RAIS SAMIA KUZINDUA MAJENGO YA MAHAKAMA JIJINI DODOMA
Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Aprili 3,2025 kuelekea katika uzinduzi wa majengo ya Mahakama,hafla inayotarajiwa kufanyika Aprili 5,2025 jijini Dodoma. Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Prof. Elisante Ole Gabriel,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Aprili 3,2025 kuelekea…