji wengi katika Uwanja wa Bandari…

Read More