
Makonda amvaa Gambo mbele ya waziri
Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemvaa mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo akidai haudhurii vikao vinavyojadili maendeleo ya mkoa huo, badala yake anasubiria viongozi wa kitaifa ili kueleza changamoto. Tukio hilo limetokea leo Jumatatu, Januari 6, 2025 eneo la Ilboru katika ziara ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega aliyekuwa akikagua mradi…