Mzimbabwe alia na mambo manne Tabora United

MAMBO bado hayajaeleweka kwa Kocha mpya wa Tabora United, Genesis Mang’ombe raia wa Zimbabwe baada ya kushindwa kupata ushindi tangu atue klabuni hapo akirithi nafasi ya Mkongomani, Anicet Kiazmak aliyeiongoza mechi 14 na kushinda nane, sare tano na kupoteza moja. Mang’ombe aliyetambulishwa klabuni hapo Machi 28, mwaka huu na tangu timu hiyo iliposhinda bao 1-0…

Read More

Kocha Fountain Gate Princess aitaka nafasi ya nne

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate Princess, Camil Mirambo amesema malengo ya timu hiyo msimu huu ni kumaliza katika nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi. Timu hiyo iko nafasi ya saba kwenye msimamo na katika mechi 13, imeshinda nne, sare mbili na kupoteza saba ikikusanya pointi 14. Akizungumza na Mwanaspoti, Mirambo alisema wana nafasi ya…

Read More

Minziro: Mechi na Fountain itatupa uelekeo

BAADA ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tabora United na kupaa hadi nafasi ya 11 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema mchezo ujao dhidi ya Fountain Gate ndiyo utakaowapa uelekeo kwenye michuano hiyo. Pamba ilipata ushindi huo juzi kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza na…

Read More

Kuitwa tena Taifa Stars hawa kazi ipo

TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ iliyoshiriki fainali za mataifa ya Africa (Afcon) za Ivory Coast ilikuwa na wachezaji wanaocheza soka la kulipwa katika mataifa mbalimbali Africa, Amerika, Asia na Ulaya katika ligi mbalimbali kubwa na ndogo. Katika wachezaji hao ambao wengi wao walikuwa ni wageni machoni mwa Watanzania, walisubiriwa kuona watafanya nini katika…

Read More

Makundi ya WhasApp yalivyogeuka mwiba kwa wanasiasa

Dodoma. Katika zama za sasa za maendeleo ya teknolojia ya mawasiliano, matumizi ya mitandao ya kijamii ni sehemu muhimu ya maisha ya kila siku ya watu, wanasiasa wakiwamo. WhatsApp, kama moja ya mitandao hiyo, imekuwa jukwaa la mawasiliano ya karibu, mijadala ya kisiasa na hata kampeni za uchaguzi. Hata hivyo, licha ya faida hizo, wanasiasa…

Read More

Aliyeua mtoto wa mdogo wake, ahukumiwa kifo

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Tanga, imemuhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Waziri Amiri baada ya kumkuta na hatia ya kumuua mtoto wa mdogo wake, Athuman Mussa kwa kumkata na panga. Tukio hilo lilitokea Februari 3, 2023 katika Kijiji cha Mziragembei, Kata ya Kwekanga wilayani Lushoto mkoani Tanga, ambapo marehemu alikuwa akijenga kibanda chake…

Read More