Wazalishaji mbegu Afrika wahimizwa kuzalisha mbegu zilizofanyiwa utafiti
Arusha. Wazalishaji wa mbegu katika nchi za Afrika wametakiwa kuzalisha mbegu zinazozingatia ubora na zilizofanyiwa utafiti, ili wananchi wapate lishe bora na kutokomeza utapiamlo unaosababishwa na lishe duni. Hayo yamesemwa leo Jumatatu, Aprili 7, 2025 na Mratibu wa Utafiti wa Mazao kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tari), Dk Atugonza Bilaro, akizungumza wakati wa…