MAJALIWA: MEI MOSI INALENGA KUBORESHA USTAWI WA WAFANYAKAZI
-Achangisha zaidi ya sh. Bilioni 1.6 katika harambee ya Mei Mosi 2025 WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani yana lengo la kuhamasisha utoaji wa haki za wafanyakazi, kuboresha masharti ya kazi na ustawi wa wafanyakazi kwa ujumla. Mheshimiwa Majaliwa ameyasema hayo jana usiku, Aprili 5, 2025 katika hafla ya chakula…