Mpasuko Chadema, G55 waliamsha | Mwananchi
Dar es Salaam. Kile kinachoonekana kuwa mpasuko ndani ya Chadema kimeendelea kukita kambi, huku muungano wa watia nia wa ubunge wanaounda umoja wa G55 ndani ya chama hicho, ukionya hatari ya makada kukimbilia vyama vingine kutafuta jukwaa la kugombea. Sambamba na hilo, umebainisha vitisho vinavyowakabili kutokana na msimamo wao, ukidai watatu kati yao wameandikiwa barua…