Waziri wa Mipango na Uwekezaji aipongeza Mati Super Brands Ltd kwa ulipaji kodi ya serikali

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amewapongeza wawekezaji wazawa wa Kiwanda cha Mati Super Brands Limited kwa kulipa kodi stahiki za serikali na kutengeneza ajira kwa vijana hali inayochochea maendeleo ya Mkoa wa Manyara na taifa kwa ujumla. Akizungumza baada ya kutembelea kiwanda hicho leo, Profesa mkumbo alisema wawekezaji…

Read More

Watu milioni 1.2 kuunganishiwa umeme kila mwaka ifikapo 2030

Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwaunganishia umeme watu milioni 1.2 kila mwaka kutoka 500,000 wanaounganishiwa sasa. Kutokana na hilo, katika miaka mitano 2025/30, watu milioni 8.5 wataunganishiwa huduma hiyo nchini. Ongezeko hilo la watakaounganishiwa umeme, litatokana na kuanza kwa utekelezaji wa Agenda300 inayolenga kufikisha nishati hiyo kwa watu milioni 300 Afrika ifikapo mwaka 2030. Benki…

Read More

SHAGEMBE: Mchimba madini aliyemzima kiboko ya Kiduku

FRANK Shagembe  siyo jina kubwa ukitaja majina makubwa katika mchezo wa ngumi za kulipwa nchini lakini kwa sasa heshima yake imekuwa ikisumbua vichwa vya mabondia wakubwa. Shagembe kijana wa miaka 24 ambaye ametoka kwenye maisha magumu akiwa mzururaji wa uchimbaji wa madini ya dhababu kule Chunya mkoani Mbeya ndiye aliyeweza kumzima Asemahle Wellem ‘Predator’ kijana…

Read More

Kwa nini Marufuku ya Urusi ya 'Propaganda' Isiyo na Mtoto Inaathiri Haki za Kibinadamu – Masuala ya Ulimwenguni

Familia kubwa zinakuzwa kwenye mabango nchini Urusi. Credit: Sky News screengrab na Ed Holt (bratislava) Jumatatu, Januari 06, 2025 Inter Press Service BRATISLAVA, Jan 06 (IPS) – “Watu wengi wanaogopa sana,” anasema Zalina Marshenkolova. “Kwa hakika hiki ni chombo kingine cha ukandamizaji. Serikali inapigana vita dhidi ya mabaki ya watu wenye fikra huru nchini Urusi…

Read More

Hesabu moja Kombe la Mapinduzi leo

Ushindi ndio lengo la kila timu leo wakati Zanzibar Heroes itakapocheza na Burkina Faso katika Uwanja wa Gombani, Pemba ikiwa ni muendelezo wa Kombe la Mapinduzi 2025 kuanzia saa 1:00 usiku. Baada ya kuibuka na ushindi katika mechi ya kwanza dhidi ya Kilimanjaro Stars, Zanzibar Heroes ikipata ushindi leo, itakuwa imejihakikishia kutinga hatua ya fainali…

Read More

TAAWANU yazindua rasmi zoezi la ugawaji bure wa vitanda elfu 60 kwenye hospitali nchini Tanzania

Taasisi ya Taawanu Islamic Foundation chini ya Mkurugenzi wake wa Kimataifa Hajjat Zahra Dattan (zaradattani on Instagram) imezindua rasmi zoezi la ugawaji wa vitanda kwa hospitali mbalimbali hapa Nchini Tanzania lengo likiwa ni kusaidia wananchi wanaoenda maeneo hayo kwa ajili ya kupatiwa matibabu. Zoezi hilo limezinduliwa katika Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera ambapo limehudhuliwa na…

Read More

Ceasiaa haitaki makuu Ligi Kuu Wanawake

KOCHA wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema mipango ya timu kwa sasa ni kuhakikisha inasalia Ligi Kuu ili msimu ujao ijipange. Timu hiyo iko nafasi ya tisa katika msimamo wa ligi hiyo ya timu 10 ikishinda mechi mbili kwenye michezo saba na kupoteza tano ikikusanya pointi sita. Chobanka ametambulishwa hivi karibuni kama kocha mkuu wa…

Read More

Mashujaa Yabeba wawili Yanga SC

WAPINZANI wa Yanga Princess katika Ligi ya Wanawake, Mashujaa Queens yenye maskani yake jijini Dar es Salaam imesajili wachezaji wawili kwa mkopo kutoka kwa wananchi hao. Timu hiyo imemaliza duru la kwanza ikiwa katika nafasi ya tatu kwenye msimamo kwa pointi 15 ikiishusha Yanga iliyopo nafasi ya nne ikiwa na pointi 12 baada ya kucheza…

Read More