Waziri Mkuu Kuongoza Harambee Ya Mei Mosi Kitaifa – Global Publishers
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa usiku wa Aprili 5, 2025 anaongoza harambee ya kuwezesha maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa kwenye ukumbi wa Royal Village jijini Dodoma. Maadhimisho hayo yatafanyika Kitaifa mkoani Singida Mei 01, 2025 na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan. Waziri wa…