Mpasuko Chadema, G55 waliamsha | Mwananchi

Dar es Salaam. Kile kinachoonekana kuwa mpasuko ndani ya Chadema kimeendelea kukita kambi, huku muungano wa watia nia wa ubunge wanaounda umoja wa G55 ndani ya chama hicho, ukionya hatari ya makada kukimbilia vyama vingine kutafuta jukwaa la kugombea. Sambamba na hilo, umebainisha vitisho vinavyowakabili kutokana na msimamo wao, ukidai watatu kati yao wameandikiwa barua…

Read More

Simba kuachana na Yussif Basigi mwisho wa msimu

Simba Queens iko kwenye mpango wa kuachana na Kocha Mkuu, Yussif Basigi mwishoni mwa msimu huu kutokana na kile alichokionyesha Ligi Kuu kutowaridhisha mabosi wa timu hiyo. Kocha huyo aliyejiunga na Simba akitokea Hasacaas Ladies ya Ghana na ukiwa ni msimu wake wa kwanza kwenye ligi, amepoteza mchezo mmoja dhidi ya Yanga Princess na sare…

Read More

Ang’atwa na kunyoflewa mdomo na mchepuko wake

Kakamega. Mkazi wa Kakamega, Douglas Shisia amejikuta  katika maumivu baada ya kung’atwa na kunyofolewa mdomo na mwanamke aliyetajwa kuwa ni mchepuko wake, alipokwenda kumtembelea nyumbani kwake. Shisia (45) ambaye anaishi Nairobi na familia yake akiwamo mkewe na watoto, alisafiri hadi Shiatsala Kakamega, anapoishi mchepuko huyo ambaye jina lake halikufahamika Jumatano Aprili 2, 2025 kwa lengo…

Read More

Rais Mwinyi kushiriki mkutano wa CTIS Uingereza

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, ameondoka nchini usiku wa kuamkia leo, Aprili 6, 2025, kuelekea jijini London, Uingereza, kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Biashara na Uwekezaji wa Jumuiya ya Madola (CTIS). Mkutano huo wa kila mwaka, utakaofanyika katika Jumba la kihistoria la Jiji la London, unatarajiwa kuanza Aprili 7 na kumalizika…

Read More

Ang’atwa mdomo na mchepuko wake

Kakamega. Mkazi wa Kakamega, Douglas Shisia amejikuta  katika maumivu baada ya kung’atwa na kunyofolewa mdomo na mwanamke aliyetajwa kuwa ni mchepuko wake, alipokwenda kumtembelea nyumbani kwake. Shisia (45) ambaye anaishi Nairobi na familia yake akiwamo mkewe na watoto, alisafiri hadi Shiatsala Kakamega, anapoishi mchepuko huyo ambaye jina lake halikufahamika Jumatano Aprili 2, 2025 kwa lengo…

Read More

UCHAGUZI 2025: BALOZI NCHIMBI ATOA WITO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema kuwa msingi wa sera za CCM utabakia kuwa ni maendeleo ya watu pamoja na amani na utulivu wa nchi. Balozi Nchimbi aliyasema hayo leo Jumapili, tarehe 6 Aprili 2025, alipokuwa akizungumza na mamia ya wananchi wa mji wa Songea katika maeneo ya…

Read More

Hofu yatanda Muriet, miili mitatu yakutwa imetupwa

Arusha. Hofu imetanda miongoni mwa wakazi wa Kata ya Muriet, jijini Arusha, baada ya kukutwa miili ya watu watatu waliouawa kwa namna ya kinyama katika matukio mawili tofauti na kutupwa katika maeneo ya wazi. Tukio la kwanza lilitokea Machi 26, 2025, ambapo miili ya watu wawili, mmoja wa jinsia ya kiume na mwingine wa kike, ilikutwa…

Read More