
Watu zaidi ya 90 wafariki kufuatia tetemeko la ardhi Tibet – DW – 07.01.2025
Tetemeko hilo lenye ukubwa wa 6.8 kwenye kipimo cha Richter lililotokea asubuhi ya leo huko Tibet, limesababisha vifo vya karibu watu 95 huku wengine 130 wakiwa wamejeruhiwa. Shirika la utafiti wa Jiolojia la Marekani limesema tetemeko hilo lilikuwa kubwa zaidi hadi kipimo cha 7.1. Maafisa wa eneo hilo wamesema inaaminika kuwa watu wengine wengi bado…