DKT NCHEMBA AIPONGEZA TRA KUIMARISHA MAPATO

Benny Mwaipaja, Arusha Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA kwa kuongeza makusanyo ya kodi kutoka sh. trilioni 22.2 mwaka wa fedha 2021/22 hadi kufikia sh. tril. 27.6 mwaka wa fedha 2023/2024 na kuvunja rekodi ya kukusanya sh. trilioni 16.528 katika kipindi cha Nusu Mwaka wa Fedha…

Read More

Ushindi wa Lissu, Mbowe uko hapa

Dar es Salaam. Mizania ya ushindi wa nafasi ya uenyekiti wa Chadema kwa mtazamo wa wataalamu wa siasa, inalingana kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu, ingawa wanasema kila mmoja ana sifa inayomtofautisha na mwenzake. Kwa mujibu wa wanazuoni, kuelekea uchaguzi huo, Mbowe anabebwa na ukongwe ndani ya chama na uwezo kiuchumi, huku Lissu akibebwa…

Read More

DKT. NCHEMBA AFUNGUA KIKAO KAZI TRA JIJINI ARUSHA

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu (Mb) (kushoto), Waziri wa Ujenzi, Mhe. Abdallah Ulega (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda, wakiteta jambo baada ya mawaziri hao kumtembelea Ofisini kwake jijini Arusha, wakati walipofanya ziara ya kikazi mkoani humo, ambapo pia walipata fursa ya kushiriki mkutano maalum wa Kamati…

Read More

Kagera Sugar yamfuata Nkane | Mwanaspoti

UONGOZI wa Kagera Sugar upo katika mazungumzo ya kupata saini ya nyota wa Yanga, Denis Nkane kwa mkopo wa miezi sita ukiwa na imani anaweza kukisaidia kikosi cha timu hiyo. Taarifa kutoka Kagera Sugar zimelidokeza Mwanaspoti kuwa tayari wameshaiandikia barua Yanga kumuomba mchezaji huyo ambaye chini ya kocha Sead Ramovic hajapata nafasi ya kucheza mechi…

Read More