MOI KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA WIKI YA AFYA KITAIFA DODOMA

***** Na Erick Dilli- DODOMA Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki katika Wiki ya Afya kitaifa 2025 inayofanyika jijini Dodoma, ambapo wananchi watapa huduma za matibabu ya kibingwa ya mifupa, ubongo, mgongo, mishipa ya fahamu na ushauri wa kitaalam. Uzinduzi wa wiki hiyo umefanyika  leo Ijumaa Aprili 04, 2025 katika ukumbi…

Read More

CCM KINAJIANDAA KIONGANIZESHENI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA

******  Na Mwandishi Wetu, Zanzibar  Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaendelea na maandalizi ya kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba Mwaka huu kama Katiba na Sheria zinavyoelekeza kila baada ya miaka mitano kutafanyika Uchaguzi Mkuu. Pia CCM kimewataka watanzania kupuuza maneno ya baadhi ya viongozi wa vyama vinavyodai vitazuia uchaguzi mkuu mwaka huu usifanyike kwa utashi…

Read More

Mabomu kwa Uzuri, kutoka Gaza hadi Ukraine – Maswala ya Ulimwenguni

“Kusudi lilikuwa kubadilisha nishati hasi ya uharibifu kuwa nishati chanya ya uumbaji,” alisema mbuni wa Kiukreni Stanislav Drokin, ambaye hubadilisha vito vya vito kutoka kwa studio yake ya nyumbani, ya kazi huko Kharkiv iliyokumbwa na vita. Kama ulimwengu unaashiria Siku ya Kimataifa kwa Uhamasishaji wa Mgodiinazingatiwa kila mwaka mnamo Aprili 4, mipango inayoendelea ya kudhoofisha…

Read More

Ijumaa ya leo Itakuwa Murua Ukibashiri na Meridianbet

JE unajua kuwa siku yako ya leo itaanza vizuri endapo utasuka jamvi lako na Meridianbet?. Timu kibao zipo uwanjani kusaka pointi 3 za kujiweka sawa, na wewe tafuta pesa uamke vizuri hapo kesho. Ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA inatarajiwa kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambapo vinara wa ligi hiyo FC Bayern Munich watakuwa ugenini…

Read More

TUMEJIPANGA KUTEKELEZA BIMA YA AFYA KWA WOTE- NHIF

Na Mwandishi Wetu, Songea MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umesema umekamilisha maandalizi ya kuanza kutekeleza Bima ya Afya kwa Wote ambapo imewaomba wananchi kuendelea kujiunga na vifurushi ili kuwa na uhakika wa kupata matibabu wakati wowote. Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa Huduma za Wanachama Bw. Hipoliti Lello wakati akiwasilisha mada juu…

Read More

RIBA YA BENKI KUU KUENDELEA KUWA ASILIMIA 6

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KAMATI ya Sera ya Fedha ya Benki Kuu ya Tanzania imeamua Riba ya Benki Kuu (CBR) kuendelea kuwa asilimia 6 mara baada kufanya tathmini ya mwenendo wa uchumi, na mwelekeo wake katika robo ya pili ya mwaka 2025. Kwa muktadha huu, Benki Kuu itaendelea kutekeleza Sera ya fedha ili kuhakikisha…

Read More