Usafiri Moshi bado changamoto | Mwananchi

Moshi. Mamia ya abiria wanaotaka kusafiri kutoka Moshi kwenda maeneo mbalimbali nchini, hususani mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma ambao hawakukata tiketi mapema wanalazimika kusubiri kusafiri hadi Januari 9, mwaka huu kutokana na magari mengi kujaa. Hali hiyo inatokana na wingi wa abiria wanaorudi makwao, baada ya kumalizika kwa sherehe za mwisho wa mwaka….

Read More

KenGold yachafua hali ya hewa! watajwa Miquisone, Lwanga

KWA wanachoendelea kufanya KenGold kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo ni kama ‘kuchafua hali ya hewa’. Hiyo inatokana na majembe inayoyashusha baada ya kutembeza fagio la nyota wanane ilioanza nao msimu huu ambao ni wa kwanza kushiriki Ligi Kuu. Hadi sasa timu hiyo imetangaza kuachana na Poul Materraz, Asanga Stalon, James Msuva, Steven Mganga,…

Read More

Kisiwa cha Wafu Toten, chimbuko jina la Tanga

Tanga. Mwaka 1961 Wilaya ya Tanga ilikuwa Halmashauri ya Mji ambayo ilipandishwa hadhi kuwa manispaa mwaka 1983 na kuwa Halmashauri ya Jiji mwaka 2005 mpaka sasa. Wilaya hiyo ipo kwenye Jiji la Tanga na ndio makao makuu ya Mkoa wa Tanga, ikiwa na jumla ya tarafa nne, kata 27 na mitaa 181, huku jiji hilo …

Read More

Dk Mwigulu: TRA msiwahurumie wakwepa kodi

Arusha. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba, ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha kila anayepaswa kulipa kodi analipa kwa mujibu wa sheria, bila kuonesha huruma kwa wakwepa kodi. Dk Mwigulu ametoa agizo hilo  leo Januari 6  2025 jijini Arusha, alipozungumza katika mkutano wa tathmini ya utendaji kazi kwa nusu mwaka wa 2024/25 wa TRA,…

Read More

Maofisa kozi ya kistratejia waweka kambi Kagera

Bukoba. Maofisa 10 waandamizi wa kijeshi, kiraia na vyombo vya ulinzi na usalama kutoka ndani ya nchi na nchi rafiki, ambao ni wanachuo wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania (NDC), wamepiga kambi ya mafunzo kwa vitendo mkoani Kagera kwa siku 10. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Januari 6, 2025, Mkuu wa Chuo cha…

Read More