Walimu wa sayansi kurudishwa darasani

Tarime. Serikali inatarajia kutoa mafunzo kwa walimu zaidi ya 9,000 wa masomo ya sayansi, hisabati na Tekonolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kwa shule za sekondari nchini, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha elimu. Idadi hiyo inatarajiwa kufikiwa Machi mwaka huu, ikiwa ni awamu ya kwanza ya mpango huo kabla ya awamu nyingine, ili…

Read More

Sh2.5 bilioni kujenga stendi ya kisasa Chunya

Mbeya. Halmashauri ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, imeanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa stendi ya kisasa yenye uwezo wa kuchukua mabasi 100 kwa siku na vibanda 300 vya biashara. Mradi huo unakadiriwa kugharimu zaidi ya Sh2.5 bilioni na utakamilika Septemba mwakani. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Januari 6, 2025, Mwenyekiti wa Halmashauri ya…

Read More

Hali tete kituo cha mabasi Msamvu, abiria wakisongamana

Morogoro. Kituo cha mabasi Msamvu mkoani Morogoro kuna ongezeko kubwa la abiria, wakiwamo wanafunzi wanaorejea shuleni baada ya likizo kumalizika. Pia nauli zimepaa, hali inayotajwa kuchangiwa na uchache wa magari. Mwananchi Digital imefika kituoni hapo leo Jumatatu, Januari 6, 2025 na kuzungumza na baadhi ya abiria akiwamo Magdalena Olomi, anayesema kumekuwa na tabia ya wasafirishaji…

Read More

Mtoto wa Museveni atishia kumkata kichwa Bobi Wine

Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye pia ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni, amesema isingekuwa baba yake angemkata kichwa kiongozi wa upinzani nchini humo, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine. Jenerali Kainerugaba amechapisha tamko hilo jana Jumapili, Januari 5, 2025 katika ukurasa wake X na kuibua hali ya sintofahamu. “Kabobi…

Read More

Kumbukumbu ya Siri zaidi ya Wanaume na Hukumu ya Aibu ya Waandishi Wawili Waafrika – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Jan Lundius (Stockholm, sweden) Jumatatu, Januari 06, 2025 Inter Press Service STOCKHOLM, Uswidi, Jan 06 (IPS) – Mwaka 2021, mwandishi wa riwaya wa Senegal Mohamed Mbougar Sarr alikua mwandishi wa kwanza kutoka Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa kutunukiwa Tuzo ya Prix Goncourt, tuzo kongwe zaidi ya Ufaŕansa na yenye hadhi ya fasihi….

Read More