Wakulima waiangukia Serikali kuondoa kodi kwenye mifuko

Dodoma. Wakati maandalizi ya bajeti ya mwaka 2025/26 yakiendelea, wakulima wameiangukia Serikali kuweka ruzuku au kupunguza Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye mifuko ‘kinga njaa’ (hermetic storage bags) kwenye bajeti hiyo, ili kuwaepusha na hasara inayotokana na upotevu wa mazao baada ya mavuno. Mfuko mmoja unauzwa kati ya Sh5,000 hadi 5,500, hivyo imekuwa kikwazo…

Read More

Sillah bado kiduchu atimize ndoto

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Gibril Sillah ameendelea kuisogelea ndoto yake ya kumaliza na mabao kuanzia 10  msimu huu, huku akiamini mechi sita zilizosalia atalitimiza hilo. Azam FC imecheza mechi 24 ikishinda 15, sare sita, imefungwa michezo mitatu ikimiliki mabao 38, imefungwa 12 ikiwa na pointi 51, jambo ambalo Sillah anaamini njia ya kufikia malengo yake…

Read More

BUNIFU NA TAFITI ZA NELSON MANDELA KUPATA SOKO USWISI

Makamu Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Prof. Maulilio Kipanyula ( kulia) akimkabidhi zawadi Balozi wa Uswisi nchini Mhe. Nicole Providoli ( kushoto) mara baada ya ziara ya kikazi. ….. TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela kushirikiana na Serikali ya Uswisi katika kufanya utafiti na…

Read More

Fei Toto atoa kauli nzito Azam FC

KIUNGO wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema mechi sita zilizobaki ni kucheza kufa na kupona kwani lolote linaweza kutokea katika vita ya ubingwa, huku akifichua siri kinachomkwamisha kufunga mabao. Azam ikiwa jijini Mbeya, jana ilifanya kweli kwa kuilaza Ken Gold mabao 2-0 na kubaki nafasi ya tatu na pointi 51, ikisaliwa na michezo sita…

Read More

Mkuu wa Haki za UN anataka uchunguzi wa mauaji ya wafanyikazi wa matibabu – maswala ya ulimwengu

Volker Türk alisema alikuwa na uchungu wa kufupisha baraza hilo tena juu ya “mateso ya janga” ya watu kwenye enclave, akibainisha kuwa “utulivu wa muda wa kusitisha mapigano, ambayo iliwapa Wapalestina wakati wa kupumua, imevunjika.” Aliripoti kuwa tangu 1 Machi, shughuli za jeshi la Israeli zimewauwa zaidi ya Wapalestina 1,200, pamoja na watoto wasiopungua 320,…

Read More

Wadau wa parachichi walia na changamoto za usafishaji

Dodoma. Changamoto ya mifumo ya usafirishaji wa zao la parachichi ambayo inasababisha usafirishaji kuchukua siku 50, imetajwa kuathiri viwango vya ubora vinavyokubalika katika nchi zinazonunua zao hilo. Kabla ya changamoto hiyo, usafirishaji wa zao hilo ulikuwa ukitumia, siku 25 hadi 30 kufika kwenye soko husika la nje ya Tanzania. Hoja hiyo imeibuliwa katika mkutano wa…

Read More