Makonda amvaa Gambo mbele ya waziri

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemvaa mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo akidai haudhurii vikao vinavyojadili maendeleo ya mkoa huo, badala yake anasubiria viongozi wa kitaifa ili kueleza changamoto. Tukio hilo limetokea leo Jumatatu, Januari 6, 2025  eneo la Ilboru katika ziara ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega aliyekuwa akikagua mradi…

Read More

Waganga wa jadi wapigwa marufuku kung’ang’ania wagonjwa

Shinyanga.  Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Dk Faustine Mulyutu, amewataka waganga wa jadi wakiona wagonjwa wenye dalili za maambukizi ya malaria wasiwang’ang’anie, bali wawashauri kwenda vituo vya afya. Dk Mulyutu ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Januari 6, 2025, wakati wa uzunduzi wa kampeni ya ugawaji vyandarua kwa wananchi iliyofanyika katika ukumbi…

Read More

Kipindupindu, ukosefu wa vyoo vyafunga mgodi wa dhahabu

Katavi. Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuf ameagiza kufungwa kwa shughuli za uchimbaji madini ya dhahabu katika migodi ya Lumuka iliyopo Kijiji cha Dirifu kutokana na watu 17 kugundulika kuwa na maambukizi ya ugonjwa wa kupindupindu. Hali hiyo imekuja baada ya kutembelea maeneo ya migodi leo Jumatatu, Januari 6, 2025 na kukuta watu wanaofanya shughuli kwenye…

Read More

Walimu wa sayansi kurudishwa darasani

Tarime. Serikali inatarajia kutoa mafunzo kwa walimu zaidi ya 9,000 wa masomo ya sayansi, hisabati na Tekonolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kwa shule za sekondari nchini, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuboresha elimu. Idadi hiyo inatarajiwa kufikiwa Machi mwaka huu, ikiwa ni awamu ya kwanza ya mpango huo kabla ya awamu nyingine, ili…

Read More