Anachokiwaza Fei Toto ndani ya Azam FC

KIUNGO wa Azam, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema mechi sita zilizobaki ni kucheza kufa na kupona kwani lolote linaweza kutokea katika vita ya ubingwa, huku akifichua siri kinachomkwamisha kufunga mabao. Azam ikiwa jijini Mbeya, jana ilifanya kweli kwa kuilaza Ken Gold mabao 2-0 na kubaki nafasi ya tatu na pointi 51, ikisaliwa na michezo sita…

Read More

14 wapandishwa kizimbani tuhuma za utapeli wa ajira

Morogoro. Watu 14 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Mjini Morogoro (Nunge) kwa tuhuma ya kujifanya maofisa wenye mamlaka ya kutoa ajira na kuwakusanya vijana 48 kutoka sehemu mbalimbali nchini, na kujipatia fedha kinyume cha sheria. Washitakiwa hao wamefikishwa mahakamani leo Aprili 4, 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Beatha Richard ambapo walikanusha mashitaka hayo na…

Read More

Job Ndugai: Safari ya kisiasa ya Spika wa Bunge la 12

Dodoma.  Job Ndugai ni jina lisilopitwa katika historia ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Aliwahi kushika nafasi ya Spika wa Bunge la 12, akiongoza muhimili huu wa dola kikatiba kwenye kipindi cha mpito muhimu katika siasa za Tanzania. Umahiri wake katika kuendesha shughuli za Bunge, pamoja na msimamo wake thabiti kuhusu masuala ya…

Read More

Minziro: Ni ‘do or die’ dhidi ya Tabora United

Baada ya kuambulia sare ya 1-1 nyumbani dhidi ya Namungo FC katika mchezo uliopita kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Kocha Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema kesho ni kufa au kupona watakapocheza dhidi ya Tabora United. Mchezo huo wa raundi ya 25 Ligi Kuu Bara utachezwa kuanzia saa 8:00 mchana katika…

Read More

Serikali kununua ndege maalumu za utafiti wa madini

Chunya. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Serikali imetenga bajeti kwa ajili ya kutekeleza mkakati wa kununua wa ndege yenye vifaa maalumu vya kufanyia tafiti za kina maeneo ya madini na shughuli za uchimbaji nchini.  Amesema tayari kuna mradi kupitia Umoja wa Ulaya (EU) kushirikiana na nchi ya Hispania wa kurusha ndege kwenye eneo lenye…

Read More

Mjumbe wa UN anahimiza msaada wa kimataifa kwa Afrika Magharibi na Sahel – Maswala ya Ulimwenguni

Leonardo Santos Simão aliangazia kiwango cha shida inayoathiri sehemu za Sahel, ambapo vikundi vya kigaidi vinaendelea kusababisha shida, haswa katika Bonde la Ziwa la Chad linalojumuisha Cameroon, Chad, Niger na Nigeria. Bwana Simão, ambaye anaongoza Ofisi ya UN kwa Afrika Magharibi na Sahel (Unowas), alishuhudia athari wakati wa ziara ya hivi karibuni katika mji wa…

Read More

Matumizi ya fedha hizi Tanzania mwisho kesho

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema mwisho wa kutumia matoleo ya fedha ilizoziainisha (pichani) ni kesho Jumamosi Aprili 5, 2025 huku ikitoa angalizo kuwa baada ya hapo hazitatambulika tena. “Hatua ya ubadilishwaji wa noti za zamani ilianza Januari 6, 2025 itamalizika Aprili 5, 2025 ambapo matumizi ya noti hizo yatafikia ukomo wa…

Read More