NDERIANANGA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS IFAD

***** NA. MWANDISHI WETU BERLIN, UJERUMANI Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, na Uratibu, Mhe. Ummy Nderiananga, amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Mfuko wa Kimataifa wa Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bi. Gérardine Mukeshimana, katika kikao cha pembezoni mwa Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Watu Wenye Ulemavu…

Read More

MAAFISA HABARI WA SERIKALI WAPEWA SOMO

***** Na Ester Maile Dodoma   Maafisa Habari wa Serikali  watakiwa kutambua ujio wa Kikao Kazi ni kwa ajili ya kufundwa na kuzingatia yote yatakayoelekezwa na kukumbushwa juu ya utekelezaji wa majukumu yao. ameyanabaisha hayo katibu wa habari,utamaduni, sanaa na michezo Gerson Msigwa wakati wa ufunguzi wa Kikao Kazi cha 20 cha Maafisa Habari wa Serikali…

Read More

MUME WANGU ALIDAI YUKO SAFARI LAKINI KILICHOTOKEA USIKU HUO KILIKATISGA NDOA YETU KWA NJIA YA KUSHANGAZA!

Mume Wangu Alidai Yuko Safari Lakini Kilichotokea Usiku Huo Kilikatisha Ndoa Yetu Kwa Njia Ya Kushangaza! Nilikuwa mwanamke mwenye furaha, nikiamini ndoa yangu ilikuwa thabiti. Mume wangu, Joseph, alionekana kuwa mwaminifu na mwenye mapenzi ya dhati. Hata hivyo, siku zote kuna kitu ndani yangu kilihisi kuna jambo linanifichwa. Alianza kubadilika simu yake ilikuwa siri, alichelewa…

Read More

WAASI M23 NA DRC KUKUTANA USO KWA USO MJINI DOHA

 DRC, M23 kukutana kwa mara ya kwanza Aprili 9 Doha By ngilishonews.com    Waasi wa M23 Waasi wa M23 wameeleza kuwa pande zote mbili zinatarajia kufanya mazungumzo ya moja kwa moja kwa mara ya kwanza mnamo Aprili 9. Mkutano huo, unaopangwa kufanyika mjini Doha, utakuwa wa kwanza wa aina yake tangu waasi wa M23 walipoiteka…

Read More