Ahadi za vyama, ZEC ziwe kwa vitendo zaidi

Hivi karibuni, jumla ya vyama 18 vya siasa vilitia saini hati ya makubaliano ya kuhakikisha uchaguzi mkuu wa Zanzibar unafanyika kwa amani, uwazi na kwa misingi ya kidemokrasia. Makubaliano hayo yaliyosimamiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George Kazi, yamelenga kujenga mazingira bora ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyia Jumatano Oktoba…

Read More

Matumizi ya kijeshi ulimwenguni kote rekodi ya $ 2.7 trilioni – maswala ya ulimwengu

“Ulimwengu unatumia vita zaidi kuliko katika kujenga amani“Un Katibu Mkuu António Guterres Alisema katika mkutano wa waandishi wa habari kwa mpya ripoti juu ya tishio linalosababishwa na kuongezeka kwa matumizi ya kijeshi. Matumizi ya mahitaji ya usalama yaliongezeka katika mikoa yote mitano ya ulimwengu wakati wa 2024, kuashiria kuongezeka kwa mwaka kwa mwaka kwa angalau…

Read More

Bado Watatu – 24 | Mwanaspoti

Hata kama nitaendelea kuificha maiti ya Shefa, mtu aliyemuua atakuwa anajua kuwa maiti ya Shefa nimeificha humu ndani. Kama ataamua kunisaliti, anaweza kuwatonya polisi wakaja wakapekua nyumba yangu na kuikuta. Mawazo yote hayo yalipita katika akili yangu na kunikatisha tamaa. Niliona kwamba muda wangu wa kukamatwa na kuhusishwa na mauaji yale ulikuwa karibu sana. Kwanza,…

Read More

SIMBA DAY: Nje moto ndani moto

UMEUONA mziki wa Simba SC? Najua hujauona vizuri, sasa Septemba 10, 2025, vyuma vyote vinawekwa hadharani kwa kutambulishwa mbele ya mashabiki kisha utapigwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia kutoka Kenya. Hiyo itakuwa ni kilele cha Tamasha la Simba Day ambalo mwaka…

Read More

Wanachama 160 kutoka Mwanza kushuhudia Simba Day

MAKAMU Mwenyekiti wa Matawi ya Simba Mkoa wa Mwanza, Juma Kayugwa amesema mashabiki na wanachama 54 wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya kushuhudia Tamasha la Simba Day litakalofanyika leo, Jumatano kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Akizungumza na Mwanaspoti, Kayugwa alisema wanatarajia kuwa na zaidi ya wanachama 160 kutoka Mwanza. “Tumeambatana na baadhi ya viongozi…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Ahadi zenu zisigeuzwe chachandu za kampeni

Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 zinazidi kupamba moto. Kila mgombea katika nafasi anayoipigania amekuwa akiongeza kasi inayoambatana na vionjo vipya kwenye ahadi zake. Kuna wanaoleta ucheshi, lakini wengi wao wamebeba mafurushi ya ahadi bila kujali utekelezekaji wake. Mgombea ataahidi lolote hata kabla hajajua nini mahitaji ya mahala husika, atajinadi kutokomeza changamoto hata kabla hajazisikia. Tumesikia…

Read More

Gamondi, Maximo uso kwa uso Kagame

KWA mara ya kwanza makocha, Marcio Maximo wa KMC na Miguel Gamondi wa Singida Black Stars watakutana Ijumaa ya Septemba 12 katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Cecafa Kagame baada ya kila mmoja kutinga kibabe hatua hiyo. Makocha hao wenye historia ya aina yake kwenye soka la Tanzania, wameziongoza klabu hizo…

Read More

Nepal PM anajiuzulu baada ya kuporomoka kwa kifo kwa maandamano ya vijana; UN inahimiza utulivu – maswala ya ulimwengu

Machafuko hayo, ambayo yakaanza Jumatatu kama maandamano ya “gen Z” dhidi ya ufisadi ulioenea, upendeleo na njia kwenye vyombo vya habari vya kijamii, iliongezeka haraka baada ya vikosi vya usalama kujibu kwa nguvu. Wengi wa wafu na waliojeruhiwa walikuwa waandamanaji wachanga waliopigwa na polisi. Wengi hubaki hospitalini katika hali mbaya. Kufikia Jumanne, maandamano yalikuwa yameenea…

Read More