Sendiga aagiza polisi kata awekwe rumande kwa uzembe

Simanjiro. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amemuagiza Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Simanjiro, Kidwadi Ally kumlaza mahabusu polisi wa Kata ya Loiborsiret, Ester Tairo kwa uzembe wa kushindwa kumchukulia hatua mtu aliyempa mimba mwanafunzi wa shule ya sekondari. Pia, Sendiga amemweleza Ally, kuwa askari polisi wa eneo hilo wanalalamikiwa kwa kupokea rushwa,…

Read More

Mvua yafunga barabara Somanga-Mtama | Mwananchi

Lindi. Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Lindi, umesitisha matumizi ya barabara ya Somanga-Mtama kwa muda baada ya mafuriko yaliyosababishwa na mvua zilizonyesha wilayani Kilwa, mkoani hapa. Akizungumzia hilo leo Jumapili Aprili 6, 2025, Meneja wa Tanroads Mkoa wa Lindi, Emil Zengo amesema wamelazimika kuifunga baada ya maji kujaa kiasi cha barabara kushinda kupitika….

Read More

Wadau: Ushuru mpya wa Trump, uiamshe Tanzania

Dar es Salaam. Kuimarisha diplomasia ya kiuchumi na kushirikiana na mataifa yaliyo tayari, kama vile China ni miongoni mwa ushauri uliotolewa na wataalamu wa uchumi nchini Tanzania. Ushauri huo ulitolewa kwa nyakati tofauti na maprofesa wa uchumi, Ibrahim Lipumba na Anna Tibaijuka, pamoja na Mbunge wa Bumbuli na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na…

Read More

Mbege, kiburu vyatajwa kuimarisha kinga ya mwili

Dar/Moshi. Majaribio ya utafiti wa kisayansi, yamebaini mbege na vyakula vya asili, kikiwamo kiburu vina faida kubwa katika uimarishaji kinga ya mwili kwa mwanaume. Kiburu ni chakula cha asili cha jamii ya Wachanga ambacho hupikwa kwenye chungu kwa kuchanganya maharage, ndizi na viungo kama nyanya na kitunguu. Mbege ni kinywaji kinachotengenezwa kwa kutumia ndizi mbivu,…

Read More

Ang’atwa na kunyofolewa mdomo na mchepuko wake

Kakamega. Mkazi wa Kakamega, Douglas Shisia amejikuta  katika maumivu baada ya kung’atwa na kunyofolewa mdomo na mwanamke aliyetajwa kuwa ni mchepuko wake, alipokwenda kumtembelea nyumbani kwake. Shisia (45) ambaye anaishi Nairobi na familia yake akiwamo mkewe na watoto, alisafiri hadi Shiatsala Kakamega, anapoishi mchepuko huyo ambaye jina lake halikufahamika Jumatano Aprili 2, 2025 kwa lengo…

Read More

Rais Samia atunukiwa tuzo mwanamke kinara 2025

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa tuzo ya heshima ya mwanamke kinara 2025, huku akishukuru na kuahidi kuendelea kufanya kazi kwa masilahi ya Taifa. Tuzo hiyo ilitolewa juzi usiku mkoani Mwanza na taasisi ya Mwanamke Kinara iliyoandaa tuzo za wanawake waliofanya vizuri katika sekta mbalimbali Kanda za Ziwa na Magharibi, huku mgeni rasmi akiwa Mkurugenzi…

Read More

Rupia afunga bao la 10, aizamisha Azam FC

Bao la dakika ya 75 la Mkenya Elvis Rupia, limetosha kuipa pointi tatu muhimu Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa CCM Liti mjini Singida. Mchezo huo ulikuwa ni wa kisasi kwa Singida baada ya mechi ya mzunguko…

Read More

Rais Samia atukiwa tuzo mwanamke kinara 2025

Mwanza. Rais Samia Suluhu Hassan ametunukiwa tuzo ya heshima ya mwanamke kinara 2025, huku akishukuru na kuahidi kuendelea kufanya kazi kwa masilahi ya Taifa. Tuzo hiyo ilitolewa juzi usiku mkoani Mwanza na taasisi ya Mwanamke Kinara iliyoandaa tuzo za wanawake waliofanya vizuri katika sekta mbalimbali Kanda za Ziwa na Magharibi, huku mgeni rasmi akiwa Mkurugenzi…

Read More