Tanzania yajipanga na ushuru mpya wa Trump

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imechukua hatua ya kulinda ukuaji wa uchumi ikiwa ni siku mbili baada ya Rais Marekani, Donald Trump kutangaza hali ya dharura ya kiuchumi nchini mwake iliyokwenda sambamba kuwekwa kwa ushuru wa angalau asilimia 10 kwa kila bidhaa inayoingia nchini humo. Katika tangazo lake Trump amesema kuanzia Aprili…

Read More

Askari wa uhifadhi watakiwa kuepuka migogoro na wananchi

Mwanza. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula amewaagiza askari wa Jeshi la Uhifadhi kuzingatia sera ya ujirani mwema wanapotekeleza majukumu yao, kuepuka migogoro na wananchi wanaoishi jirani na maeneo ya hifadhi. Akizindua Bodi ya Magavana ya Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi jijini Mwanza leo Ijumaa Aprili 4, 2025, amesema kazi ya Jeshi…

Read More

Diwani wa CCM Kakonko auawa akitoka sokoni

Kakonko. Diwani wa CCM Kata ya Kiziguzigu, Mwalimu Martin Mpemba, amefariki dunia baada ya kudaiwa kupigwa kichwani na kitu chenye ncha kali. Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia Aprili 3, 2025, katika Kijiji cha Ruyenzi, Kata ya Kiziguzigu, akiwa njiani kurejea nyumbani kutoka sokoni. Mwalimu Mpemba, ambaye alikuwa akiwakilisha CCM katika kata hiyo, anadaiwa kushambuliwa…

Read More

Serikali yapewa ‘nondo’ tano ajira kwa vijana

Dar es Salaam. Kuwekeza katika kilimo cha kisasa na viwanda ni miongoni mwa maeneo matano yaliyoainishwa na wadau, kama muhimu kwa Serikali katika kutatua tatizo la ajira kwa vijana nchini. Pia, wadau wanasema kwamba utekelezaji wa maeneo hayo unaweza kutoa suluhu ya kudumu ya ajira. Wadau hao wameeleza maeneo hayo leo, Aprili 4, 2025, katika…

Read More

Wananchi wataka ushirikishwaji uboreshaji wa makazi

Dar es Salaam. Wakati utekelezaji wa programu ya kuboresha na kurejesha maeneo ya miji ambayo yameathiriwa na changamoto mbalimbali ukianza, wananchi wametaka kupewa elimu zaidi na kushirikishwa katika mchakato huo. Hayo yameelezwa leo Aprili 4, 2025 na baadhi ya wakazi wa Mtaa wa Makangira, kata ya Msasani jijini Dar es Salaam walipozungumza na Mwananchi baada…

Read More