Rekodi hizi zinasubiriwa Championship 2024/25

WAKATI Ligi ya Championship ikibakisha raundi tano kwa kila timu, ushindani umekuwa mkubwa kuanzia kwa zinazowania kupanda Ligi Kuu Bara, kushuka daraja na nyingine zinazopigania kuhakikisha zinaendelea kusalia tena msimu ujao. Licha ya kufikia hatua hiyo yenye ushindani na msisimko mkubwa, zipo rekodi mbalimbali za kuvutia zilizowekwa na hadi sasa bado hazijafikiwa, ingawa huenda ikatokea…

Read More

Mkenya Fountain Gate hali tete

HALI ni mbaya kwa Kocha Mkuu wa Fountain Gate, Mkenya Roberto Matano baada ya juzi kupoteza kwa mabao 3-0, dhidi ya Mashujaa FC kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, mkoani Kigoma, ikiwa ni kichapo cha pili mfululizo katika Ligi Kuu Bara. Kabla ya kichapo hicho, Fountain Gate ilichapwa idadi ya mabao kama hayo 3-0, dhidi ya…

Read More

Dakika 630 zaitenga Coastal na ushindi

KOCHA wa Coastal Union, Juma Mwambusi ana kazi kubwa ya kufanya katika mchezo wa kesho, Jumatatu dhidi ya Yanga kuhakikisha anapata ushindi, huku rekodi za mechi saba zilizopita zikiiweka katika mtego mkubwa. Coastal Union ya Tanga itakuwa mgeni wa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Yanga…

Read More

Damaro aitaka michuano ya kimataifa

KIUNGO wa Singida Black Stars, Mohamed Damaro,22, anaamini klabu yake ina nafasi kubwa ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao, hasa Kombe la Shirikisho Afrika, endapo watamaliza nafasi ya pili au tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara. Kabla ya mechi yao dhidi ya Azam FC (iliyochezwa jana), Singida Black Stars ilikuwa nafasi ya nne…

Read More

Kauli ya atabadilika inavyowaponza wanandoa

Uhusiano wa kimapenzi, ni sehemu muhimu ya maisha ya kila mtu. Mara nyingi, watu wanatarajia kuwa na wenza wanaoendana nao katika mawazo, mitindo ya maisha na maadili. Hata hivyo, wakati mwingine mtu anaweza kuingia katika uhusiano na mtu mwenye tabia mbaya, akiamini kuwa atakuwa na uwezo wa kumbadilisha au kumwongoza ili kuboresha tabia hizo.  Kuna…

Read More

Madhara ya watu wazima kutegemea wazazi kiuchumi

Kutegemea wazazi kiuchumi wakati mtu ameshakuwa mtu mzima kunaweza kuwa na madhara makubwa kwa maisha ya mtu binafsi, familia, na hata jamii kwa ujumla. Ingawa kuna hali zinazolazimisha baadhi ya watu kuendelea kutegemea wazazi, kama ugonjwa au ukosefu wa ajira, kuwa tegemezi kwa muda mrefu kunaweza kuathiri maendeleo ya mtu binafsi na mfumo wa kifamilia….

Read More

Hakuna mtoto anayezaliwa na ukorofi

Juzi nimepokea taarifa za kusikitisha. Baraka mtoto wa jirani yetu enzi hizo amekuwa kilema. Jicho lake moja limeng’olewa, hana mkono moja, uso umejawa makovu shauri ya vipigo vya ‘wananchi wenye hasira kali.’ Sikushangaa kusikia Baraka anadaiwa kuwa jambazi sugu, anayetishia usalama wa watu na mali zao.  Inadaiwa, kwa miaka mingi tangu awe mtu mzima, Baraka…

Read More

Mzazi fanya haya kumsaidia mwanao kuhimili hisia kali

Katika safari ya maisha, watoto hukumbana na changamoto mbalimbali zinazoweza kuwafanya wapitie hisia kali kama hasira, huzuni, hofu, au msongo wa mawazo. Hisia hizi zisipodhibitiwa mapema, zinaweza kuwa na athari mbaya katika maendeleo yao ya baadaye. Hivyo wazazi wana nafasi muhimu katika kuwasaidia watoto wao kujifunza jinsi ya kudhibiti hisia kali na kuzielekeza katika njia…

Read More

Mapenzi ni hatua tano, wewe uko ya ngapi?

“Inawezekana hakuwa wa kwangu. Yumkini Mungu hakupanga tuwe pamoja. Labda Mungu ameniepushia mengi”. Mara kwa mara wengi tumesikia sentensi zinazofanana na hizi hususani kwenye vinywa vya watu, marafiki au ndugu zetu ambao wamewahi kuachana, kutengana au kuvunja uhusiano. Tafiti za kisaikolojia kwenye eneo la uhusiano pamoja na yale mengi tunayokutana nayo tunapowashauri wapenzi na wanandoa…

Read More