
2025


Sh2.5 bilioni kujenga stendi ya kisasa Chunya
Mbeya. Halmashauri ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, imeanza kutekeleza mradi wa ujenzi wa stendi ya kisasa yenye uwezo wa kuchukua mabasi 100 kwa siku na vibanda 300 vya biashara. Mradi huo unakadiriwa kugharimu zaidi ya Sh2.5 bilioni na utakamilika Septemba mwakani. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu, Januari 6, 2025, Mwenyekiti wa Halmashauri ya…

Hali tete kituo cha mabasi Msamvu, abiria wakisongamana
Morogoro. Kituo cha mabasi Msamvu mkoani Morogoro kuna ongezeko kubwa la abiria, wakiwamo wanafunzi wanaorejea shuleni baada ya likizo kumalizika. Pia nauli zimepaa, hali inayotajwa kuchangiwa na uchache wa magari. Mwananchi Digital imefika kituoni hapo leo Jumatatu, Januari 6, 2025 na kuzungumza na baadhi ya abiria akiwamo Magdalena Olomi, anayesema kumekuwa na tabia ya wasafirishaji…

WAZIRI WA MIPANGO NA UWEKEZAJI APONGEZA KIWANDA CHA MATI SUPER BRANDS LTD.
NaMwandishi Wetu,Manyara Waziri wa nchi Ofisi ya Rais ,Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo amepengeza Wawekezaji wazawa wa kiwanda cha Mati Super brands limited kwa kulipa kodi stahiki za serikali na kutengeneza ajira kwa vijana hivyo kuchochea maendeleo ya Mkoa wa Manyara na Taifa kwa ujumla.Akizungumza mara baada ya kutembelea kiwanda cha Mati Super Brands…

Mtoto wa Museveni atishia kumkata kichwa Bobi Wine
Dar es Salaam. Mkuu wa Jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye pia ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni, amesema isingekuwa baba yake angemkata kichwa kiongozi wa upinzani nchini humo, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine. Jenerali Kainerugaba amechapisha tamko hilo jana Jumapili, Januari 5, 2025 katika ukurasa wake X na kuibua hali ya sintofahamu. “Kabobi…

Kumbukumbu ya Siri zaidi ya Wanaume na Hukumu ya Aibu ya Waandishi Wawili Waafrika – Masuala ya Ulimwenguni
Maoni na Jan Lundius (Stockholm, sweden) Jumatatu, Januari 06, 2025 Inter Press Service STOCKHOLM, Uswidi, Jan 06 (IPS) – Mwaka 2021, mwandishi wa riwaya wa Senegal Mohamed Mbougar Sarr alikua mwandishi wa kwanza kutoka Afŕika Kusini mwa Jangwa la Sahaŕa kutunukiwa Tuzo ya Prix Goncourt, tuzo kongwe zaidi ya Ufaŕansa na yenye hadhi ya fasihi….

Watoto 7 wamekufa kwa baridi kali Gaza huku makumi wakiuawa – DW – 06.01.2025
Taarifa ya vifo vya watoto hao imetolewa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) ambalo limesema pia kuwa karibu watoto wachanga 7,700 katika eneo la Gaza lililoharibiwa na vita, wanaishi katika makazi duni kutokana na mgogoro unaoendelea kati ya Israel na kundi la wanamgambo wa Hamas. Shirika la habari la…

Waziri wa mambo ya nje wa Syria aitembelea UAE – DW – 06.01.2025
Hii leo,Jumatatu, waziri wa mambo ya nje Assad al Shaibani pamoja na waziri wa ulinzi na mkuu wa ujasusi wa nchi hiyo, wamewasili Umoja wa Falme za kiarabu katika ziara yao ya kwanza nchini humo tangu waasi walipouondowa utawala wa Bashar al- Assad. Picha: New Syrian Administration Office/ZUMAPRESS.com/picture alliance Waziri mpya wa mambo ya nje…

Fadlu ategua mtego wa kwanza Simba
Kocha wa Simba, Fadlu Davids amefanikiwa kuruka kihunzi cha kwanza kati ya viwili ambavyo viliwashinda makocha wenzake katika misimu mitatu iliyopita ambayo Yanga ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu. Kigingi ambacho Fadlu amekimudu ni kuiwezesha timu hiyo kumaliza mzunguko wa kwanza ikiwa kileleni na ikiwa imekusanya idadi kubwa ya pointi katika mechi 15 kulinganisha na msimu…

Pazia la kuchukua fomu za ugombea lahitimishwa Chadema – DW – 06.01.2025
Uchaguzi nkuu wa Chadema utafanyika Januari 21. Kama kuchanga karata za kisiasa hakuna ajuaye moja kwa moja kwamba mwenyekiti anayetetea nafasi yake, Freeman Mbowe au mpinzani wake katika nafasi hiyo, Tundu Lissu amefanikiwa. Hata hivyo, mazingira ya kisiasa ndani ya chama chenyewe yanaonyesha kuna upande mmoja umecheza mchezo wenye kuashiria mengi. Mwanasisasa Jonh Heche na hatua…