TAASISI YA BILLAL MUSLIM YATOA HUDUMA YA MACHO BURE KWA MAMIA YA WANANCHI TANGA
***** Na: Dk. Reubeni Lumbagala Taasisi ya Billal Muslim Mission of Tanzania (BMMT) ni taasisi ya kidini yenye kusaidia watoto, familia, jamii zisizojiweza kwa kuwasaidia huduma mbalimbali kama vile elimu, afya na maji bila kujali dini, kabila, hadhi, au jinsi ya mtu. Kwa miaka mingi, Taasisi hii ya Billal Muslim Mission of Tanzania imegusa maisha…