Anachokiwaza Fei Toto ndani ya Azam FC
KIUNGO wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema mechi sita zilizobaki ni kucheza kufa na kupona kwani lolote linaweza kutokea katika vita ya ubingwa, huku akifichua siri kinachomkwamisha kufunga mabao. Azam ikiwa jijini Mbeya, jana ilifanya kweli kwa kuilaza Ken Gold mabao 2-0 na kubaki nafasi ya tatu na pointi 51, ikisaliwa na michezo sita…